Maisha ya Papa Francis

Maisha ya Papa Francis

Kwa walioko nje, si rahisi kuielewa taasisi hii: Kanisa katoliki.

Watabakia kubwabwaja tu mambo wasiyoyaelewa.
 
Wewe ndiyo mjinga!,ktk Kanisa Katoliki hili jambo mbona ni la Kawaida!!,Wapo watu ambao huwa wanaamua kuishi maisha ya Upweke kwaajili ya Kujitafakarisha juu ya mambo yanayomhusu Mungu,na hii huwa ni maisha yao yote.Tena wapo walio wahi kukaa mapangoni kwaajili ya kujitenga na Malimwengu ili wasiingie ktk vishawishi vya kutenda dhambi watu hao waliitwa WAEREMITE,huko walisoma neno la Mungu,Tafakari na Sala tu!,Nenda Songea kule kuna Watawa wanaitwa WAKILALA,hao ndio hukaa ndani tu pasipo kutoka nje huko hufanya SALA na Kutafakari neno la Mungu,wao si watu wa kuchangamana na malimwengu,Hata ndugu ukienda kumtembelea mnaonana naye dirishani tu!,Hawa hutoka nje mara mojamoja tu!,Wanafanya hivi kwaajili ya kujinyima Starehe na Anasa za dunia.
Mkuu Songea mbali, ajongee Hapo Morogoro mjini tu kuna Father Ricardo Maria Atakua mfano mzuri kwake pia.
 
Bujibuji

Hivi Lini atachaguliwa PAPA MWEUSI?

Toka PAPA wa Mwanzo mwaka 1555 mpaka leo ni WAZUNGU TU?

Kulikoni huko VATICAN? ?
 
Last edited by a moderator:
Hivi Lini atachaguliwa PAPA MWEUSI?

Toka PAPA wa Mwanzo mwaka 1555 mpaka leo ni WAZUNGU TU?

Kulikoni huko VATICAN? ?

Mkuu ishu hapo siyo Papa mweusi au Mzungu!,inategemea Maongozi ya Mwenyezi Mungu ktk kumchagua Papa.
 
Mkuu ishu hapo siyo Papa mweusi au Mzungu!,inategemea Maongozi ya Mwenyezi Mungu ktk kumchagua Papa.

Unataka kusema wanapomchagua PAPA siku zote Mungu anachagua Mtu mweupe tu.?
Yaani toka mwaka 1555 mpaka leo 2015?
Mbona mnamsingizia Mungu mambo ya UONGO?
 
Unataka kusema wanapomchagua PAPA siku zote Mungu anachagua Mtu mweupe tu.?
Yaani toka mwaka 1555 mpaka leo 2015?
Mbona mnamsingizia Mungu mambo ya UONGO?

wewe umehakikisha vipi ni uongo?
 
wewe umehakikisha vipi ni uongo?

Mkuu kuna vitu vingine wala havihitaji phd kuweza kutambua km tukio fulani ni la kweli au UONGO.
We toka mwaka 1555 mpk leo achaguliwe PAPA Mzungu tu!
Tena wacha PAPA, Hata wale wapambe wake anaokaa nao karibu wote WAZUNGU!
We mpk hapo hujatambua tu kiwa Huo ni Usanii?

Mwafrika hana thamani hata kidogo huko Vatican.
Hilo liko wazi kabisa.
 
wao viongozi hawachaguliwi tu kama kwenye siasa...
taratibu za kidini zinafuatwa..
huko wako vatican waafrika wapo sasa we unaesema wote huko ni wazungu sijui we ndio uliwatoa huko!!
papa hachaguliwi kwa kufwata interests za watu
 
hapo kwenye TV ndio katuibia chenji...
TV siku hizi zipo kila mahali.. mahotelini, barabarani, kwenye magari, au yeye alikuwa anamaanisha TV ya nyumbani kwake na sio za mahali pengine...

Uliwahi kumwona hotelini au kwenye hayo madaladala yenye tv? Alafu elewa kuangalia tv kwa maana gani sio unapita zako ukaiona ikiwa kulee
 
wao viongozi hawachaguliwi tu kama kwenye siasa...
taratibu za kidini zinafuatwa..
huko wako vatican waafrika wapo sasa we unaesema wote huko ni wazungu sijui we ndio uliwatoa huko!!
papa hachaguliwi kwa kufwata interests za watu

Mkuu mimi sisemi kwa kutizama Tv km wewe.
Mimi nimekwenda NDANI YA VATICAN zaidi ya mara TATU.
Na nakuhakikishia HAKUNA MWAFRIKA HATTA MMOJA anae kaa karibu na PAPA ktk Hotuba zake! Wala ktk ziara zake.
Iwe ni NDANI ya Italy au Nje ya Nchi.

Lini wakatoliki wataamka na kuuliza KULIKONI?
Hivi Kimuuliza PAPA swali Ni Kosa la Jinai?
 
c anajitesa bure jamani?halaf anafungisha na kubariki ndoa za mashoga halaf eti anataka akae karibu na mungu
thubutuuuu
mungu na mbinguni hapachezewi hivyo

Kanisa katoliki halitambui huu ujinga ulioandika hapa, NB: kama jambo hulijui jifunze kuuliza kwanza Usiwe unakurupuka kunasiku utakurupuka kitandani unakimbilia barabarani mchana kweupe kumbe uko uchi
 
Unataka kusema wanapomchagua PAPA siku zote Mungu anachagua Mtu mweupe tu.?
Yaani toka mwaka 1555 mpaka leo 2015?
Mbona mnamsingizia Mungu mambo ya UONGO?

Mbona unajitoa ufahamu huyu mtu mweusi ukristo ulifika kwake mwaka gani? Tuanzie hapo ndio tujue toka mtu mweusi kufikiwa na ukristo wamepita papa wangapi,na kwanini umeona mweusi tu wakati dunia ina zaidi ya hapo?
 
tv.jpg

Au macho yangu tu !!

cc Bujibuji
kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Unataka kusema wanapomchagua PAPA siku zote Mungu anachagua Mtu mweupe tu.?
Yaani toka mwaka 1555 mpaka leo 2015?
Mbona mnamsingizia Mungu mambo ya UONGO?

Mimi ninachokielewa na ninachokiamini ni kwamba Uchaguzi wa Papa si km Uchaguzi wa Viongozi wengine wa kisiasa ambao huangalia uwiano na usawa ktk uwskilishi,lkn hapa Mungu mwenyewe huamua nani awe Papa,hbr ya Utaifa au Rangi kwake si sababu maalum,Aidha kwa Mungu binadamu wote ni sawa,yeye hana cha mzungu wala Mchina wala Mhindi au Mwafrika,Kwa macho ya Kibinadamu ndiyo tunayaona hayo ya Utaifa na rangi lkn kwa Mungu hicho kitu hakipo;Halafu kwamba nilichokisema ni uongo au lah!mimi cjui lkn nasema ninachokijua,Mungu mwenyewe atanihukumu km nimesema uongo,lkn ikiwa nimesema kweli basi pia Mungu anajua.
 
Mkuu mimi sisemi kwa kutizama Tv km wewe.
Mimi nimekwenda NDANI YA VATICAN zaidi ya mara TATU.
Na nakuhakikishia HAKUNA MWAFRIKA HATTA MMOJA anae kaa karibu na PAPA ktk Hotuba zake! Wala ktk ziara zake.
Iwe ni NDANI ya Italy au Nje ya Nchi.

Lini wakatoliki wataamka na kuuliza KULIKONI?
Hivi Kimuuliza PAPA swali Ni Kosa la Jinai?

Kuingia ndani ya Vatican sio kigezo cha kwamba unalielewe Kanisa Katoliki hata km ungezaliwa na kuishi hapo usingelielewa labda km ungekuwa Mkatoliki hai,Hivi mkuu umesahau ule usemi wa kiswahili unaosema'Kuishi karibu na Mahakama sio kujua sheria?".Kufika kwako Vatican kusitumike ktk kupotosha watu.
 
Mbona unajitoa ufahamu huyu mtu mweusi ukristo ulifika kwake mwaka gani? Tuanzie hapo ndio tujue toka mtu mweusi kufikiwa na ukristo wamepita papa wangapi,na kwanini umeona mweusi tu wakati dunia ina zaidi ya hapo?

Safi mkuu! umetusaidia sana.
 
Back
Top Bottom