HAHAHAHAAAAAAAAAAA!
Huu wala sio mtizamo NI UKWELI HALISI WA MAMBO YALIYOPO KWENYE JAMII YETU SEMA WATU SABABU UNAFIKI NA JADI YETU WANAFUMBIA TU MACHO! ILA HAMNA JOPYA CHINI YA JUA KATIKA YALE NILIYOYATAJA!
Unaweza kuijua mitaa ya New York bila kufika?
Hofu iliyokuwa ndani yako wewe isemee nafsi yako, kujifanya unayajua ya nafsini mwetu ni uongo na upotoshaji wa hali ya juuu! We mambo ya nafsini mwetu umeyajuaje? Tangu linibinadamu akajua ya nafsini mwa mwenzie? UONGO MTAKATATIFU HUO!
Hapana,wala hili sio jambo la ajabu kwani mambo yanakwenda kwa kanuni
Mtu anapokiogopa kitu huanza kukitolea maneno mabaya ili kujiridhisha ndani mwake na kukabiliana na hofu yake,hiyo iko hivyo wala hakuna kigeni hapo labda uwe hujui
Haijapakwa matope YAMESEMWA TU BAADHI YA WAYATENDAYO WANANDOA! JIPUA LIPI CHINI YA JUA KATI YA YALE AMBALO WANANDOA AMBAO WANAKILA MPAKA ZANZIBAR HAWAJATENDA? Punguzeni unafiki kidogo,
Ngoja nirudie tena kukuuliza bibie
Hivi unaweza kuijua mitaa ya New York bila kufika huko?
MIMI SIMUOGOPI MTU YEYOTE HUMUUUUUU! Namuogopa Mungu tu! NA KAMA YA UONGO MBONA KIMEWAUMA MNATAPA TAPA? JIWE NILIRUSHA GIZANI SI MNGELIPUUZA TU? Nyooooooo! Nimepiga ikulu mnabakia kuweweseka kuanzisha thread!
Labda nikuambie tu kuwa kwenye maelezo yangu wala sijazungumzia masuala ya wewe kumuogopa yoyote,nasikitika umeshindwa kuelewa nilichoandika kwakuwa unaongozwa na hisia za hofu zilizoko ndani yako na pengine inawezekana kuwa kuna unaemuogopa humu
Halafu labda tu nikuambie kuwa,wewe ni binadamu kama wengine na wewe ni mmoja kati ya wanawake waoga sana,hilo ni kweli na halipingiki
Mtoa mada ameweka hii mada wakati mwingine sio kwa kukujibu wewe direct lakini anataka kuwasaidia wengine ambao inawezekana wamechukulia mada yako serious
Mimi sio mmoja kati ya uliowagusa kwenye mada yako lakini najaribu kusema kile ambacho kinatetewa na uhalisia na sio cha kufikirika,hujui ndoa ni kitu gani dear,so acha ku assume mambo
Wewe na mimi hatupishani kwakuwa hatujaingia kwenye ndoa hivyo kujidai tunaijua ndoa kuliko walioko ndoani ni kujidanganya na kujilisha upepo,lakini kujidai kunaiona ndoa kama kitu ambacho hakina maana ni kujidanganya zaidi
Upuuzi mtupu NIKUE MARA NGAPI? Mmeishiwa hoja mmebakia na umri! Jepi wanalofanya watu wazima mi sifanyi!
Hahahahahaaaaaaaa ........
Lara acha kunivunja mbavu bana,mtu mzima hana haja ya kujitetea ili ajulikane kuwa ni mtu mzima kwani huo utu uzima unaonekana kwenye yale anayoyafanya
Hapa ulichokifanya ni kuthibitisha nilichokisema kuwa bado hujakua
AFU USIPENDE KUJIFANANISHA MIMI NA WEWE, WEWE KAMA UNAYAOGOPA MAISHA, SIJUI NDOA, SIJUI WATU WAZIMA, SEMEA NAFSI YAKO, SIO KUTUSEMEA WATU USIOTUJUA SABABU UNADANGANYA!
Hahahahaaaaaaa .......
Naomba tu ujue kuwa hakuna muoga kama wewe kwenye suala zima la maisha na yanayohusu maisha na hili tunaliona wengi tu na wala sio jambo la kufichika
Siwezi kujilinganisha na wewe kwa kuwa tunatofautiana mambo mengi sana na zaidi sana ni maumbile,hivyo unapodhani najilinganisha na wewe ni makosa makubwa sana bibie
MARRIAGE IS A HYPOCRITICAL INSTITUTION PERIOD,!!?!!
Hii haikusaidii
Huwezi kushindana na ukweli Lara,ukweli haukwepeki upo tu!