Kwetu sisi ni sifa kumtengea maji ya kuoga mume
Bado hujampata? Haya maneno yako yanakufanya usimpate sabry!!
Majibu ya wanawake wengi ktk hili imenipa picha ya kwanini ndoa zinawashinda. hili ni moja ya jukumu la mwanamke wa kiafrika kwa mmewe . Mnataka wanaumme lakini kazi iko kuiboresha ndoa. Mbona wakati hamjafunga ndoa yote haya mnafanya. Mkisha rekebisha viburi juu.. haya kazi kwenu. Mimi nikijipelekea maji bafuni hapakaliki mpaka niulizwe sababu ya kufanya hivyo.mnahalibiwa na mashoga kwenye hizo saloon.
na nsiolewe! Kwanza wanaume wa cku hz wanaoa au wanatafuta watu wa kuwapa frustration! Hapa JF ndo kabisaaa...ningekuwa kipofu sioni wadada wanavolia hapa ungentisha! Jamani mume wangu atajiandaa kufua, kupika, aniogeshe, ajiwekee maji ya kuoga ile ya kubeba mimba ndio itakuwa kazi yangu tu! Museven umeckia?!
na nsiolewe! Kwanza wanaume wa cku hz wanaoa au wanatafuta watu wa kuwapa frustration! Hapa JF ndo kabisaaa...ningekuwa kipofu sioni wadada wanavolia hapa ungentisha! Jamani mume wangu atajiandaa kufua, kupika, aniogeshe, ajiwekee maji ya kuoga ile ya kubeba mimba ndio itakuwa kazi yangu tu! Museven umeckia?!
Kwetu sisi ni sifa kumtengea maji ya kuoga mume
excellent point of view. Kweli kwa majibu haya ya wanawake wengi yanaonesha sababu za kulegalega kwa ndoa nyingi. Wengi wao wakishaipata hiyo ndoa waliyoililia kwa miaka mingi huleta madharau na kutupilia mbali hata waliyofundwa. Kweli mazoea huleta dharau!
Naomba msaada wanaJF. Hivi mwanamke kumwekea maji mumewe bafuni ni wajibu au ni fadhìla tu? Nauliza hivi sababu mke wangu haniwekei maji mpaka nimgombeze au siku akipenda mwenyewe. Siku nyingi nalazimika kujibebea mwenyewe. Nimeshagombana naye mara kadhaa lakini habadiliki. Nifanyeje?
nimesikia sabri. Ila wanaume wa sampuli ìyo wanapatikana akhera tu!
hapo chacha!unapenda ubosi eeh! We kupeleka maji bafuni vinakushinda? Kabla hujaoa ulikuwa unapelekewa na nani?
Acheni kukera na kuchosha wake zenu. Kwanza hata unyumba ni hiari yake akupe au akunyime.
mapenzi mnayaona kwenye kufanyiwa tu?
Siku mkeo akikwambia uinamishe kitambi chako upige deki nyumba utakubali?
Vyombo utaosha? Nguo utafua? Kama mkiwa na utaratibu wa kusaidia wake zenu mambo kama hayo basi mjue na nyie mtafanyiwa mazuri zaidi ya kupelekewa maji ya kuoga.
Duh! Yaani mnatufanya wanawake kama ni watumwa wa ndoa! Hivi kuna kitu chochote ambacho mwanamke anapaswa kuenjoy kwenye ndoa?! Kufua hadi vyupi,kupika kutumikia penzi mara sijui gogo,mara chai,mama mkwe,ndugu, watoto! Mwanamke role yake ni ipi na mwanaume yake ipi?
Umejibu bila kufikir..... mke yuko nyumbani mme ana mizunguko ya kupata hata hizo pesa za matumizi hom kwani yy hachoki majibu ya wanawake wengi ktk hili imenipa picha ya kwa nn ndoa zinawashinda hili ni moja ya jukumu la mwanamke wa kiafrika kwa mmewe
museven baada ya kupitia hii thread nimegundua kuwa kuna variations nyingi sana za mapenzi.... na ninaamini kabisa kuwa kwenye ndoa/mapenzi ni vitu vichache sana ambavyo ni wajibu na vingi ambavyo si wajibu bali mtu anavifanya kwa kuwa kuna mapenzi, anampenda mwenzi wake. Nitakuwekea maji ya kuoga bafuni (na kuoga wote) kwa kuwa tunapendana, nakupenda na kwangu ni sehemu ya mapenzi. Lakini haimaanishi kuwa ni wajibu wangu kwa sababu kama sina mapenzi na wewe haitotokea kwani hatutokuwa pamoja i.e. kwangu mie kwa mtu nimpendaye kumwekea maji bafuni ni wajibu KWANGU katika mapenzi na katu hatakiwi wewe kuichukulia kama ni WAJIBU WANGU. Kwa sababu nitafanya kwa kuwa ninapenda na si kwa kuwa tu ni mkewe au hawara.
The same applies kwenye kufua vitasa n.k