Majambazi 10 yalijipanga mstari mmoja barabarani usiku kuzuia gari langu lisipite

Wana bodi, naomba niwapashe habari ya tukio la hatari sana nililokutana nalo siku chache zilizopita. Kweli Waswahili hawakukosea waliposema: "duniani kuna mambo... tembea uone."

Siku hiyo ya tukio, mimi na marafiki zangu wawili tulikuwa tunafanya kazi fulani nyumbani kwangu kuanzia jioni. Kazi hiyo ilikuwa nzito na ilitakiwa iishe siku hiyo hiyo. Tukaifanya hadi saa saba hivi usiku. Baada ya kazi hiyo kukamilika, hao marafiki zangu wakaniambia wanataka warudi nyumbani kwao, kilometa kama kumi kutokea nyumbani kwangu. Ila hawakuwa na usafiri wao binafsi na muda huo magari yote ya abiria yalikuwa yameishafunga kazi. Hivyo ikabidi nichukue gari langu na kuwapeleka hao ndugu mpaka nyumbani kwao. Tulifika kwao bila tatizo, nikawaaga, nikageuza gari na kuanza kurudi nyumbani kwangu.

Kilometa kama nne, kabla ya kufika nyumbani kwangu, nikiwa barabarani, kwa mwendo wa kilometa kama 50 kwa saa, ghafla, mita kama mia mbili mbele yangu, nikaona watu wapatao kumi wanajitokeza na kuingia katikati ya barabara. Baadhi yao walitokea upande wa kushoto wa barabara na wengine walitokea upande wa kulia wa barabara. Kwa haraka sana wakajipanga mstari mmoja unaokatiza barabara huku wamepanua mikono yao kunizuia nisipite! Akili yangu ikaniambia hao lazima ni majambazi. Wanacholenga hapo ni kunifanya nisimamishe gari kisha wanidhuru au kuiba gari langu. Hivyo nikaona kusimamisha gari sio uamuzi wa busara, niendelee tu kuendesha gari. Nikajiuliza, nikiwakaribia wasipoondoka barabarani, itakuwaje? Si nitaua mtu? Nikaamua tu nisisimame. Nikatamka: "Kwa Jina la Yesu Kristo...shetani shindwa na ulegee." Nikakanyaga mafuta, nikaongeza gia, nikawasha "full lights" na kusonga mbele. Wakati huo hapakuwa na magari yoyote yanayopita barabarani.

Mita kama kumi kabla ya kuwafikia hao majambazi, nikaona wanatawanyika wenyewe kwa haraka huku "wakishangilia" hee hee hee heeee!! Nikapita hapo na sikupunguza mwendo mpaka nilipokaribia nyumbani.

Kwa tukio hilo, nimehakikisha Jina la Yesu lina uwezo wa kusambaratisha hata majambazi. Lakini pia nmejifunza sio vizuri kuendesha gari usiku, kuna hatari nyingi. Ni kweli Mungu akiwa upande wetu hakuna awezaye kuwa juu yetu(Warumi 8:31). Na maadui wakija kwa njia moja watatawanyika kwa njia saba(Kum 28:7). Hata hivyo tusimjaribu Mungu. Mimi siku hiyo sikumjaribu Mungu kwakuwa sikuwaza wala sikutarajia kukutana na majambazi wengi hivyo tena kwenye barabara yenye taa za barabarani na majumba mengi kila upande wa barabara. Naamini kwa sababu sikumjaribu Mungu, alinipigania na kunilinda, nikarudi nyumbani salama.
Fursa na zali kama hizi nazitafuta sanana kuomba zinitokee lakini wapi lakini zinawatokea wengine. Ingekuwa mimi ningeshuka na kuwatembezea mkong'oto wa nguvu
 
Nimecheka sana majambazi yameshikana mikono ukamsimulia na mkeo mkaa mkaomba ukasimulia Na kanisani wakakupa pole. Ombea uje ukutane na wazee wa kazi kona za Iyovi hata huyo Yesu kama utamkumbuka
 
H
Wana bodi, naomba niwapashe habari ya tukio la hatari sana nililokutana nalo siku chache zilizopita. Kweli Waswahili hawakukosea waliposema: "duniani kuna mambo... tembea uone."

Siku hiyo ya tukio, mimi na marafiki zangu wawili tulikuwa tunafanya kazi fulani nyumbani kwangu kuanzia jioni. Kazi hiyo ilikuwa nzito na ilitakiwa iishe siku hiyo hiyo. Tukaifanya hadi saa saba hivi usiku. Baada ya kazi hiyo kukamilika, hao marafiki zangu wakaniambia wanataka warudi nyumbani kwao, kilometa kama kumi kutokea nyumbani kwangu. Ila hawakuwa na usafiri wao binafsi na muda huo magari yote ya abiria yalikuwa yameishafunga kazi. Hivyo ikabidi nichukue gari langu na kuwapeleka hao ndugu mpaka nyumbani kwao. Tulifika kwao bila tatizo, nikawaaga, nikageuza gari na kuanza kurudi nyumbani kwangu.

Kilometa kama nne, kabla ya kufika nyumbani kwangu, nikiwa barabarani, kwa mwendo wa kilometa kama 50 kwa saa, ghafla, mita kama mia mbili mbele yangu, nikaona watu wapatao kumi wanajitokeza na kuingia katikati ya barabara. Baadhi yao walitokea upande wa kushoto wa barabara na wengine walitokea upande wa kulia wa barabara. Kwa haraka sana wakajipanga mstari mmoja unaokatiza barabara huku wamepanua mikono yao kunizuia nisipite! Akili yangu ikaniambia hao lazima ni majambazi. Wanacholenga hapo ni kunifanya nisimamishe gari kisha wanidhuru au kuiba gari langu. Hivyo nikaona kusimamisha gari sio uamuzi wa busara, niendelee tu kuendesha gari. Nikajiuliza, nikiwakaribia wasipoondoka barabarani, itakuwaje? Si nitaua mtu? Nikaamua tu nisisimame. Nikatamka: "Kwa Jina la Yesu Kristo...shetani shindwa na ulegee." Nikakanyaga mafuta, nikaongeza gia, nikawasha "full lights" na kusonga mbele. Wakati huo hapakuwa na magari yoyote yanayopita barabarani.

Mita kama kumi kabla ya kuwafikia hao majambazi, nikaona wanatawanyika wenyewe kwa haraka huku "wakishangilia" hee hee hee heeee!! Nikapita hapo na sikupunguza mwendo mpaka nilipokaribia nyumbani.

Kwa tukio hilo, nimehakikisha Jina la Yesu lina uwezo wa kusambaratisha hata majambazi. Lakini pia nmejifunza sio vizuri kuendesha gari usiku, kuna hatari nyingi. Ni kweli Mungu akiwa upande wetu hakuna awezaye kuwa juu yetu(Warumi 8:31). Na maadui wakija kwa njia moja watatawanyika kwa njia saba(Kum 28:7). Hata hivyo tusimjaribu Mungu. Mimi siku hiyo sikumjaribu Mungu kwakuwa sikuwaza wala sikutarajia kukutana na majambazi wengi hivyo tena kwenye barabara yenye taa za barabarani na majumba mengi kila upande wa barabara. Naamini kwa sababu sikumjaribu Mungu, alinipigania na kunilinda, nikarudi nyumbani salama.
Hao hawakuwa Watu bali ni Vibwengo
 
Wana bodi, naomba niwapashe habari ya tukio la hatari sana nililokutana nalo siku chache zilizopita. Kweli Waswahili hawakukosea waliposema: "duniani kuna mambo... tembea uone."

Siku hiyo ya tukio, mimi na marafiki zangu wawili tulikuwa tunafanya kazi fulani nyumbani kwangu kuanzia jioni. Kazi hiyo ilikuwa nzito na ilitakiwa iishe siku hiyo hiyo. Tukaifanya hadi saa saba hivi usiku. Baada ya kazi hiyo kukamilika, hao marafiki zangu wakaniambia wanataka warudi nyumbani kwao, kilometa kama kumi kutokea nyumbani kwangu. Ila hawakuwa na usafiri wao binafsi na muda huo magari yote ya abiria yalikuwa yameishafunga kazi. Hivyo ikabidi nichukue gari langu na kuwapeleka hao ndugu mpaka nyumbani kwao. Tulifika kwao bila tatizo, nikawaaga, nikageuza gari na kuanza kurudi nyumbani kwangu.

Kilometa kama nne, kabla ya kufika nyumbani kwangu, nikiwa barabarani, kwa mwendo wa kilometa kama 50 kwa saa, ghafla, mita kama mia mbili mbele yangu, nikaona watu wapatao kumi wanajitokeza na kuingia katikati ya barabara. Baadhi yao walitokea upande wa kushoto wa barabara na wengine walitokea upande wa kulia wa barabara. Kwa haraka sana wakajipanga mstari mmoja unaokatiza barabara huku wamepanua mikono yao kunizuia nisipite! Akili yangu ikaniambia hao lazima ni majambazi. Wanacholenga hapo ni kunifanya nisimamishe gari kisha wanidhuru au kuiba gari langu. Hivyo nikaona kusimamisha gari sio uamuzi wa busara, niendelee tu kuendesha gari. Nikajiuliza, nikiwakaribia wasipoondoka barabarani, itakuwaje? Si nitaua mtu? Nikaamua tu nisisimame. Nikatamka: "Kwa Jina la Yesu Kristo...shetani shindwa na ulegee." Nikakanyaga mafuta, nikaongeza gia, nikawasha "full lights" na kusonga mbele. Wakati huo hapakuwa na magari yoyote yanayopita barabarani.

Mita kama kumi kabla ya kuwafikia hao majambazi, nikaona wanatawanyika wenyewe kwa haraka huku "wakishangilia" hee hee hee heeee!! Nikapita hapo na sikupunguza mwendo mpaka nilipokaribia nyumbani.

Kwa tukio hilo, nimehakikisha Jina la Yesu lina uwezo wa kusambaratisha hata majambazi. Lakini pia nmejifunza sio vizuri kuendesha gari usiku, kuna hatari nyingi. Ni kweli Mungu akiwa upande wetu hakuna awezaye kuwa juu yetu(Warumi 8:31). Na maadui wakija kwa njia moja watatawanyika kwa njia saba(Kum 28:7). Hata hivyo tusimjaribu Mungu. Mimi siku hiyo sikumjaribu Mungu kwakuwa sikuwaza wala sikutarajia kukutana na majambazi wengi hivyo tena kwenye barabara yenye taa za barabarani na majumba mengi kila upande wa barabara. Naamini kwa sababu sikumjaribu Mungu, alinipigania na kunilinda, nikarudi nyumbani salama.

Kwa haraka tu, ww muoga sana bila hata kumalizia story yako
 
Ukisikika katika vyombo mbalimbali vya habari kama redio, tv, kuandika makala za uchambuzi magazetini na hata humu kwenye mitandao ya kijamii watakuona. Pia uwe unashiriki kutoa maoni yako katika vipindi vyao kupitia anuani zao za kimtandao.

Mimi nimeshiriki harakati za kisiasa miaka mingi ikiwemo kuanzisha chama cha siasa. Lakini Sumaye alikifuta alipokuwa Waziri Mkuu akidai nahamasisha vijana kuleta vurugu nchini, japo nilikuwa nawahamasisha wajitambue na kuchukua hatamu za uongozi, uthubutu na ubunifu.
Gwap

o habari mkuu,DW inakuwaje kuwa mchambuzi? natamani sana.
 
Wana bodi, naomba niwapashe habari ya tukio la hatari sana nililokutana nalo siku chache zilizopita. Kweli Waswahili hawakukosea waliposema: "duniani kuna mambo... tembea uone."

Siku hiyo ya tukio, mimi na marafiki zangu wawili tulikuwa tunafanya kazi fulani nyumbani kwangu kuanzia jioni. Kazi hiyo ilikuwa nzito na ilitakiwa iishe siku hiyo hiyo. Tukaifanya hadi saa saba hivi usiku. Baada ya kazi hiyo kukamilika, hao marafiki zangu wakaniambia wanataka warudi nyumbani kwao, kilometa kama kumi kutokea nyumbani kwangu. Ila hawakuwa na usafiri wao binafsi na muda huo magari yote ya abiria yalikuwa yameishafunga kazi. Hivyo ikabidi nichukue gari langu na kuwapeleka hao ndugu mpaka nyumbani kwao. Tulifika kwao bila tatizo, nikawaaga, nikageuza gari na kuanza kurudi nyumbani kwangu.

Kilometa kama nne, kabla ya kufika nyumbani kwangu, nikiwa barabarani, kwa mwendo wa kilometa kama 50 kwa saa, ghafla, mita kama mia mbili mbele yangu, nikaona watu wapatao kumi wanajitokeza na kuingia katikati ya barabara. Baadhi yao walitokea upande wa kushoto wa barabara na wengine walitokea upande wa kulia wa barabara. Kwa haraka sana wakajipanga mstari mmoja unaokatiza barabara huku wamepanua mikono yao kunizuia nisipite! Akili yangu ikaniambia hao lazima ni majambazi. Wanacholenga hapo ni kunifanya nisimamishe gari kisha wanidhuru au kuiba gari langu. Hivyo nikaona kusimamisha gari sio uamuzi wa busara, niendelee tu kuendesha gari. Nikajiuliza, nikiwakaribia wasipoondoka barabarani, itakuwaje? Si nitaua mtu? Nikaamua tu nisisimame. Nikatamka: "Kwa Jina la Yesu Kristo...shetani shindwa na ulegee." Nikakanyaga mafuta, nikaongeza gia, nikawasha "full lights" na kusonga mbele. Wakati huo hapakuwa na magari yoyote yanayopita barabarani.

Mita kama kumi kabla ya kuwafikia hao majambazi, nikaona wanatawanyika wenyewe kwa haraka huku "wakishangilia" hee hee hee heeee!! Nikapita hapo na sikupunguza mwendo mpaka nilipokaribia nyumbani.

Kwa tukio hilo, nimehakikisha Jina la Yesu lina uwezo wa kusambaratisha hata majambazi. Lakini pia nmejifunza sio vizuri kuendesha gari usiku, kuna hatari nyingi. Ni kweli Mungu akiwa upande wetu hakuna awezaye kuwa juu yetu(Warumi 8:31). Na maadui wakija kwa njia moja watatawanyika kwa njia saba(Kum 28:7). Hata hivyo tusimjaribu Mungu. Mimi siku hiyo sikumjaribu Mungu kwakuwa sikuwaza wala sikutarajia kukutana na majambazi wengi hivyo tena kwenye barabara yenye taa za barabarani na majumba mengi kila upande wa barabara. Naamini kwa sababu sikumjaribu Mungu, alinipigania na kunilinda, nikarudi nyumbani salama.
Glory to God...
 
Wana bodi, naomba niwapashe habari ya tukio la hatari sana nililokutana nalo siku chache zilizopita. Kweli Waswahili hawakukosea waliposema: "duniani kuna mambo... tembea uone."

Siku hiyo ya tukio, mimi na marafiki zangu wawili tulikuwa tunafanya kazi fulani nyumbani kwangu kuanzia jioni. Kazi hiyo ilikuwa nzito na ilitakiwa iishe siku hiyo hiyo. Tukaifanya hadi saa saba hivi usiku. Baada ya kazi hiyo kukamilika, hao marafiki zangu wakaniambia wanataka warudi nyumbani kwao, kilometa kama kumi kutokea nyumbani kwangu. Ila hawakuwa na usafiri wao binafsi na muda huo magari yote ya abiria yalikuwa yameishafunga kazi. Hivyo ikabidi nichukue gari langu na kuwapeleka hao ndugu mpaka nyumbani kwao. Tulifika kwao bila tatizo, nikawaaga, nikageuza gari na kuanza kurudi nyumbani kwangu.

Kilometa kama nne, kabla ya kufika nyumbani kwangu, nikiwa barabarani, kwa mwendo wa kilometa kama 50 kwa saa, ghafla, mita kama mia mbili mbele yangu, nikaona watu wapatao kumi wanajitokeza na kuingia katikati ya barabara. Baadhi yao walitokea upande wa kushoto wa barabara na wengine walitokea upande wa kulia wa barabara. Kwa haraka sana wakajipanga mstari mmoja unaokatiza barabara huku wamepanua mikono yao kunizuia nisipite! Akili yangu ikaniambia hao lazima ni majambazi. Wanacholenga hapo ni kunifanya nisimamishe gari kisha wanidhuru au kuiba gari langu. Hivyo nikaona kusimamisha gari sio uamuzi wa busara, niendelee tu kuendesha gari. Nikajiuliza, nikiwakaribia wasipoondoka barabarani, itakuwaje? Si nitaua mtu? Nikaamua tu nisisimame. Nikatamka: "Kwa Jina la Yesu Kristo...shetani shindwa na ulegee." Nikakanyaga mafuta, nikaongeza gia, nikawasha "full lights" na kusonga mbele. Wakati huo hapakuwa na magari yoyote yanayopita barabarani.

Mita kama kumi kabla ya kuwafikia hao majambazi, nikaona wanatawanyika wenyewe kwa haraka huku "wakishangilia" hee hee hee heeee!! Nikapita hapo na sikupunguza mwendo mpaka nilipokaribia nyumbani.

Kwa tukio hilo, nimehakikisha Jina la Yesu lina uwezo wa kusambaratisha hata majambazi. Lakini pia nmejifunza sio vizuri kuendesha gari usiku, kuna hatari nyingi. Ni kweli Mungu akiwa upande wetu hakuna awezaye kuwa juu yetu(Warumi 8:31). Na maadui wakija kwa njia moja watatawanyika kwa njia saba(Kum 28:7). Hata hivyo tusimjaribu Mungu. Mimi siku hiyo sikumjaribu Mungu kwakuwa sikuwaza wala sikutarajia kukutana na majambazi wengi hivyo tena kwenye barabara yenye taa za barabarani na majumba mengi kila upande wa barabara. Naamini kwa sababu sikumjaribu Mungu, alinipigania na kunilinda, nikarudi nyumbani salama.
Rubbish
 
Nimecheka sana majambazi yameshikana mikono ukamsimulia na mkeo mkaa mkaomba ukasimulia Na kanisani wakakupa pole. Ombea uje ukutane na wazee wa kazi kona za Iyovi hata huyo Yesu kama utamkumbuka
Subiri, kuna tukio jingine, siku nikipata nafasi ntasimulia. Hapo ndio utajua Yesu ni Jina Kuu sana kupita majina yote hata ya hao wazee wa kazi kona za Iyovi.
 
Back
Top Bottom