mwanza_kwetu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2011
- 693
- 181
Kuna taarifa ambazo nimethibitisha kuwa za kweli na sasa ziko huko Igunga ambako zinaonyesha CCM wamehusika na vifo vya akina mama wawili waliokuwa washabiki wa Chadema ktk uchaguzi wa igunga na waliuawa siku moja kabla ya uchaguzi na wameokotwa ikiwa miili yao imeharibiwa sana na polisi hawataki habari hii iwafikie wananchi; na habari zinaeleza mabaunsa wa CCM ndio waliohusika na mpango huu dhalimu, katili na wa kimauaji.
Swali ni Je sasa CCM ni dhahiri ni wauaji wa wananchi wake wenyewe wanaowaomba kura? wanataka kutawala nini mwishi wa siku kama wananchi wanaotaka kuwatawala wanawaua; je Salome mbatia; hapa kwetu mwanza je (wamachinga vipi?), Nyerere; kolimba; wananchi wa bulyankulu waliofukiwa; Masoud wa ubungo nae vipi? je chacha wangwe pia si jasusi wao alihusika? North mara ambako walihaha kutofanya post mortem nako; je pemba mwaka 2001 vipi? matukio mbona ni mengi sasa; je naruadia tena tusaidiane huu ukweli lazima uwe wazi; kama CCM wauaji sasa tujue ni mhimu kujua tunaongozwa na watu katili tena wauaji (Nina hasira na mod wamekuwa wakiondoa mada zinazotaka kujua ukweli mchungu; sijui kama nao wanatumiwa au la; ni hatari kwa ustawi kama ukweli utaanza kufunikwa maana kuna mada ya mauaji imefutwa kabisa hata MODS na siwaungi mkono ktk hilo)
Swali ni Je sasa CCM ni dhahiri ni wauaji wa wananchi wake wenyewe wanaowaomba kura? wanataka kutawala nini mwishi wa siku kama wananchi wanaotaka kuwatawala wanawaua; je Salome mbatia; hapa kwetu mwanza je (wamachinga vipi?), Nyerere; kolimba; wananchi wa bulyankulu waliofukiwa; Masoud wa ubungo nae vipi? je chacha wangwe pia si jasusi wao alihusika? North mara ambako walihaha kutofanya post mortem nako; je pemba mwaka 2001 vipi? matukio mbona ni mengi sasa; je naruadia tena tusaidiane huu ukweli lazima uwe wazi; kama CCM wauaji sasa tujue ni mhimu kujua tunaongozwa na watu katili tena wauaji (Nina hasira na mod wamekuwa wakiondoa mada zinazotaka kujua ukweli mchungu; sijui kama nao wanatumiwa au la; ni hatari kwa ustawi kama ukweli utaanza kufunikwa maana kuna mada ya mauaji imefutwa kabisa hata MODS na siwaungi mkono ktk hilo)