Dah! [emoji23][emoji23] mbona ka macomedy sasa!Kabudi kasema "mheshimiwa Mungu" badala ya mheshimiwa Rais!
Akajishtukia akabadili!
Nidhamu ikipitiliza unakuwa uoga na si nidhamu tena!
Umenikumbusha top layer tulivyoligombea secondary moja hivi,ili litumike kuunga tena mandondo......Kabisa
Huku Mtaani Wanasema Bila Fitna Hutoboi
Halafu Ukiwa Unakula Top Layer (Chuzi Lenye Mafuta)
Huwezi Kuwakumbuka Masakala
Ila jamaa kakwepa mishale sana naisi ni nyani mzeeSiyo rahisi kwa mtu aliyeshika nafasi ya uwaziri mkuu kuwa rais nchi hii. Wamejaribu wengi wameshindwa. Nadhani ni kwasabb wanachafuliwa na lawama na mabaya yote ya kazi ya uwaziri mkuu
😀😁😂😅😄😃😃😀😁😂😂😅😄😄😄Umenikumbusha top layer tulivyoligombea secondary moja hivi,ili litumike kuunga tena mandondo......
Maisha bila unafiki au kujipendekeza kwa dunia ya sasa hayapo
Wamejaribu wote bila mafanikio isipokuwa Nyerere na Urais watauota mpaka kesho kutwaSiyo rahisi kwa mtu aliyeshika nafasi ya uwaziri mkuu kuwa rais nchi hii. Wamejaribu wengi wameshindwa. Nadhani ni kwasabb wanachafuliwa na lawama na mabaya yote ya kazi ya uwaziri mkuu
Halafu anamwambia mbele ya mkewe, basi tu yani, mwanaume mwenzio anakudharau mbele ya mkeo.Hii tabia ya Magufuli ‘kuwasuta’ wenzie hadharani sijui anadhani inamsaidia nini.
Utatuua Kwa Cheko 😁😂😀😅😄😄😏Kumbe alituma ka ujumbe ka kuomba cheo! n
mkubwa una uhakika kabudi na mimacho yote ile anashindwa kuona tofauti kati ya Mungu na MaguufullKabudi kasema "mheshimiwa Mungu" badala ya mheshimiwa Rais!
Akajishtukia akabadili!
Nidhamu ikipitiliza unakuwa uoga na si nidhamu tena!
Waache shoboHii tabia ya Magufuli ‘kuwasuta’ wenzie hadharani sijui anadhani inamsaidia nini.
Anawasimanga ile mbaya...[emoji23][emoji23][emoji23] bure ghali banaHii tabia ya Magufuli ‘kuwasuta’ wenzie hadharani sijui anadhani inamsaidia nini.
Kabudi kasema "mheshimiwa Mungu" badala ya mheshimiwa Rais!
Akajishtukia akabadili!
Nidhamu ikipitiliza unakuwa uoga na si nidhamu tena!
Hata mimi niliisikia nikajisikia vibaya, huyu mtu ni anaogopwa au nidhamu ya aina gani hii...Eti... "Muheshimiwa MUNGU"
Nilicheka sana!
Mtu unakuwa mnyenyekevu wa kuigiza hadi unasahau kuwa huyo unayemnyenyekea kupitiliza ni binadamu mwenzako.
UOGAEti... "Muheshimiwa MUNGU"
Nilicheka sana!
Mtu unakuwa mnyenyekevu wa kuigiza hadi unasahau kuwa huyo unayemnyenyekea kupitiliza ni binadamu mwenzako.