Maji yamenifika shingoni, naomba msaada wakuu

Maji yamenifika shingoni, naomba msaada wakuu

Ruble

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2013
Posts
846
Reaction score
1,597
Heshima kwa wakuu wote

Mdogo wenu hali tete. Kijana wa kiume. Dira haisomi. Nipo Dar

Wakuu kama kuna mtu ana kazi ya ulinzi, au kazi ya kusimamia lodge/guest yake popote nchini nipo tayari.

Ni muaminifu, sidokoi cha mtu.

Nina elimu ngazi ya diploma.

Nina changamoto fulani za kiafya zimekua kikwazo kwenye harakati za maisha wandugu.

Nisaidieni wakubwa wangu nitadhalilika mjini.

Natoa shukrani zangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom