Naanto Mushi
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 6,236
- 15,603
Najua bado itatuchukua muda sana kwa watunga sera kulielewa hili suala, maana ni suala la kifalsafa zaidi.
Fikiria kama ungekuwa na huduma ya Fire ambayo ni ya binafsi, ambao wana kandarasi ya kuzima moto kwenye jiji, utendaji wake ungekuwa wa tofauti sana. Private sekta ipo efficient sana maana wanawajibika kwa shareholders ambao ni watu binafsi tofauti na zima moto ya sasa ambao wabawajibika kwa serikali. Ni ukweli usiopingika wafanyakazi wa serikali ni wavivu mnooo..
Fikiria kama soko la kariakoo lingekuwa kinaendeshwa na Sekta Binafsi, hali ingekuwa tofauti sana, ukitaka kuthibitisha angalia performance ya taasisi za kifedha za Serikali na za Binafsi.
Kwa kifupi kabisa, mambo mengi tunayoyashuhudia sasa yanachangiwa zaidi na nchi kuendelea kukumbatia ideology za kikomunisti za serikali kufanya kila kitu, ambazo sio efficient.
Ni moja wapo ya sababu ni kwanini mimi N.Mushi nahitaji katiba mpya kwenye hii nchi, lazima tubadili ideology, kutoka hii ya sasa ya kikomunisti na tuende kwenye market economy ambayo itaelemea kwenye Private Sekta zaidi.
Fikiria kama ungekuwa na huduma ya Fire ambayo ni ya binafsi, ambao wana kandarasi ya kuzima moto kwenye jiji, utendaji wake ungekuwa wa tofauti sana. Private sekta ipo efficient sana maana wanawajibika kwa shareholders ambao ni watu binafsi tofauti na zima moto ya sasa ambao wabawajibika kwa serikali. Ni ukweli usiopingika wafanyakazi wa serikali ni wavivu mnooo..
Fikiria kama soko la kariakoo lingekuwa kinaendeshwa na Sekta Binafsi, hali ingekuwa tofauti sana, ukitaka kuthibitisha angalia performance ya taasisi za kifedha za Serikali na za Binafsi.
Kwa kifupi kabisa, mambo mengi tunayoyashuhudia sasa yanachangiwa zaidi na nchi kuendelea kukumbatia ideology za kikomunisti za serikali kufanya kila kitu, ambazo sio efficient.
Ni moja wapo ya sababu ni kwanini mimi N.Mushi nahitaji katiba mpya kwenye hii nchi, lazima tubadili ideology, kutoka hii ya sasa ya kikomunisti na tuende kwenye market economy ambayo itaelemea kwenye Private Sekta zaidi.