Wonderful!Tatizo wanawake hawana vichwa viwili.Mwanaume akiongozwa na kichwa cha chini basi kichwa kikubwa hakifanyi kazi.
Ushahidi wa thesis yangu ni kwamba kichaa mwanamke hakosi bwana ndio maana unaweza kuwaona vichaa wanawake wakiwa na watoto na wengine wana mimba.
Sasa hebu jiulize wametiwa mimba na wanaume vichaa??.
Jibu ni hapana wametiwa mimba na wanaume wenye akili zao lakini wakati wakifanya tendo hilo ni kichwa kidogo tu ndio kilikuwa kinafanya kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka mwanaume wa ki-Pare hata awe na milioni 300 shetani hatajua.
Lete basi nikushikie.Aibu nimeona mimi
nakupa zote ushike wwLete basi nikushikie.
```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela).
Na Mwanamke hujaribiwa na Shetani akiwa ameishiwa, na shetani humkimbia akipata hela. Angalia wanawake wengi wakiwa na hela wanavyojiamini, hawajirahisi hovyo kwa wanaume, wanapanga maendeleo ya familia zao. Lakini mwanamke akiishiwa anakuwa hopeless. Anapoteza matumaini, ni rahisi kuanguka dhambini ili apate pesa. Uzinzi, ulevi etc. Yuko tayari kutoa mwili wake ili apate fedha za kuikimu familia yake.```
*_Nini kifanyike?_*
```Mwanaume ukipata pesa usikae nazo, mpe mkeo azitunze then mzipangie matumizi zikiwa kwake. Ili shetani akija kukujaribu akute umeishiwa, na akienda kumjaribu mkeo akute amejaa mahela. Mission yake inafeli. Anaondoka zake kurudi kwenye makazi yake!```
Jr[emoji769]
Awwww!! Si ndio maana nakupenda.nakupa zote ushike ww
Mshana aisee siwezi kumpa hela zote mke wangu
Mnabishana na ukweli eeeh!!
```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela).
Na Mwanamke hujaribiwa na Shetani akiwa ameishiwa, na shetani humkimbia akipata hela. Angalia wanawake wengi wakiwa na hela wanavyojiamini, hawajirahisi hovyo kwa wanaume, wanapanga maendeleo ya familia zao. Lakini mwanamke akiishiwa anakuwa hopeless. Anapoteza matumaini, ni rahisi kuanguka dhambini ili apate pesa. Uzinzi, ulevi etc. Yuko tayari kutoa mwili wake ili apate fedha za kuikimu familia yake.```
*_Nini kifanyike?_*
```Mwanaume ukipata pesa usikae nazo, mpe mkeo azitunze then mzipangie matumizi zikiwa kwake. Ili shetani akija kukujaribu akute umeishiwa, na akienda kumjaribu mkeo akute amejaa mahela. Mission yake inafeli. Anaondoka zake kurudi kwenye makazi yake!```
Jr[emoji769]