Maisha ya ndoa ni magumu

Maisha ya ndoa ni magumu

Msio kuwa na ndoa muwe mnasoma hizi mada ili muweze kujitafakari kabla ya kuingia kwenye ndoa...
Nilichoamua mimi binafsi kabla sijaoa huyo mwanamke lazima nikae nae si chini ya miezi 9, baada ya hio miezi akiqualify 50% namtundika mimba halafu namsikilizia ila naamini hadi muda huo 60%-70% ya tabia zake nitakua nimeshazijua vivyo hivyo yeye kunijua baada ya hapo najilipua naamini mapungufu ya 40%-30% ya vitu au tabia nisizozipenda zitakua zinavumilika
 
Nilichoamua mimi binafsi kabla sijaoa huyo mwanamke lazima nikae nae si chini ya miezi 9, baada ya hio miezi akiqualify 50% namtundika mimba halafu namsikilizia ila naamini hadi muda huo 60%-70% ya tabia zake nitakua nimeshazijua vivyo hivyo yeye kunijua baada ya hapo najilipua naamini mapungufu ya 40%-30% ya vitu au tabia nisizozipenda zitakua zinavumilika
Huu ni ukomavu wa hali ya juu,,,vijana hawataelewa ila ma baharia tumeelewa
 
Pole sana hizo changamoto wanakutana na tunakutana nazo sana kiukweli hata mimi nina mwaka toka nimeolewa lakin siifurahii ndoa yangu hata kidogo nilikuwa ni mtu wakujitafutia kipato changu na nilikuwa mwenye bidii sana na kile nilichokipata nilijitahidi kukitumia vizuri ikiwa ni pamoja na kuwasomesha wadogo zangu na kuwajengea wazazi wangu nyumba.Lakini toka nimeingia kwenye ndoa hayo mambo yamekuwa ni ndoto mume wangu yaan furaha yake ni kuona nafanya kazi isiyoeleweka ambayo mda wowote tunaweza kuachishwa kazi.Nilipata kazi mgodini akanigomea akidai kuwa watu wa mgodini ni wahuni na wengi ni wachawi hivyo huko hakunifai nikapata kazi sehem moja hivi ni shirika kubwa tu sema lilikuwa liko mbali na nyumbani ila walikuwa wana utaratibu wa kuwa wiki mbili nyumbani wiki mbili kazini nakwenyewe akagoma.yeye ni mchungaji tena mwenye imani kali ya kuamini kuwa anaweza kupata utajiri pasipokufanya kazi anapenda kulala hakuna mfano yaan mda wa kuamka ni saa tatu asubuhi akinywa chai basi anapitiwa na usingiz akizinduka anakuambia alikuwa anazungumza na Yesu hapendi kuumiza kichwa juu ya kitu chochote kinachohusu future umri wake ni miaka 35 ukimshauri anakuwa mbishi tena anaona unamtoa rohoni mkipishana kauli hakuna kukaa ndani kujadiliana anayapeleka nje utashangaa tu mnakuja kukalishwa kikao ataongea uongo humohumo ukweli humohumo kiukweli hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo yananifanya nisiifurahie ndoa yangu hata kidogo na hapo bado hatujapata mtoto
Pole dada ndo changamoto za maisha, hapo kwa mchungaji shaurianeni muone maisha yanaendaje asukuzuie kufanya kazi
 
Khaaa Dada pole, hakuna kitu kinaboa kama kuwa na mwanaume mvivu!!!! Bora awe hustlers hata kama hana kitu mnakuwa mnaishi kwa matumaini kuwa kuna siku mtatoboa!!!
Asante sana Red apple yaan kiukweli nasema mara mia uolewe na mtu ambae hana kitu kabisa ila ni hustler wa kufa mtu kuliko huyu wa kwangu ambae hapendi kujishughulisha na akijishughulisha basi anataka zile kazi ambazo kakaa hapohapo hanyanyuki kha inaboa kwa kweli dakika tano kachoka kulala ananiudhi sana
 
Habari yenu,

Nipo kwenye ndoa miaka mitatu. Sijawahi kuona furaha ya ndoa hata watoto sina.

Nina mpango wa kudai talaka.

Naombeni Ushauri.

Au nimtoroke?

Tupe behind the scenes. Ilikuaje hadi mkaoana. Alikua ni chaguo lako au uliamua kuolewa tu ilimradi tu uwe umeolewa kama marafiki zako?
 
Pole dada ndo changamoto za maisha, hapo kwa mchungaji shaurianeni muone maisha yanaendaje asukuzuie kufanya kazi
Asante Alvin kiukweli mimi ni mtu ninaependa maendeleo na ninataman tupate mafanikio na sikuzote naamini pasipo jitihada hakuna mafanikio
Ukizingatia nimelelewa na baba yangu mdogo ambae amenifundisha maisha toka nikiwa na 18yrs na watoto wote tuliolelewa pale kwake hakuna mtoto mlegevu wala creative ila sasa toka nimeingia kwenye hii ndoa kila jambo ninalojaribu kulifanya haliendi kutokana na changamoto ninazokutana nazo kutoka kwa mwenzangu kila nikimshirikisha kwenye jambo flani ambalo ni la kutusaidia kupiga hatua atanipa changamoto za kukatisha tamaa mwisho wa siku hilo jambo linakufa na ndio linakuwa limeishia hapo ukimshauri tufanye hiki na kile lazima akaombe ushaur kwanza ndio aje tulijadili tena na akija basi ujue anakuletea magumu ya hilo jambo.mwanzengu yeye ni last born hana mambo meng ya kuwaza lakin pamoja na hivyo haumizi kichwa juu ya familia aliyo nayo atailisha nini mavazi vipi na malazi
 
NITARUDI kuja kuiedit kwenye mapungufu..
Nampenda marehemu mama yangu,bibi yangu..hawa ni mfano mwema kwa mke nitakayekuja oa..my wife to be 2023 itakua yako...japo naKIBAMIA ila nahic utakuja kufungua uzi kama huyu 👎👎👉👉
Asante Alvin kiukweli mimi ni mtu ninaependa maendeleo na ninataman tupate mafanikio na sikuzote naamini pasipo jitihada hakuna mafanikio
Ukizingatia nimelelewa na baba yangu mdogo ambae amenifundisha maisha toka nikiwa na 18yrs na watoto wote tuliolelewa pale kwake hakuna mtoto mlegevu wala creative ila sasa toka nimeingia kwenye hii ndoa kila jambo ninalojaribu kulifanya haliendi kutokana na changamoto ninazokutana nazo kutoka kwa mwenzangu kila nikimshirikisha kwenye jambo flani ambalo ni la kutusaidia kupiga hatua atanipa changamoto za kukatisha tamaa mwisho wa siku hilo jambo linakufa na ndio linakuwa limeishia hapo ukimshauri tufanye hiki na kile lazima akaombe ushaur kwanza ndio aje tulijadili tena na akija basi ujue anakuletea magumu ya hilo jambo.mwanzengu yeye ni last born hana mambo meng ya kuwaza lakin pamoja na hivyo haumizi kichwa juu ya familia aliyo nayo atailisha nini mavazi vipi na malazi
We vumilia kwani hadi unaolwaa uliforciwaunataka kudai taraka ya nini,mvivu mnona frwah tu...ushasema yeye ni mchungaji unataka fanye kazi gani kama yeyw anaamini katika dini..kingine ww mwanamke hufai kabisa hivi ww ni mhaya...nyny ndo mliuingiza UKimwi bongo..nyinyi si wakuoa..
Now
Nimefikisha makabila haya si ya kuoa..
1.Warangi
2.Wambulu
3.Wa-Iraq
4.wanuilamba
5.Wagogo
6.Wanyaturj
7.Wahaya..
Hayo makabola hayana wanawake wana pasua vichwa...tu...we unakuja kuomba ushaur umeshaolewa...mwanamke huna hata akili ya kujiongeza..
Hupati mtoto nenda hata kituo cja yatima huko mikoa ya jirani...
Tafuta mtoto...njoo ishi nae mpende na mmeo ayampenda(Rakini mshauriane katika jambo hili) na ikiwezekana kama unampenda,nenda hospitali nae na akitambulika hana uwezo wa kitngisja mimba ili hali wewe unao..omba na weww uyoleww kizazi ili muisho kwa upendo zaid...
Nasema mm naoa 2023..now najopanga panga...
Tena kwa huuo mhaya..
So kama wew ni mchapa kazi,unajua mmwo anawivu na hataki uende mbali...kwa nini usiwatumie waumini wake kama ndo soko lako,au kwani ukifanya biashara youote ole lazima watakuunga mkono kwani ni mke qa mchungaji...jaribi kufanya shughuri ambayo inaendana na shugjuri ya mmeo...
Au kama umefaham kua mmeo ji mvivu,na hana uwezo wa kufikili mbona no jambo zur..usijaribu kumuacha kwani hata shetani au mungu aliyekupatia huyo mume analengo lake . komaa naye dada acha kua mtu wakuolewa na kuachika ..
Jiheshimu na mheshimu mumeo hata akiwa chizi ..
Hebu fikilia mmeo angekua anapiga kazi kupitiliza napo ungeona wivu maybe huko kazini anachepuka..myan nyny wanawake ni Nyoka wabaya sana...yani hamliziki ndio maana hata EDEN mlishawishika...na ndio mnatuponza
Na weambaye unatafuta mtoto..
Hebu badilika..aisee mbona mnakua vichaa nyinyi..
Haya umeahauliwa uachane naye kama unavyotaka,utaachana naye...unaenda mtaani kutafuta watoto bahati nzur unazalishwa kama panya na kutelekezwa kama kuku...
Wanawake ni nyoka nasema ni nyoka ..but Kasie kidogo unaulewa
 
Naon
NITARUDI kuja kuiedit kwenye mapungufu..
Nampenda marehemu mama yangu,bibi yangu..hawa ni mfano mwema kwa mke nitakayekuja oa..my wife to be 2023 itakua yako...japo naKIBAMIA ila nahic utakuja kufungua uzi kama huyu 👎👎👉👉
We vumilia kwani hadi unaolwaa uliforciwaunataka kudai taraka ya nini,mvivu mnona frwah tu...ushasema yeye ni mchungaji unataka fanye kazi gani kama yeyw anaamini katika dini..kingine ww mwanamke hufai kabisa hivi ww ni mhaya...nyny ndo mliuingiza UKimwi bongo..nyinyi si wakuoa..
Now
Nimefikisha makabila haya si ya kuoa..
1.Warangi
2.Wambulu
3.Wa-Iraq
4.wanuilamba
5.Wagogo
6.Wanyaturj
7.Wahaya..
Hayo makabola hayana wanawake wana pasua vichwa...tu...we unakuja kuomba ushaur umeshaolewa...mwanamke huna hata akili ya kujiongeza..
Hupati mtoto nenda hata kituo cja yatima huko mikoa ya jirani...
Tafuta mtoto...njoo ishi nae mpende na mmeo ayampenda(Rakini mshauriane katika jambo hili) na ikiwezekana kama unampenda,nenda hospitali nae na akitambulika hana uwezo wa kitngisja mimba ili hali wewe unao..omba na weww uyoleww kizazi ili muisho kwa upendo zaid...
Nasema mm naoa 2023..now najopanga panga...
Tena kwa huuo mhaya..
So kama wew ni mchapa kazi,unajua mmwo anawivu na hataki uende mbali...kwa nini usiwatumie waumini wake kama ndo soko lako,au kwani ukifanya biashara youote ole lazima watakuunga mkono kwani ni mke qa mchungaji...jaribi kufanya shughuri ambayo inaendana na shugjuri ya mmeo...
Au kama umefaham kua mmeo ji mvivu,na hana uwezo wa kufikili mbona no jambo zur..usijaribu kumuacha kwani hata shetani au mungu aliyekupatia huyo mume analengo lake . komaa naye dada acha kua mtu wakuolewa na kuachika ..
Jiheshimu na mheshimu mumeo hata akiwa chizi ..
Hebu fikilia mmeo angekua anapiga kazi kupitiliza napo ungeona wivu maybe huko kazini anachepuka..myan nyny wanawake ni Nyoka wabaya sana...yani hamliziki ndio maana hata EDEN mlishawishika...na ndio mnatuponza
Na weambaye unatafuta mtoto..
Hebu badilika..aisee mbona mnakua vichaa nyinyi..
Haya umeahauliwa uachane naye kama unavyotaka,utaachana naye...unaenda mtaani kutafuta watoto bahati nzur unazalishwa kama panya na kutelekezwa kama kuku...
Wanawake ni nyoka nasema ni nyoka ..but Kasie kidogo unaulewa
Naona unanikurupukia aliyekwambia nani kuwa mchungaji hauruhusiwi kufanya shughuli zingine???kama kulima kubuni vitu vitakavyowaingizia pesa sio lazima uende ofisini ungeelewa points zangu za mbele huko ungenielewa vizuri zaidi kila biashara ninayoifungua lazima aitolee kasoro na kuipinga hakuna anachokubaliana nacho na tukiwa bado wachumba alijitahidi sana kutengeneza tai flani hivi ambazo alikuwa anazicheki kwenye mitandao na alikuwa anaweza kwenda kutafuta soko na kupata wateja angali mimi huku nikiwa namsaidia kutengeneza zingine ila toka tuingie kwenye ndoa kila nikimwambia hataka hata kusikia anachokitaka ni kulala akiamka akute chai tayar anywe achati aangalie tv hapo akimaliza huyo kusinzia sasa kama na wewe unatabia za hivi ujue unajitengenezea kizazi kibovu kisichoeleweka
 
Asante Alvin kiukweli mimi ni mtu ninaependa maendeleo na ninataman tupate mafanikio na sikuzote naamini pasipo jitihada hakuna mafanikio
Ukizingatia nimelelewa na baba yangu mdogo ambae amenifundisha maisha toka nikiwa na 18yrs na watoto wote tuliolelewa pale kwake hakuna mtoto mlegevu wala creative ila sasa toka nimeingia kwenye hii ndoa kila jambo ninalojaribu kulifanya haliendi kutokana na changamoto ninazokutana nazo kutoka kwa mwenzangu kila nikimshirikisha kwenye jambo flani ambalo ni la kutusaidia kupiga hatua atanipa changamoto za kukatisha tamaa mwisho wa siku hilo jambo linakufa na ndio linakuwa limeishia hapo ukimshauri tufanye hiki na kile lazima akaombe ushaur kwanza ndio aje tulijadili tena na akija basi ujue anakuletea magumu ya hilo jambo.mwanzengu yeye ni last born hana mambo meng ya kuwaza lakin pamoja na hivyo haumizi kichwa juu ya familia aliyo nayo atailisha nini mavazi vipi na malazi
Huyo ni mvulana tu Kinachopelekea kuwa na hadhi ya uanaume ni jinsia lakini kimaamuzi na kiuongozi bado hajakomaa kabisa.

Muombee huyo Mumeo na usikate tamaa katika kumkumbusha Mungu kuwa hukumwomba Mume wa aina hiyo ili ambadilishe kihekima au akushindie hilo jaribu Mama.
 
NITARUDI kuja kuiedit kwenye mapungufu..
Nampenda marehemu mama yangu,bibi yangu..hawa ni mfano mwema kwa mke nitakayekuja oa..my wife to be 2023 itakua yako...japo naKIBAMIA ila nahic utakuja kufungua uzi kama huyu [emoji107][emoji107][emoji117][emoji117]
We vumilia kwani hadi unaolwaa uliforciwaunataka kudai taraka ya nini,mvivu mnona frwah tu...ushasema yeye ni mchungaji unataka fanye kazi gani kama yeyw anaamini katika dini..kingine ww mwanamke hufai kabisa hivi ww ni mhaya...nyny ndo mliuingiza UKimwi bongo..nyinyi si wakuoa..
Now
Nimefikisha makabila haya si ya kuoa..
1.Warangi
2.Wambulu
3.Wa-Iraq
4.wanuilamba
5.Wagogo
6.Wanyaturj
7.Wahaya..
Hayo makabola hayana wanawake wana pasua vichwa...tu...we unakuja kuomba ushaur umeshaolewa...mwanamke huna hata akili ya kujiongeza..
Hupati mtoto nenda hata kituo cja yatima huko mikoa ya jirani...
Tafuta mtoto...njoo ishi nae mpende na mmeo ayampenda(Rakini mshauriane katika jambo hili) na ikiwezekana kama unampenda,nenda hospitali nae na akitambulika hana uwezo wa kitngisja mimba ili hali wewe unao..omba na weww uyoleww kizazi ili muisho kwa upendo zaid...
Nasema mm naoa 2023..now najopanga panga...
Tena kwa huuo mhaya..
So kama wew ni mchapa kazi,unajua mmwo anawivu na hataki uende mbali...kwa nini usiwatumie waumini wake kama ndo soko lako,au kwani ukifanya biashara youote ole lazima watakuunga mkono kwani ni mke qa mchungaji...jaribi kufanya shughuri ambayo inaendana na shugjuri ya mmeo...
Au kama umefaham kua mmeo ji mvivu,na hana uwezo wa kufikili mbona no jambo zur..usijaribu kumuacha kwani hata shetani au mungu aliyekupatia huyo mume analengo lake . komaa naye dada acha kua mtu wakuolewa na kuachika ..
Jiheshimu na mheshimu mumeo hata akiwa chizi ..
Hebu fikilia mmeo angekua anapiga kazi kupitiliza napo ungeona wivu maybe huko kazini anachepuka..myan nyny wanawake ni Nyoka wabaya sana...yani hamliziki ndio maana hata EDEN mlishawishika...na ndio mnatuponza
Na weambaye unatafuta mtoto..
Hebu badilika..aisee mbona mnakua vichaa nyinyi..
Haya umeahauliwa uachane naye kama unavyotaka,utaachana naye...unaenda mtaani kutafuta watoto bahati nzur unazalishwa kama panya na kutelekezwa kama kuku...
Wanawake ni nyoka nasema ni nyoka ..but Kasie kidogo unaulewa
Daaah...kweli umea kakongea hoja nzuri sana japo ulikuwa una hisia kali sana Mzee Baba.je

Makabila yote 6 hayo nina uzoefu nayo ukiongeza Wachaga si wa kuoa kabisa lakini kuhusu wahaya sijawahi kuwa nao kimahusiano zaidi.

Wachaga hata kaka zao wenyewe huwakimbia na kuoa kwengine, Je mimi ni nani hasa hadi ning'ang'ane nao? [emoji848]
 
We mhaya naninkakurupukia ..tatiO hata kusoma na kuelewa hujui...hebu soma vizuri urudi..tena ila badilika
Naon
Naona unanikurupukia aliyekwambia nani kuwa mchungaji hauruhusiwi kufanya shughuli zingine???kama kulima kubuni vitu vitakavyowaingizia pesa sio lazima uende ofisini ungeelewa points zangu za mbele huko ungenielewa vizuri zaidi kila biashara ninayoifungua lazima aitolee kasoro na kuipinga hakuna anachokubaliana nacho na tukiwa bado wachumba alijitahidi sana kutengeneza tai flani hivi ambazo alikuwa anazicheki kwenye mitandao na alikuwa anaweza kwenda kutafuta soko na kupata wateja angali mimi huku nikiwa namsaidia kutengeneza zingine ila toka tuingie kwenye ndoa kila nikimwambia hataka hata kusikia anachokitaka ni kulala akiamka akute chai tayar anywe achati aangalie tv hapo akimaliza huyo kusinzia sasa kama na wewe unatabia za hivi ujue unajitengenezea kizazi kibovu kisichoeleweka
 
Habari yenu,

Nipo kwenye ndoa miaka mitatu. Sijawahi kuona furaha ya ndoa hata watoto sina.

Nina mpango wa kudai talaka.

Naombeni Ushauri.

Au nimtoroke?
npe namba PM nikutoroshe uje kula maisha
 
Back
Top Bottom