Maisha ya Ubachelor sometime yanachosha

Maisha ya Ubachelor sometime yanachosha

U bachelor bana! Yani nikimaliza kusonga ugali noloweka sufuria week nzima, ikianza kutoa harufu nabadilisha maji naweka mengine kuja kuiosha ni mpaka weekend tena iyo weekend yenyewe nikipata safari nsipokua geto kuja kuiosha tena ni mpaka week ijayo[emoji23][emoji23] ...asubui nikiamka sichomoi net ili nikirudi baadae nisipate shida kuichomeka tena ...nguo zimezagaa kila mahali utadhania apo ndani kuna mnada[emoji23][emoji23]
@Wanake mungu awabariki kwakweli
 
Ukiwa bachela usiombee ununue samaki wa kukaanga, nakuhakikishia rate ya kuwapika ni ndogo sana, utaenda gengen vzr tu kununua mazaga kama nyanya, ngogwe na vitunguu ila ukishaingia geto tu akili inakutuma, hv si hapo nje panauzwa maziwa ya mtindi? Kifuatacho nahc hakuna asiejua, nyanya nilikua nagawa kwa mother house. Uzuri wa maisha ya geto huoni tofaut ya ugali mbich na ulioiva, nilishawah kupika ugali mgumu nahc kupita viwango vyote, jinsi ulivyokua mgumu na mbichi ulikua umeachana achana kana kwamba ukigeuka pemben kunawa mikono ukirud mende kaingia katkat ya ugali unakula nae bila wewe kujua kua mzee mchafu yupo ndani.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] hatari sana aisee,,, bachelor kama unaish shm halafu we Pekee ndo upo single wengine wote wameoa utapewa ushirikiano wote ata msosi unaweza kupewa km hujapka ila siku Ukileta demu tu,,, basi unachuniwa mwanzo mwsho
 
Hakuna mtu anakua na mawazo ya kupika chakula kzr kama bachela , yan akitoka kununua nyama hapo njaa haijakaza anafkria jinsi atakavyopika rosti ya nguvu ya nyama na ugali mzuri ila jinsi mda unavyoenda na njaa inavyozd mawazo yanabadrika mwisho wa siku ni chapat kwa supu kama maji na nyama mbich ukitoka umevimba mdomo.
 
njaa inauma lkn uvivu unanitesa yani hata kupika chai nashindwa ilhali kila kitu kipo [emoji125] [emoji125] [emoji125] wallah nachukua jiko
 
Kuna siku nlibandika Nyama kwenye Gas baada ya kutoka Chuo..sasa ule uchovu nkasema ngoja njilazee ntashtuka niiangalie kama imeiva... Yanii bila jirani kuwepo pale nadhani ningekuta nyama imekua Mkaaa..!.. haa ha ha..ubachelor noma
 
Back
Top Bottom