Maisha ya Ubachelor sometime yanachosha

Maisha ya Ubachelor sometime yanachosha

Bachela hakikisha hukosi mkate ndani hii ni kinga dhidi ya njaa na uvivu
Yamenikuta
Nimeamka na njaa hatari nkasema isiwe tabu si nina mkate wangu.
Basi nkatengeneza maziwa kwa mbwembwe nataka kupaka mkate siagi tu duuuuu nakuta umeharibika
Dah pozi likaniisha.

Wala sina mpango wa kwenda dukani nakunywa maziwa hivyo hivyo.
 
A
Daah kuna siku nimerudi geto sa kumi na moja jioni nimechoka kinoma halafu vyombo vichafu nikasema ngoja nijilaze kidogo walau kanusu saa. Kilichotokea nimeshtuka saa sita usiku mvua inanyesha sasa hapo ndio naisikia njaa yenyewe na usingizi sina.

Nilichukua sufuria la kuchemshia maji nikachemsha chai nikala na parachichi. Maana usiku kuanza kuhangaika na mavyombo jau sana. Hapo ndio nikatambua umuhimu wa mke aseeh
Chai na parachichi,aisee nimecheka
 
Kama wewe ni bacheloer

Ebu tafuta kuku mbichi awe mzima sio nusu wala robo. Chukua mpake mchanganyiko wa tangawizi, pilipili ya kijani, kitunguu swaumu, binzari , chumvi na ndimu.

Kisha chukua mtie kwenye mafuta......kwaajiri ya kumdeep fry, halafu chukua vitunguu vichanga vitoe majani kisha tia humo katika mafuta bila kuvikatakata, acha vikaangike pamoja huku ukimgeuza huyo kuku ili aive fresh.

Akisha iva waweza kwenda nunua chips kavu au waweza kaanga za kwako hapo ndani ni viazi kidogo tu, then tafuta na wine yako nzuri hapo kisha weka movie yako unayopenda.
 
Kama wewe ni bacheloer

Ebu tafuta kuku mbichi awe mzima sio nusu wala robo. Chukua mpake mchanganyiko wa tangawizi, pilipili ya kijani, kitunguu swaumu, binzari , chumvi na ndimu.

Kisha chukua mtie kwenye mafuta......kwaajiri ya kumdeep fry, halafu chukua vitunguu vichanga vitoe majani kisha tia humo katika mafuta bila kuvikatakata, acha vikaangike pamoja huku ukimgeuza huyo kuku ili aive fresh.

Akisha iva waweza kwenda nunua chips kavu au waweza kaanga za kwako hapo ndani ni viazi kidogo tu, then tafuta na wine yako nzuri hapo kisha weka movie yako unayopenda.
Hiyo kazi mbona ngumu sana..

Kwani nikipika dona langu na dagaa wa kukaanga na vichwa vyake napungukiwa nini??

Nianze kupaka mavitunguu swaumu sijui matangawizi ishiiii
 
Acheni stori za kupika, kupika unaeza kwenda kwa mama lishe

Shughuli ipo kwenye suala la kufua, especially pale nguo zooote ushavaa imebaki moja, sijui nyie wenzangu mlikuwa mnafanyeje?

Maana sometimes bila ku import unaweza kukuta nguo chafu haziishi ndani aisee...
 
Mmenikumbusha maisha ambayo nilienjoy sanaa maana ni hatari. Unatumia vyombo vyote harafu weekend unaopoa akifika getto lazima apige usafi wa jumla
 
Hiyo kazi mbona ngumu sana..

Kwani nikipika dona langu na dagaa wa kukaanga na vichwa vyake napungukiwa nini??

Nianze kupaka mavitunguu swaumu sijui matangawizi ishiiii
[emoji23][emoji23][emoji23]eti na vichwa vyake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyie bachelor's ni kiboko [emoji119], sijui tuseme ni uvivu au ni uchafu?
 
Mimi kufua ndo mtihani mkubwa Sana kwangu, naweza loweka nguo ata week, nikaja kuzitupa kizembe
 
nilikiwa nakula kwa mama ntilie kila cku ila ikafika kipndi nikachoka kutokana na masafa kuwa maref+ jua kali+ uchovu.
nikanunua jiko dogo na vyombo vya kupikia.
nimepika siku mbili tu nkarudi kule kule kwa mama ntilie.
kilichonishinda ukishashiba ugali kazi ya kwenda kushindana na mavyombo kwangu ilikuwa ngumu mno
 
Back
Top Bottom