Locci
JF-Expert Member
- Dec 16, 2017
- 1,002
- 826
we unazingua ww!!..haya maisha mi nshachoka kwan we tayari wajanja washakuwahi??huu mwaka sitaki uishe bilabila!!wew ukihitaj huduma nitafute tu
we unazingua ww!!..haya maisha mi nshachoka kwan we tayari wajanja washakuwahi??huu mwaka sitaki uishe bilabila!!wew ukihitaj huduma nitafute tu
Hahahaaaaaaa, kweli kabisa*Haya maisha ya ki bachelor bhana* *noma sana.*
*unaweza ukatafuta dekio kama dakika 20* *kuja kushtuka kumbe umelivaa*
Daaaaah sjaambulia chochote mkuuKama wewe ni bacheloer
Ebu tafuta kuku mbichi awe mzima sio nusu wala robo. Chukua mpake mchanganyiko wa tangawizi, pilipili ya kijani, kitunguu swaumu, binzari , chumvi na ndimu.
Kisha chukua mtie kwenye mafuta......kwaajiri ya kumdeep fry, halafu chukua vitunguu vichanga vitoe majani kisha tia humo katika mafuta bila kuvikatakata, acha vikaangike pamoja huku ukimgeuza huyo kuku ili aive fresh.
Akisha iva waweza kwenda nunua chips kavu au waweza kaanga za kwako hapo ndani ni viazi kidogo tu, then tafuta na wine yako nzuri hapo kisha weka movie yako unayopenda.
mkuu jitahidi sana ukiamka asubuh utandike kitanda, siku inakuwa njema sana a yenye mpangilioukiamka asubuhi unasepa tu... akili inasema nitatandika kitanda nikirudi... 😀😀😀😀
Anekugusa wapi?Umenigusa
Hamna haja ya mke mkuu. Vuta house girl kisha fanya kama anavyofundisha Nabii Tito. TAFUNAA...Daah kuna siku nimerudi geto sa kumi na moja jioni nimechoka kinoma halafu vyombo vichafu nikasema ngoja nijilaze kidogo walau kanusu saa. Kilichotokea nimeshtuka saa sita usiku mvua inanyesha sasa hapo ndio naisikia njaa yenyewe na usingizi sina.
Nilichukua sufuria la kuchemshia maji nikachemsha chai nikala na parachichi. Maana usiku kuanza kuhangaika na mavyombo jau sana. Hapo ndio nikatambua umuhimu wa mke aseeh
Nafanya kile ninacho elekezwa kwenye biblia talatifu na siyo kinacho elekezwa na nabii. Mkuu tafuteni member kwa ustaarabu humu hamtapata.Hamna haja ya mke mkuu. Vuta house girl kisha fanya kama anavyofundisha Nabii Tito. TAFUNAA...
Nafanya kile ninacho elekezwa kwenye biblia talatifu na siyo kinacho elekezwa na nabii. Mkuu tafuteni member kwa ustaarabu humu hamtapata.
Huyo jamaa yenu mmemuwekea dhamana.?
Hahaa.. Mkuu naona mmejitahidi na mmejidhatiti kumtoa huyo jamaa. Nimesikia leo kajichana viwembeTupo tunajipanga bro. Tutatafuta na wakili kama kesi itapelekwa mahakamani.
Akili inakua ya kuwahi kwa mangi kununua Mkate na soda/ juisi; Na sio kupika tena.Ikifikaa Mida ya Kupika saa 12 jioni hujui wala huoni cha kupika.. sasa ngoja mida iendee saa 2 hiv njaa imekoleaa ndo akili inakuja..
Hawezi fanya hivyo! Akili yake ipo vizuri tu. Labda wanaomshikilia ndio wafanue hivo...Hahaa.. Mkuu naona mmejitahidi na mmejidhatiti kumtoa huyo jamaa. Nimesikia leo kajichana viwembe
Ndio maisha yetu hayo kwani wewe hujapitia huko?[emoji23][emoji23][emoji23]eti na vichwa vyake