Majaliwa: Mheshimiwa Rais, Hongera umeapa vizuri

Majaliwa: Mheshimiwa Rais, Hongera umeapa vizuri

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,937
Reaction score
5,211
Rais Magufuli katoboa Siri kuwa siku alipoapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili na ya mwisho, Kssim Majaliwa alimtumia sms iliyosema " Mheshimiwa Rais Hongera Sana umeapa vizuri ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hakika uongozi unatafutwa kwa guvu zote kiasi kwamba unaweza kujikuta unaongea pumba
 
Rais Magufuli katoboa Siri kuwa siku alipoapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili na ya mwisho, Kssim Majaliwa alimtumia sms iliyosema " Mheshimiwa Rais Hongera Sana umeapa vizuri ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hakika uongozi unatafutwa kwa guvu zote kiasi kwamba unaweza kujikuta unaongea pumba
Nimekuelewa Vema, Usione Watu Wana Vyeo Huwa Wanapambana Mno Kuvipata.
Naweza Kukuuliza Utashangaa Mengine
Mtu Anakwambia Kamuona Fulani Kamteua Ujue Hiyo Ni Connection ๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜€๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜€๐Ÿ˜๐Ÿ˜‚
 
Kabudi kasema "mheshimiwa Mungu" badala ya mheshimiwa Rais!
Akajishtukia akabadili!
Nidhamu ikipitiliza unakuwa uoga na si nidhamu tena!
Aina Za Nidhamu:-
(1) Nidhamu Ya Dhati
(2) Nidhamu Ya Woga
(3) Nidhamu Ya Kujipendekeza
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜๐Ÿ˜€๐Ÿ˜…๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜„๐Ÿ˜
 
Rais Magufuli katoboa Siri kuwa siku alipoapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili na ya mwisho, Kssim Majaliwa alimtumia sms iliyosema " Mheshimiwa Rais Hongera Sana umeapa vizuri ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Hakika uongozi unatafutwa kwa guvu zote kiasi kwamba unaweza kujikuta unaongea pumba
Mshikaji Ni vuvuzela
 
Back
Top Bottom