Majaliwa na Mpango kuteuliwa kama washauri wa Rais ni mkakati wa kupambaza

Majaliwa na Mpango kuteuliwa kama washauri wa Rais ni mkakati wa kupambaza

Genius Man

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2024
Posts
3,560
Reaction score
7,914
Majaliwa na mipango kuwekwa washauri wa rais ni kuwapumbaza walidaiwa kumpinga nyuma ya pazia hizo nafasi ni hewa tu huwezi kumshauri samia chochote.

Samia hashauriki chochote amewaweka hapo kwasababu ya ushawishi wao kwenye nchi na yeye amepoteza ushawishi na anakesi kubwa za mauaji ya watanzania zina msubiri kwa hamu kubwa sana.

Kwakifupi hapo kutakuwa na washauri wasio rasmi kibao ambao anao ila hao ni hewa tu.
 
Kikwete je? huyu ni mshauri kivuli ama nini?
wakati watoto wa china wakijifunza AI wazir wa elimu (wenu) wa Tanzania ni mwanafunzi aliyefeli kidato cha nne
tena ni mtoto wa rais
 
Back
Top Bottom