Kwenda mbali kutafuta Maisha ni nadharia iliyopitwa na wakati katika Tanzania ya sasa

Utajua ujui

JF-Expert Member
Aug 3, 2023
249
832
Habari,

Jamii unatakiwa iondoe nadharua ya kuwa taka vijana watoke kwenye ma kazi yao waliyoyazoea kwa kigezo cha kutoka kwenda kutafuta maisha.

Jamii ya sasa iliyogubikwa na utandawazi wa hali ya juu kuna changamoto nyingi sana zinazowakabiri vijana kama:

Ulevi na madawa ya kulevya
Vitendo vya kishoga na usagaji
Ndoa na nguvu za kiume
Mimba zisizotarajiwa.
Uchumi mbovu.
Magonjwa ya akili.
Magonjwa ya zinaa.

Kiukweli hivi vyote vinawakumba vijana kwa sasa, nadhani kuwafukuza vijana na kuwaacha waende wakajitegemee wenyewe pasipo na uhakika wa kipato kupitia kazi au biashara na kipaji.

Kinapelekea vijana wengi waanze kujihusisha kwenye masuala ya ovyo sana na mwisho was siku jamii inakuja kutambua muda umeenda.

Rai yangu naomba wazazi wawajenge vijana wanaokaa nao katika kuwategeneza kwenye kipato chao binafsi kama kuwafungulia bias hara au kilimo, kuliko kuwaacha kabisa na kutaka watoke waende mbali na makazi yao walioyazoea na kwenda mbali huko pasipo kjjiandaa.

Tunakabiliwa na changamoto ya
Ajira
Mifumo mibovu ya watu wanaoamua kuwa wafanyabiashara wadogo.

Hivyo NAKATAA USEMI WA KUSEMA ILI UFANIKIWE LAZIMA UTOKE KATIKA MAKAZI YAKO ULIYOYAZOEA NA KWENDA MBALI ILI KUTAFUTA MAISHA
 
Ndo maana hujafanikiwa .yaani uwe na duka la mchele aje akope mjomba umnyime kilo 1? Kila harusi wasikuombe michango? Kila anakufa ufunge duka kwenda kuzika? Uuze simu janja afu uliembikili ana kitochi?

Pia ni kisomi(psychology) watu wasiokujua huwa hawawezi kukuonea wivu na hawashangazwi ukifanikiwa maana hawakujui.

Ila uliesoma nae ni dereva halmashaur afu ajue kuna tenda ya kulisha shule mil 800 na anakujua ww ni mtu wa mazao walah atachagua ampe mtu baking sio ww.maana ukitajirika mtagombea demu wa hapo hapo karatu

Pia kuna mambo ya kiroho .yaan mchawi huwa hasumbuki na asie mjua hata kumloga mtu huwa wanaomba details .ww kwenda ugenini wanakuwa hawakujui na kijanja unajiita jina la uongo .
TAMAT:Mungu hakukuumba uzeekee kijijin kwenu alipenda tuchanganyike inasaidia sana .maana mnapata mbadala mwingine wa kufikiri.

Nakushauri kama kijana nenda na nairobi tu hapo kakae wiki uchunguze biashara .ukirudi utakuwa umezsliwa upyaaaaa.
 
Ndo maana hujafanikiwa .yaani uwe na duka la mchele aje akope mjomba umnyime kilo 1? Kila harusi wasikuombe michango? Kila anakufa ufunge duka kwenda kuzika? Uuze simu janja afu uliembikili ana kitochi?
Pia ni kisomi (psychology) watu wasiokujua huwa hawawezi kukuonea wivu na hawashangazwi ukifanikiwa maana hawakujui.
Ila uliesoma nae ni dereva halmashaur afu ajue kuna tenda ya kulisha shule mil 800 na anakujua ww ni mtu wa mazao walah atachagua ampe mtu baking sio ww.maana ukitajirika mtagombea demu wa hapo hapo karatu
Pia kuna mambo ya kiroho .yaan mchawi huwa hasumbuki na asie mjua hata kumloga mtu huwa wanaomba details .ww kwenda ugenini wanakuwa hawakujui na kijanja unajiita jina la uongo .
TAMAT:Mungu hakukuumba uzeekee kijijin kwenu alipenda tuchanganyike inasaidia sana .maana mnapata mbadala mwingine wa kufikiri .
Nakushauri kama kijana nenda na nairobi tu hapo kakae wiki uchunguze biashara .ukirudi utakuwa umezsliwa upyaaaaa
Wapi nimeeandika sijafanikiwa.

Sipingani na maamuzi yako.

Nikuulize kitu je utaweza kumruhusu mwanao wa kike aende.au stoke akatafute maisha nje na circle yako kwa kigezo cha kusema hawezi kufanikiwa akiwa karibu na Mahalia alipopazoea .

Hiyo dhana ya zamani mbona wenzetu wachaga wanafanya maendeleo kwenye vijiji vyao na wao wakiwa hapo
 
Wapi nimeeandika sijafanikiwa.

Sipingani na maamuzi yako.

Nikuulize kitu je utaweza kumruhusu mwanao wa kike aende.au stoke akatafute maisha nje na circle yako kwa kigezo cha kusema hawezi kufanikiwa akiwa karibu na Mahalia alipopazoea .

Hiyo dhana ya zamani mbona wenzetu wachaga wanafanya maendeleo kwenye vijiji vyao na wao wakiwa hapo
Wachaga hawakai kwao
 
Mada nzuri na inazidi kupamba moto lakini suluhu ni kuwa kuna faida na hasara kwa kila upande kutafutia maisha nyumbani au ugenini japokuwa mimi nitachagua hybrid
 
Tatizo ni umasikini wa familia nyingi. Utakuta nyumba ya familia ndogo mko watoto wengi unaona aibu kubanana na wadogo zako kwenye chumba kimoja unaamua kuondoka. suala la matumiz ya madawa ya kulevya ni la mtu binafsi vijana wengi tu wanaishi kwao na wanatumia hayo madude. Ingawa sishauri mtoto wa kike kuondoka nyumbani kwenda kutsfuta maisha bila kuolewa.
 
Tatizo ni umasikini wa familia nyingi. Utakuta nyumba ya familia ndogo mko watoto wengi unaona aibu kubanana na wadogo zako kwenye chumba kimoja unaamua kuondoka. suala la matumiz ya madawa ya kulevya ni la mtu binafsi vijana wengi tu wanaishi kwao na wanatumia hayo madude. Ingawa sishauri mtoto wa kike kuondoka nyumbani kwenda kutsfuta maisha bila kuolewa.
Asante imekaa.sawa.
 
Kutafuta Maisha au kutafuta MAFANIKIO Makubwa ?

Mtu anayetoka kwao akiwa na uhakika wa kula ,kulipa biil zake zote huyo anakuwa haendi kutafuta Maisha Bali Mafanikio Makubwa .


Hayo mambo yakutokutoka na kwenda mbali Unabidi kuwaambia watu ambao hawana Malengo yakufanikiwa ndo anaweza Kucheza na zero distance naona Kuna Nguvu kubwa Sana ya kutoka Sehemu moja kwenda nyingine kuliko kubaki zero distance.
 
Ndo maana hujafanikiwa .yaani uwe na duka la mchele aje akope mjomba umnyime kilo 1? Kila harusi wasikuombe michango? Kila anakufa ufunge duka kwenda kuzika? Uuze simu janja afu uliembikili ana kitochi?

Pia ni kisomi(psychology) watu wasiokujua huwa hawawezi kukuonea wivu na hawashangazwi ukifanikiwa maana hawakujui.

Ila uliesoma nae ni dereva halmashaur afu ajue kuna tenda ya kulisha shule mil 800 na anakujua ww ni mtu wa mazao walah atachagua ampe mtu baking sio ww.maana ukitajirika mtagombea demu wa hapo hapo karatu

Pia kuna mambo ya kiroho .yaan mchawi huwa hasumbuki na asie mjua hata kumloga mtu huwa wanaomba details .ww kwenda ugenini wanakuwa hawakujui na kijanja unajiita jina la uongo .
TAMAT:Mungu hakukuumba uzeekee kijijin kwenu alipenda tuchanganyike inasaidia sana .maana mnapata mbadala mwingine wa kufikiri.

Nakushauri kama kijana nenda na nairobi tu hapo kakae wiki uchunguze biashara .ukirudi utakuwa umezsliwa upyaaaaa.
Huu uzii ufungwe umeongea ukweli mtupu mkuu
 
Mtu kufanikiwa sehemu aliko zaliwa Ni ngumu Sana Yaani Sana tu.Kuna member hapo juu ameeleza vizuri Sana.

Kwetu tuna msemo wetu tunasemaga " huwezi kukaukia sehemu uliyoogea".
Ni Jambo la heri Sana ukiwa kijana kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine tofauti na nyumbani ulikozaliwa.Na huko utakuwa na uhakika wa kutoboa.
 
Watu wa kale wangefuatilia ushauri wa mtoa mada kwenye uzi huu, basi yumkini mpala leo tungekuwa bado tunaishi kwenye mapango.

Kwenda mbali na ulipozaliwa ni sehemu ya maendeleo, uvumbuzi, utafiti, kuijua dunia.
 
Mtu kufanikiwa sehemu aliko zaliwa Ni ngumu Sana Yaani Sana tu.Kuna member hapo juu ameeleza vizuri Sana.

Kwetu tuna msemo wetu tunasemaga " huwezi kukaukia sehemu uliyoogea".
Ni Jambo la heri Sana ukiwa kijana kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine tofauti na nyumbani ulikozaliwa.Na huko utakuwa na uhakika wa kutoboa.
Mpaka kutoka sehemu ulipozaliwa ni kilometer ngapi. Mfano nimezaliwa na kukulia magomeni. Je nikienda kupambana Ubungo maji bado pata kuwa ni nyumbani?
 
Ndo maana hujafanikiwa .yaani uwe na duka la mchele aje akope mjomba umnyime kilo 1? Kila harusi wasikuombe michango? Kila anakufa ufunge duka kwenda kuzika? Uuze simu janja afu uliembikili ana kitochi?

Pia ni kisomi(psychology) watu wasiokujua huwa hawawezi kukuonea wivu na hawashangazwi ukifanikiwa maana hawakujui.

Ila uliesoma nae ni dereva halmashaur afu ajue kuna tenda ya kulisha shule mil 800 na anakujua ww ni mtu wa mazao walah atachagua ampe mtu baking sio ww.maana ukitajirika mtagombea demu wa hapo hapo karatu

Pia kuna mambo ya kiroho .yaan mchawi huwa hasumbuki na asie mjua hata kumloga mtu huwa wanaomba details .ww kwenda ugenini wanakuwa hawakujui na kijanja unajiita jina la uongo .
TAMAT:Mungu hakukuumba uzeekee kijijin kwenu alipenda tuchanganyike inasaidia sana .maana mnapata mbadala mwingine wa kufikiri.

Nakushauri kama kijana nenda na nairobi tu hapo kakae wiki uchunguze biashara .ukirudi utakuwa umezsliwa upyaaaaa.
Exactly mi napenda sana mazingira mapya nijuane na watu tofauti karibu kila siku
 
Mtu kufanikiwa sehemu aliko zaliwa Ni ngumu Sana Yaani Sana tu.Kuna member hapo juu ameeleza vizuri Sana.

Kwetu tuna msemo wetu tunasemaga " huwezi kukaukia sehemu uliyoogea".
Ni Jambo la heri Sana ukiwa kijana kwenda kutafuta maisha sehemu nyingine tofauti na nyumbani ulikozaliwa.Na huko utakuwa na uhakika wa kutoboa.
Exactly mi nakua bored sana kila siku nikikaa mazingira yaleyále niliyokulia na kuzaliwa ,mazingira mapya yanakupa challenges za kujifunza kutoka kwa watu mbalimbali na mazingira mapya
 
Back
Top Bottom