Maji marefu

Maji marefu

mbere

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
6,967
Reaction score
6,469
1aee6d2f0e9c5aef3d313a0d560fba74.jpg
 
kinachokushangaza ni nini mkuu? ni hiyo lebo kwenye plate no?
 
Kwa mwendo huu lazima atamani ata baba j afie pale kwasababu mambo yake safi kipindi hiki
 
Fisiem imekamilika kila idara. Hata mchawi ana ndinga!!!
 
Kwa mwendo huu lazima atamani ata baba j afie pale kwasababu mambo yake safi kipindi hiki
Usichokijua kikalie kimya au uliza!..Huyo proffesor sio wa kipindi hiki na ni mtata balaa, usiombe upite na demu wako mzuri mbele yake utajua watu wasio na mikono ya birika wanafananaje!..
 
Usichokijua kikalie kimya au uliza!..Huyo proffesor sio wa kipindi hiki na ni mtata balaa, usiombe upite na demu wako mzuri mbele yake utajua watu wasio na mikono ya birika wanafananaje!..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom