Rweye
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 16,958
- 7,512
Kwa binadamu yeyote mwenye hofu na Mungu ni vyema Kafumu akarudisha hekima yake kwa kujiuzulu ubunge ama la sivyo Mungu hapendi na kama damu ya Yesu ndo hii ya kwetu basi inalia na kamwe kilio cha damu hakitapita hata kwa vizazi vyao...damu inatoka kwa Mungu na kamwe damu hainunuliwi kwa pesa wala almasi,thamani ya damu ya watanzania wa Arusha,Igunga na kwingineko inaililia ccm na endapo damu hii ikijibiwa,Mungu akijibu,ccm mtapatilizwa na mauti ya karne
Tafadhari Kafumu achia ubunge wa damu,ubunge wako unanuka damu,unachululuzika damu...unadaiwa damu.
Tafadhari Kafumu achia ubunge wa damu,ubunge wako unanuka damu,unachululuzika damu...unadaiwa damu.