Majaliwa: Mheshimiwa Rais, Hongera umeapa vizuri

Majaliwa: Mheshimiwa Rais, Hongera umeapa vizuri

Rais Magufuli katoboa Siri kuwa siku alipoapishwa kuwa Rais kwa awamu ya pili na ya mwisho, Kssim Majaliwa alimtumia sms iliyosema " Mheshimiwa Rais Hongera Sana umeapa vizuri 😀😀😀😀😀😀
Hakika uongozi unatafutwa kwa guvu zote kiasi kwamba unaweza kujikuta unaongea pumba

Majaliwa!!!!
Jamani labda amesingiziwa mbona si mtu wa hivyo!!!
 
Hii tabia ya Magufuli ‘kuwasuta’ wenzie hadharani sijui anadhani inamsaidia nini.
Sasa hata isipomsaidia na wewe inakusaidia nini? Imeisha hiyoooooooooooo, JPM HUKU, JOE BIDEN KULE.
 
Ahaaa ahaaa kumbe ulisikia, nilidhani nilisikia mwenyewe. Baada ya kusema hivyo akabadili haraka haraka kuua soo. Lakini kwa Kabudi Magu ni sawa na Mungu.
Wakiwa mbele ya Rais hawa jamaa wanatetemeka mno!Uoga mwingi mpaka wanaongea vitu ambavyo hawakutarajia!
 
Binafsi sijafurahishwa na kitendo Cha jiwe kuvujisha faragha za mawasiliano za mwenzie.

Siyo vizuri na ndo Maana ikaitwa "Private message" na siyo "Public message".
Jamaa anapenda usuperior sana!
 
Kabudi kasema "mheshimiwa Mungu" badala ya mheshimiwa Rais!
Akajishtukia akabadili!
Nidhamu ikipitiliza unakuwa uoga na si nidhamu tena!
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅💥
Kumbe nawewe uliinyaka hiyo!!!?
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅💥
 
Jpm anampenda sana majaliwa,,watu hamumuelewi tu,,kumpiga mkwala hadharani haina maana eti hapatani nae,,it is just for audience
Sawa,lakini hiyo ya kuvujisha meseji aliyotumiwa na Majaliwa ni kumdhalilisha!
Makamu wa Rais amesema yeye na Majaliwa walikuwa wanamlaani Magufuli kwa maneno aliyokuwa anawatolea!Sasa kwa mantiki hiyo,hata hili la kumdhalilisha,Majaliwa atakuwa anamlaani JPM!
 
Umenikumbusha top layer tulivyoligombea secondary moja hivi,ili litumike kuunga tena mandondo......

Maisha bila unafiki au kujipendekeza kwa dunia ya sasa hayapo
Daah niliwahi kula top layer siku moja nilishangazwa na utamu wake...hata maharage ya nazi hayaoni ndani
 
Hii tabia ya Magufuli ‘kuwasuta’ wenzie hadharani sijui anadhani inamsaidia nini.

Tunaposema Wasukuma ni washamba muelewe. Mimi Msukuma yoyote hata akiwa na hela lazima nimdharau. Nilishangaa sana kuona Ngosha anaendesha BMW X7, I asked myself how could that be possible ? It was a nightmare.

Nikikaa meza moja na msukuma na nikagundua huyu ni msukuma ni lazima nihame hiyo meza.

Siku Moja nilienda pale Coral Beach way 2016 wakati nipo likizo Tanzania. Tukawa tumechukua upande mzima wa garden.

Baadae akaja jamaa mmoja alikuwa hajui kama tumehold upande, sasa ile swahili yake nikajua huyu ni Ngosha, nilimuita Waiter Fasta , tukamwambia kama unaruhusu wasukuma waingie upande huu sisi tunaondoka, Huwezi kutuweka upande mmoja na hawa watu; we either leave, or you take this guy off this place, walimuondoa haraka haraka ndio tukakaa, na kuendelea na mambo yetu.

Huwa nina zero tolerance na hii jamii. Ngosha ni Ngosha tu no matter what.

Hata kama limesoma, hawa watu wamekosa ile kitu inaitwa fundamental Character Ethics za Humanity by Nature. You can’t change them.

Presidency ni dhamana it is just a temporary job as well, no matter what.

He needs to think beyond his little ego construct, yeye mwenyewe anaweza asimalize miaka 5 ijayo. True or false?

Free will does not exist, and no one is in control with this life, things just happen like that. You wake up in the morning you go to work, on your way to home , you get car accident, you die.... did you choose that ?

You wake up in the morning, you go to shower, suddenly , you get heart attack... you die ... did you choose that? So this man needs to structure up himself.

He is talking as if he is a little god, giving life to man kind, BS !

Nothing is guaranteed on this earth. Everything is temporary, our kids , our family , our properties etc etc, where did he get those guts to speak like that. Ooh [emoji44]
 
Ila jamaa kakwepa mishale sana naisi ni nyani mzee
Mpaka sasa majaliwa hana skendo ya kuchafuliwa,ambayo yapo ni madhaifu tu ambayo hata mwingine anayo labda pia na aina ya kiongozi aliyenae,he don't have to outshine the master.
 
Back
Top Bottom