Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

Sio maneno yetu, biblia ndo inasema."NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE."
GOOD! BIBLIA HIO HIO INAKATAZA KABISAA KABISAA KUFIKIA STAGE ALFA NA OMEGA KUAMUA KUSHUSHA KIBAO IN PERSON CHA AMRI 10 KUKATAZA HIZO TABIA HATARISHI, NA KUMLETA MWANAE WA PEKEE ASISITIZE, NA KATIKA MAMBO ALIYOSISTIZA NI HIO TAASISI YENU YA NDOA, JAPO HAKUINGIA ILA VITABU VYOTE 4 VYA INJILI MARK, METHEW, LUKE, JOHN VIMEWAPA COVERAGE KUBWA SANAAAAA!

JE MNATII NA KUFATA AGIZO LA ALF NA OMEGAAAA NA MWANA WA ADAM. PASIPO SHAKA KWA KUIHESHIMU NA KULINDA. MAAGIZO MLIOPEWA.? Thubutiuuuuuuuuuuuu! UTEKELEA UMEWASHINDA!

Sasa kama hutekelezi kitu usikomalie upewe privilledge promised endapo ungeketekeleza!

MFATE YOTE YALIO AGIZWA SIO KUCHACHUA TU !
 
Ruttashobolwa, ndoa kama zilivyo taasisi zote duniani, inakabikiwa na chahgamoto nyingi sana. Lakini maisha bila changamoto yana furaha kweli, lazima binadamu akabiliane na hizo changamoto..ziwe za ndoa au maisha kwa ujumla.

Swala la kutoa ya chumbani, sidhani kama Ni vyema mtu kutoa mambo ya chumbani kwake. Ni lazima kuwe na mipaka ya kipi mtu akiseme na kipi kiachwe chumbani. Mtu anayetoa mambo ya chumbani anakosa zile core ethics za kuitwa mwanandoa...hata daktari akitoa siri za mgonjwa anaonekana hafai coz siri za mgonjwa anatakiwa azitunze.
Asante na wewe kwa maneno yako umekubali kuwa ndoa ni moja ya taasisi zilizo jaa unafiki ili kulinda desturi!
Ni heri tufe na yetu ya chumbani ili kulinda desturi na si sheria.

Na hapo katika kuchagua ya kusema huwa yanasemwa mazuri tuu!
 
Last edited by a moderator:
Sio maneno yetu, biblia ndo inasema."NDOA NA IHESHIMIWE NA WATU WOTE."
kusema ukweli nako ni kuiheshimu!
Sidhani kama kwenye hiyo bible yenu Kuna sehemu inasema msiseme ukweli kama Kuna majanga pia!
 
lara 1

dhibitisha
= thibitisha

dhibiti ina maana tofauti, mfano kwa sentensi;

Dhibiti; nimemdhibiti yuko ndani hafurukuti.

Thibitisha; thibitisha kuwa kweli yumo ndani umemdhibiti.
 
Last edited by a moderator:
UKIENDA AU USIENDE CHANGAMOTO ZIKO PALE PALE! NOTHONG WILL CHANGE! Maybe tofauti itakuwa UMEHAMA KUSTRIKE UMEHAMIA DEFENCE YA TIMU PINZANI ILA LIGI ILE ILE!
Hamna paradiso kokote, duniani kuhangaika binadamu kaumbiwa!

Kuna time unaongea point smtm pumba nadhani wazazi wako wamekupa bad experience. Maisha gani hayana changamoto? Ugirlfrnd na uboyfrnd wenyewe Panachimbika VIP ndoa nyewewe. Kitu kimoja nikushauri nikwamba lovely married iz for those who trust in it! Lala one wewe ni "hard desire" after o we mchagga c ajabu hisia zako hazina mizania.
 
Jana lara 1 alianzisha mada inayosema, wanawake above 30 hata 40 marriage is a hypocrytical institution. Kilichonishitua ni kuita ndoa ni hypocritical institution tafsiri isiyo rasmi ni taasisi ya kinafiki/unafiki.

Mimi nimeoa na nina mtoto mmoja sikubaliani kabisa na mtazamo huu wa lara 1

Lara 1 ni binti ambaye hajawahi kuwa kwenye ndoa hivyo kujifanya anayajua mambo ya ndoa kwa undani ni uongo,ni sawa na mtu aliyeishia kidato cha sita na kujifanya anajua sana matatizo ya chuo kikuu ili hali hajatia mguu pale.

Anatahadharisha wale ambao ndoa zao zinaonekana ziko vizuri kwa sasa kwamba na wao ndoa zao zaweza geuka kuwa kilio,anasema kwamba kwani ndoa zao zina uspecial upi.

Ukweli ni kuwa ndoa haziwezi kufanana hata siku moja kama anavyotaka yeye ziwe. Si lazima ndoa zote ziwe na migogoro hata kidogo,kuna ndoa zinaanza vizuri zinaishia vizuri.

Zingine zinaanza vizuri zinaishia vibaya,zingine zinaanza vibaya zinaishia vizuri,zingine zinaanza vibaya na kuisha vibaya,kutegemea na wanandoa wenyewe wanavyoendesha ndoa yao.

Anashangaa wana ndoa wa jf hawatoi ushuhuda wa ndoa zao au kuomba ushauri wakati mambo yanapoharibika.kwa vile binti huyu hajawahi kuwa kwenye ndoa sishangai kuona akiuliza kitu kama hiki ndoa ina maadili yake mojawapo ni kutotoa siri nje ya ndoa.

Hii haimaanishi kwamba wafe na tai shingoni kuna taratibu zake akiingia kwenye ndoa ataambiwa ndiyo maana wapo na wasimamizi wa ndoa kuwaelekeza nini cha kufanya.

Lakini hata wale mambo yao yako salama kabisa wanaogopa kutoa ushuhuda wao kuogopa kejeli,dharau kutoka kwa watu wenye mtazamo kama wa huyo dada. Lakini ajue pia walioko kwenye ndoa hasa wanawake wana majukumu mengi ya kifamilia tofauti na walio single.

Anadai kuwa wanawake walioko kwenye ndoa ni wanafiki kwa sababu waume zao wanazini nje ya ndoa na wengine wana watoto nje ya ndoa,wengine hawatoi matumizi nyumbani lakini hawawakatazi,hvyi anauhakika gani hawawakanyi waume zao?

Yeye mwenyewe wapo watu walishamshauri aache tabia yake ya kuchuna wanaume lakini hajaacha lakini si kwamba hajashauriwa.

Anaelekea kuhitimisha kwa kusema ndoa ni safari hivyo wanaofurahi sasa wajiandae kwa lolote mbeleni yaani kufiwa na mwenza,kupata ajali,mwenzi kulogwa.

Hapa amenishangaza zaidi ina maana walio single hawafiwi hata na wazazi,ama rafiki kufiwa ni mpaka awe

Lara1 ni binti aliyeikosa ndoa, hivyo anajaribu kuwakatisha tamaa wenzake na kuiponda taasisi hiyo!!! Anasumbuliwa na ugonjwa fulani unaitwa INFERIORITY COMPLEX, kama kuna mwanajamvi ana utaalamu wa kisaikolojia amsaidie huyu binti, kwa kweli yupo kwenye hali mbaya sana!!! SHE IS SUFFERING SERIOUSLY.
 
Lara1 ni binti aliyeikosa ndoa, hivyo anajaribu kuwakatisha tamaa wenzake na kuiponda taasisi hiyo!!! Anasumbuliwa na ugonjwa fulani unaitwa INFERIORITY COMPLEX, kama kuna mwanajamvi ana utaalamu wa kisaikolojia amsaidie huyu binti, kwa kweli yupo kwenye hali mbaya sana!!! SHE IS SUFFERING SERIOUSLY.

Hard desire anajifanya kauzu kumbe bati! Anakera sana...! She' so arrogant.
 
B
Nawahi nafasi! Nimerudi!

YES MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION SIFUTI KAULI!

Naomba kujibu hoja zako kama ifuatavyo!

Kwanza ile kama fasihi simulizi yoyote inapokelewa tofauti tofauti na hadhira! Naomba nijibu mapokeo yako ya ile fasihi andishi nilioiweka jana. Kama fanani ni wajibu wangu kujibu querry sijui spelling nimemapatia manake watu watu wa grammar mnanikalia mnoo kooni siku hizi kama ifwatavo!

1. Kweli sijaolewa, na wala siwezi kudanganya niliolewa ama vipi, hapanaaaa! Ila ile ni observation yangu kama LAY MAN au THIRD PARTY tu ambayo ni HAKI YANGU YA KIKATIBA UKIZINGATIA WE HAVW BEEN A FREE COUNTRY SINCE 9 DECEMBER 1961. Na neno langu sio sheria ama presidential decree ni mtazamo tu binafsi.

2. Kweli nimetahadharisha si wanandoa tu, bali BINADAMU KWA UJUMLA WETU kuwa maisha ni safari ndefuu sanaaa, ukicheka leo kesho huenda unune nanikaenda mbali sanaa kuwaomba bin adaam MUMUOMBE MUNGU AWAFANYIE WEPESI MIZIGO YENU na sio kuhukumu watu wengine na kuwasulubisha msalabani!

3. All in all sijaona ulipo dhibitisha PASIPO SHAKA YOYOTE kuwa MARRIAGE IS NOT A HYPOCRITICAL INSTITUTION! The hypocrisy inakuwa pale MNAPOJADILI HII TAASIS HAMUWEKI KARATA ZOTE MEZANI, MNAJADILI MAZURII TUUUUUU! Sio uugwana huo! Sawa wekeni mazuri na vibaya pia mseme?

4. Tabia ya kuchuna hahahahaaaaaa! COUNTING MY SINS DOES NOT MAKE YOU A SAINT!

Hitimisho!
TUWE TU WA WAZI UOLEWE, USIOLEWE, MAISHA YOTE NI CHANGAMOTO! Married people should be honest and stop window dressing of facts THAT THEY ARE THE HAPPIEST, LUCKIEST, AND BETTER THAN EVERYBOY HAVING A HEAVEN ON EARTH AND SINGLE OLD CARGOS LIKE ME SHOULD GO HUG A TRANSFOMER BECAUSE WE ARE PITYFULL! Hypocrisy at its highest!

IT ABOUT TIME WE PUT ALL THE CARDS ON THE TABLE!

Lara1 inaelekea una wivu, afu haujui kama una wivu, wewe sema unayotaka kusema lakini,BEING IN MARRIAGE IS 100% BETTER THAN BEING SINGLE, kiafya na kiimani za dini zetu.
Haya maisha yana raha na shida kila mtu anajua hivyo usitake wanandoa wayatangaze matatizo kwa sababu sio njia ya kupata suluhu, afu kama zile nyakati za furaha ni nyingi kuliko za shida kwa nini wa-concentrate kwenye shida zao??
 
Kuna time unaongea point smtm pumba nadhani wazazi wako wamekupa bad experience. Maisha gani hayana changamoto? Ugirlfrnd na uboyfrnd wenyewe Panachimbika VIP ndoa nyewewe. Kitu kimoja nikushauri nikwamba lovely married iz for those who trust in it! Lala one wewe ni "hard desire" after o we mchagga c ajabu hisia zako hazina mizania.
USIDANDIE TRENI KWA MBELE MJADALA UMEUKUTA KATI KATI UNAUIBUKIA! Anza mwanzo UJUE NINI CHANZO CHA HAYA MABISHANO NDO UTAELEWEKA HAPA SIO KUCHUKUA QUOTE MOJA JUU JUU NA KUIKOMALIA! Mi mzaramo wewe, huo uchaga wa kuokotezaaa!
 
Lara1 inaelekea una wivu, afu haujui kama una wivu, wewe sema unayotaka kusema lakini,BEING IN MARRIAGE IS 100% BETTER THAN BEING SINGLE, kiafya na kiimani za dini zetu.
Hahahahaaaa! IF LIES MAKE YOU SLEEP AT NIGHT WHY NOT? Hahaaaaaaaa! HAVE SWEET DREAMS!
 
Lara1 inaelekea una wivu, afu haujui kama una wivu, wewe sema unayotaka kusema lakini,BEING IN MARRIAGE IS 100% BETTER THAN BEING SINGLE, kiafya na kiimani za dini zetu.

This woman is frustrated with her life....kwanza ameenda age ( whether she deny it or not). Japo amesafirisafiri na kukutana na watu na kupata exposure kiasi lakini bado...... maana kama mtu anakaa anawashangaa watu kwanini hawaleti matatizo yao ya chumbani kwenye social media basi mtu huyo ana dosari kubwa sana.
She is so frustrated though she can't admit it before all this crowd.
Unaangalia tu post yake unacheka life goes on. Ni failure kwenye suala la mahusiano...ndio maana amebaki kuchuna tu.
Unajua kahaba huwa anatoa k ili apate hela....not a different scenario kama kutoa k and expect dough in return or any material things.
Kafail tayari...she is frustrated. Ipo wazi kabisa
 
Lara1 ni binti aliyeikosa ndoa, hivyo anajaribu kuwakatisha tamaa wenzake na kuiponda taasisi hiyo!!! Anasumbuliwa na ugonjwa fulani unaitwa INFERIORITY COMPLEX, kama kuna mwanajamvi ana utaalamu wa kisaikolojia amsaidie huyu binti, kwa kweli yupo kwenye hali mbaya sana!!! SHE IS SUFFERING SERIOUSLY.

HAHAHAAAAA! BAADA YA KUSHINDWA KUBISHA UNAFIKI HAUPO NDOANI NAONA MNA TAPATAPA NA WAFA MAJI NA NYIE! Hahaaaaa!

ONESHA HAPO KWAMBA MARRIAGE IS NOT AN HYPOCRITICA INSTITUTION! Otherwise nashukuru MMEKUBALI KUWA UNAFIKI MULE NDO NYUMBANI MWAO!

Afu DUA ZENU ZA KUKU MAISHA YENUUU HAZINIPATI MWEWE! Mwewe napeta tuuuuu! MTATAPATAPA SANAA HUMUUUUU ILA MKAVU MMEYAPATA KUKANUSHA MMESHINDWA HAHAAAAAA!
 
This woman is frustrated with her life....kwanza ameenda age ( whether she deny it or not). Japo amesafirisafiri na kukutana na wapo na kupata exposure kiasi lakini bado...... maana kama mtu anakaa anawashangaa watu kwanini hawaleti matatizo yao ya chumbani kwenye social media basi mtu huyo ana dosari kubwa sana.
She is so frustrated though she can't admit it before all this crowd.
Unaangalia tu post yake unacheka life goes on. Ni failure kwenye suala la mahusiano...ndio maana amebaki kuchuna tu.
Unajua kahaba huwa anatoa k ili apate hela....not a different scenario kama kutoa k and expect dough in return or any material things.
Kafail tayari...she is frustrated. Ipo wazi kabisa
HOW DOES THIS. MAKE MARRIAGE NOT A HYPOCRITICAL INSTITUTION AGAIN.? Hahahaaaaaaaaa! NAONA HOJA ZIMEWAISHIAA MMEJITUTUMUA KUFICHA FICHA NA KUJARIBU KULETA HOJA DHAIFU WAPIIIIII NAONA SASA MNAJARIBU TRYING TO KILL THE MESSENGER SINCE THE MESSAGE OFFENDED YOU! Hahahahahaaa!
PROVE MARRIAGE IS NOT A HYPOCRITICAL INSTITUTION IF YOU CAN HAHAAAAAA!

Dua zenu za kuku mi mwewe bado sanaa kunipata!
 
we kahaba why dont you find a handsome donkey
Shostiiiiiiiii uko macho! SAJOOOOOOIWEEE najiandaaje na KITCHENI PARTY YAKO SASA! Mwali tumekunemaje leo sasa! Mpaka rahaaaaaa! Chezea cute, beautiful boyiiii! Wacha weeee!
 
i dont give a fuk who cares but i hate yo baboon outfit and fat stinky .....
Tushakupa u qween wa mmu, kwa bonge la ji party la msutooo, na shanga tumekuvikaa kiunoni shosti letuuu hilooo wataka nini tenaaa? TUMEKUBALI WEWE NDO BEAUTY WA MTAA, CUTEST WA JAMVI, MTOTO LAINIIIIII, MJURIII MJURIIII. Wachaaa weweee!
 
Back
Top Bottom