sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 9,237
- 8,999
Usikariri hata marekani walisema hivohivo huko nyuma lkn mwaka huu imekuwa sivyo.Siyo rahisi kwa mtu aliyeshika nafasi ya uwaziri mkuu kuwa rais nchi hii. Wamejaribu wengi wameshindwa. Nadhani ni kwasabb wanachafuliwa na lawama na mabaya yote ya kazi ya uwaziri mkuu