Daisy Llilies
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,017
- 2,154
Wenye viwanda walitangaza kazi na watu kutoka vijijini walihamia katika miji yenye viwanda. Nyumba zilikua na umeme lakini vyoo na bomba la maji vilikua nje.
Kulikua na mabafu ya kulipia na watu wengi wa hali ya chini walimudu kuoga mara moja kwa wiki. Hizi ni enzi za The Poor Law.
Usipomudu kufanya kazi na kujinunulia chakula ulipelekwa kwenye nyumba za masikini. Huko ulitunzwa kama mfungwa.