RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,503
- 135,520
Unakuja kupikia kwangu?vyakula vyote napika
Unakuja kupikia kwangu?vyakula vyote napika
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukiwa bachela usiombee ununue samaki wa kukaanga, nakuhakikishia rate ya kuwapika ni ndogo sana, utaenda gengen vzr tu kununua mazaga kama nyanya, ngogwe na vitunguu ila ukishaingia geto tu akili inakutuma, hv si hapo nje panauzwa maziwa ya mtindi? Kifuatacho nahc hakuna asiejua, nyanya nilikua nagawa kwa mother house. Uzuri wa maisha ya geto huoni tofaut ya ugali mbich na ulioiva, nilishawah kupika ugali mgumu nahc kupita viwango vyote, jinsi ulivyokua mgumu na mbichi ulikua umeachana achana kana kwamba ukigeuka pemben kunawa mikono ukirud mende kaingia katkat ya ugali unakula nae bila wewe kujua kua mzee mchafu yupo ndani.
lini sasaUnakuja kupikia kwangu?
Unaniuliza mimi? Wewe si ndio mtoa huduma?lini sasa
mimi muda wowte tu[emoji41]Unaniuliza mimi? Wewe si ndio mtoa huduma?
Haya siku nikiwa na njaa nitakutafuta.mimi muda wowte tu[emoji41]
haya[emoji41] [emoji41] [emoji41]Haya siku nikiwa na njaa nitakutafuta.
yan kupika ndo tatizo kubwa sana kwangu!!unapatikana wap??kuja pm tuyajenge best...!!bachelor anaehitaj kupikiwa awasiliane namimi bei tutapatan huduma ya kupikia mabachelor inapatikan hapa cc mis natafuta
Hahahahahahaaaa Umetisha sana we jamaaUkiwa bachela usiombee ununue samaki wa kukaanga, nakuhakikishia rate ya kuwapika ni ndogo sana, utaenda gengen vzr tu kununua mazaga kama nyanya, ngogwe na vitunguu ila ukishaingia geto tu akili inakutuma, hv si hapo nje panauzwa maziwa ya mtindi? Kifuatacho nahc hakuna asiejua, nyanya nilikua nagawa kwa mother house. Uzuri wa maisha ya geto huoni tofaut ya ugali mbich na ulioiva, nilishawah kupika ugali mgumu nahc kupita viwango vyote, jinsi ulivyokua mgumu na mbichi ulikua umeachana achana kana kwamba ukigeuka pemben kunawa mikono ukirud mende kaingia katkat ya ugali unakula nae bila wewe kujua kua mzee mchafu yupo ndani.
rise cooker ndo nini mkuu?Ngoja nishare na nyinyi kidgo
Maisha ya ubachelor mazur xana ili kuondokana na changamoto ya kulala na njaa chukua nyama nusu,maini, maharage nusu chemsha wikend weka kwenye friji nunua rise cooker na viungo jaza kwenye friji we ukirud ni mwendo wa kuunga tu i hope hii marxim itawasaidia
hahhaa sio mchezo mie nshalalaga na njaa kwa style hyoDaah kuna siku nimerudi geto sa kumi na moja jioni nimechoka kinoma halafu vyombo vichafu nikasema ngoja nijilaze kidogo walau kanusu saa. Kilichotokea nimeshtuka saa sita usiku mvua inanyesha sasa hapo ndio naisikia njaa yenyewe na usingizi sina.
Nilichukua sufuria la kuchemshia maji nikachemsha chai nikala na parachichi. Maana usiku kuanza kuhangaika na mavyombo jau sana. Hapo ndio nikatambua umuhimu wa mke aseeh
Tumefika mama kulikoni mbona umetuita.Cc. mabachela wote ambao ni wachafu
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kuoa kupo tu tutaoa hunter.Vijana oeni
Hahaa.. Pole mkuuhahhaa sio mchezo mie nshalalaga na njaa kwa style hyo
asante mzee baba ila kila nkisema nioe naona aaah bdo mpk mambo yakae sawa.Sometime pia kusoma nako shida unacomplicate kila ktuHahaa.. Pole mkuu
Mkuu kama bado unasoma bora ukamaliza kwanza. Kuchanganya kitabu na ndoa inahitaji mtu mwenye utulivu wa nafsi, akili na maono. Unaweza jikuta unaingiza sap 3-4 per semisterasante mzee baba ila kila nkisema nioe naona aaah bdo mpk mambo yakae sawa.Sometime pia kusoma nako shida unacomplicate kila ktu