[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii mada comments zake kibokoTatizo wanawake hawana vichwa viwili.Mwanaume akiongozwa na kichwa cha chini basi kichwa kikubwa hakifanyi kazi.
Ushahidi wa thesis yangu ni kwamba kichaa mwanamke hakosi bwana ndio maana unaweza kuwaona vichaa wanawake wakiwa na watoto na wengine wana mimba.
Sasa hebu jiulize wametiwa mimba na wanaume vichaa??.
Jibu ni hapana wametiwa mimba na wanaume wenye akili zao lakini wakati wakifanya tendo hilo ni kichwa kidogo tu ndio kilikuwa kinafanya kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23] hata huu usome hauna hizo mambo Maslahi ya kiroho kwenye matokeo tasa ya kimwili yaliyoharibika - JamiiForumsMara ya kwanza kuelewa uzi wako, labda kwakuwa huja mention maiti au msukule hata mara moja.
Hapana sio kila mwanamke anapewa hela i bora umpe mama yako au uweke kwenye benki yakujijenga.```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela).
Na Mwanamke hujaribiwa na Shetani akiwa ameishiwa, na shetani humkimbia akipata hela. Angalia wanawake wengi wakiwa na hela wanavyojiamini, hawajirahisi hovyo kwa wanaume, wanapanga maendeleo ya familia zao. Lakini mwanamke akiishiwa anakuwa hopeless. Anapoteza matumaini, ni rahisi kuanguka dhambini ili apate pesa. Uzinzi, ulevi etc. Yuko tayari kutoa mwili wake ili apate fedha za kuikimu familia yake.```
*_Nini kifanyike?_*
```Mwanaume ukipata pesa usikae nazo, mpe mkeo azitunze then mzipangie matumizi zikiwa kwake. Ili shetani akija kukujaribu akute umeishiwa, na akienda kumjaribu mkeo akute amejaa mahela. Mission yake inafeli. Anaondoka zake kurudi kwenye makazi yake!```
Jr[emoji769]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kaka mwanaume wa ki-Pare hata awe na milioni 300 shetani hatajua.
😂😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sky bichwa lako umenifanya nionekane mwehu mbele za watu kwa kicheko.
Maendeleo hayana chama
Katoto kazuri mi hua nakukubali sana humu jukwaani, comments zako mara nyingi huo zinaonyesha hauna unafiki, kwenye ukweli wewe unaongea tu bila kupepesa jicho hata kama ukweli huo unaigusa jinsia yako.Hapana sio kila mwanamke anapewa hela ish bora umpe mama yako au kwenye benki yakujijenga.
Mtu kapewa juzi ml. 3 na mumewe saivi nikujiremba tu na kubadilisha nguo eti kapewa afanyie vitu muhimu.
AsanteKatoto kazuri mi hua nakukubali sana humu jukwaani, comments zako mara nyingi huo zinaonyesha hauna unafiki, kwenye ukweli wewe unaongea tu bila kupepesa jicho hata kama ukweli huo unaigusa jinsia yako.
Nakuahidi mi nitaendelea kuunga mkono juhudi zako.
Maendeleo hayana chama
Kunywa balimi tatu mkuu popote ulipo nitalipia```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela).
Na Mwanamke hujaribiwa na Shetani akiwa ameishiwa, na shetani humkimbia akipata hela. Angalia wanawake wengi wakiwa na hela wanavyojiamini, hawajirahisi hovyo kwa wanaume, wanapanga maendeleo ya familia zao. Lakini mwanamke akiishiwa anakuwa hopeless. Anapoteza matumaini, ni rahisi kuanguka dhambini ili apate pesa. Uzinzi, ulevi etc. Yuko tayari kutoa mwili wake ili apate fedha za kuikimu familia yake.```
*_Nini kifanyike?_*
```Mwanaume ukipata pesa usikae nazo, mpe mkeo azitunze then mzipangie matumizi zikiwa kwake. Ili shetani akija kukujaribu akute umeishiwa, na akienda kumjaribu mkeo akute amejaa mahela. Mission yake inafeli. Anaondoka zake kurudi kwenye makazi yake!```
Jr[emoji769]
```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela).
Na Mwanamke hujaribiwa na Shetani akiwa ameishiwa, na shetani humkimbia akipata hela. Angalia wanawake wengi wakiwa na hela wanavyojiamini, hawajirahisi hovyo kwa wanaume, wanapanga maendeleo ya familia zao. Lakini mwanamke akiishiwa anakuwa hopeless. Anapoteza matumaini, ni rahisi kuanguka dhambini ili apate pesa. Uzinzi, ulevi etc. Yuko tayari kutoa mwili wake ili apate fedha za kuikimu familia yake.```
*_Nini kifanyike?_*
```Mwanaume ukipata pesa usikae nazo, mpe mkeo azitunze then mzipangie matumizi zikiwa kwake. Ili shetani akija kukujaribu akute umeishiwa, na akienda kumjaribu mkeo akute amejaa mahela. Mission yake inafeli. Anaondoka zake kurudi kwenye makazi yake!```
Jr[emoji769]
[emoji3] [emoji3] iyo kitu tumesha hii R.I.P mkuuNaomba nitafutie hii[emoji24][emoji24][emoji24] nimemmiss brother KView attachment 998855
Jr[emoji769]
Jr ukiachana na tunguli utafanya mambo mengi makubwa sana```Mwanaume hujaribiwa na Shetani akiwa na hela. Lakini shetani humkimbia akiishiwa. Angalia wanaume wengi wakiwa na hela wanavyo behave. Hawajali familia zao, attention yao kubwa ni kwenye ulevi, vimada, disco, kamari, makasino etc. Lakini wakiishiwa wanashinda nyumbani, wanajali familia, wanapanga mipango ya maendeleo (ambayo mingi haitekelezeki akishapata hela).
Na Mwanamke hujaribiwa na Shetani akiwa ameishiwa, na shetani humkimbia akipata hela. Angalia wanawake wengi wakiwa na hela wanavyojiamini, hawajirahisi hovyo kwa wanaume, wanapanga maendeleo ya familia zao. Lakini mwanamke akiishiwa anakuwa hopeless. Anapoteza matumaini, ni rahisi kuanguka dhambini ili apate pesa. Uzinzi, ulevi etc. Yuko tayari kutoa mwili wake ili apate fedha za kuikimu familia yake.```
*_Nini kifanyike?_*
```Mwanaume ukipata pesa usikae nazo, mpe mkeo azitunze then mzipangie matumizi zikiwa kwake. Ili shetani akija kukujaribu akute umeishiwa, na akienda kumjaribu mkeo akute amejaa mahela. Mission yake inafeli. Anaondoka zake kurudi kwenye makazi yake!```
Jr[emoji769]