Maisha ya Ubachelor sometime yanachosha

Maisha ya Ubachelor sometime yanachosha

Ngoja nishare na nyinyi kidgo
Maisha ya ubachelor mazur xana ili kuondokana na changamoto ya kulala na njaa chukua nyama nusu,maini, maharage nusu chemsha wikend weka kwenye friji nunua rise cooker na viungo jaza kwenye friji we ukirud ni mwendo wa kuunga tu i hope hii marxim itawasaidia
 
Ngoja nishare na nyinyi kidgo
Maisha ya ubachelor mazur xana ili kuondokana na changamoto ya kulala na njaa chukua nyama nusu,maini, maharage nusu chemsha wikend weka kwenye friji nunua rise cooker na viungo jaza kwenye friji we ukirud ni mwendo wa kuunga tu i hope hii marxim itawasaidia
Ubachala mbaya ukiugua ukazidiwa hata hivyo bora kufa kwa kukosa huduma ukiuugua kuliko kuuliwa na mke!
 
*Haya maisha ya ki bachelor bhana* *noma sana.*
*unaweza ukatafuta dekio kama dakika 20* *kuja kushtuka kumbe umelivaa*
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii ishu ya kusahau bana, kuna mzee mmoja kijijini alikuwa na desturi ya kwenda kukata mti(gogo) msituni kwa ajili ya kuni, maana kuota moto ilikuwa desturi yake kama ilivyo kawaida ya wazee wengi wa vijijini.

Siku moja akaondoka nyumbani kuelekea msituni, akachukua shoka na kuliweka begani, akaanza safari. Alipofika msituni akawa amejisahau akajikuta hana shoka ilihali kalibeba begani.

Akaamua kurudi nyumbani ili akalichukie shoka, alipofika nyumbani akaulizwa mbon leo hujakata mti ulete gogo, akasema nimesahau shoka.

Akaambiwa mbona shoka hilo hapo begani, hapo ndio kashtuka na akasema alisahau kama alililweka begani.

Mimi pia mara nyingi huwa najisahau nikiweka pen kwenye mfuko wa shati halafu naanza kuitafuta, baadae nikigundua ninayo mfukoni huwa nacheka sana
 
Nilipika uji wa ulezi usiku, asubuhi nikaenda gym narudi nataka tena nipike uji.

Akili inaniambia, sasa hii sufuria jana si umepikia uji? Na sasa hivi si utapikia uji? Sasa uioshe ya kazi gani?

Kilichofuatia ITV .......
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nilipika uji wa ulezi usiku, asubuhi nikaenda gym narudi nataka tena nipike uji.

Akili inaniambia, sasa hii sufuria jana si umepikia uji? Na sasa hivi si utapikia uji? Sasa uioshe ya kazi gani?

Kilichofuatia ITV .......
Hahahaaaa ishanitokea mara kibao hii hali.
Ilifika wakati karai la kukaangia mboga natumia hadi siku tatu bila kuosha nikaona isiwe tabu ngoja nitafute mwenza.
 
Ubachala mbaya ukiugua ukazidiwa hata hivyo bora kufa kwa kukosa huduma ukiuugua kuliko kuuliwa na mke!
Tena ukishikwa na ugonjwa usiku wamanane halafu huna msaada karibu hapo ndipo unapotamani hata yule Mwanamke unayemkataaga angekuwa Mke wako,angekusaidia!
 
Ngoja nishare na nyinyi kidgo
Maisha ya ubachelor mazur xana ili kuondokana na changamoto ya kulala na njaa chukua nyama nusu,maini, maharage nusu chemsha wikend weka kwenye friji nunua rise cooker na viungo jaza kwenye friji we ukirud ni mwendo wa kuunga tu i hope hii marxim itawasaidia
Bado INACHOSHA,KUNA MDA THINGS aren't moving man
 
Back
Top Bottom