Maisha ya ndoa ni magumu

Maisha ya ndoa ni magumu

Ndoa ni gereza na nisehemu pekee maadui wanalala gereza moja(kitanda) so tafuta adui unae weza kuhendo..ili uishi gerezani kwa unafuu..ila zaidi ya familia mi sionagi mana ya ndoa kabisa.

Kama sio watoto na familia ndoa haina maana in a sense!

Ndoa makes sense to women regardless.

Kama infact huna haja ya familia ya watoto,ndoa is nonsensical!
 
Kwanzaa unaonekana unatabia za kibabe ugomvi ugomvi lazima yakushinde unataka ushindane na mwanaume

Ndo maana unajiita pantheraleo Latin name means simba kwa kiswahili sasa mwanamke unajiita simba we hufai
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hivo tu.....

Umeolewa umetoa mkosi unataka kukimbia mkuu? Shida ya kuolewa kwa kigezo cha hela ndo hii[emoji38][emoji38][emoji38] pole ,
 
Ifike mahali watu wa ustawi wa jamii waanze kutoa elimu kwa uma juu ya mahusiano ya ndoa, maana inapokuja kuachana licha ya dini za kila mmoja kabla ya kufika kuchukua talaka mahakamani lazima muanzie ofisi za ustawi wa jamii.

Tangu watoto waelimishwa kwanini uingie kwenye ndoa na ukiingia ujue hiki na hiki na hiki ukitarajie na hiki na hiki unaweza usikipate na hakuna kufanana na kadhalika na kadhalika. Yaani iwe suala la kujiandaa kisaikolojia zaidi ili wanaokataa ndoa waikatae tangu wadogo.

Sio waingie kichwa kichwa halafu baada ya miezi, mwaka au miaka kadhaa wanasema ndoa haina maana.Siwalaumu maana sijui wanayokutana nayo huko, sina uzoefu ila ni swali la kujiuliza, kwanini uingie kwenye ndoa? na uingie na nani?....

Walioko kwenye ndoa pia wana jukumu kubwa kuwaelimisha uzao wao kuhusu masuala haya haswa kipindi hiki cha utandawazi.
Niliwahi kusema humu ndani,wahenga walioweka jando na unyago sio kwamba walikuwa hawana akili,kulikuwa na faida nyingi kuliko hasara,tukaja na elimu zetu tukawaponda eti ooh tunawafundisha watoto mambo makubwa wakati bado wadogo,sasa naona unachokisema kinashabihiana na yale ya kizamani ila hiyo yako ni ya kidigitali zaidi...
 
Habari yenu,

Nipo kwenye ndoa miaka mitatu. Sijawahi kuona furaha ya ndoa hata watoto sina.

Nina mpango wa kudai talaka.

Naombeni Ushauri.

Au nimtoroke?
ooh my god umtoroke? mwambie tu huna furaha ya ndoa mjue mnafanya nini.
 
Msio kuwa na ndoa muwe mnasoma hizi mada ili muweze kujitafakari kabla ya kuingia kwenye ndoa...
Yaani izi mambo ata uzisome mara ngapi kama mtu ajawai ingia kwene ndoa lazima atamani kuingia na matarajio huwa ni kwamba atajitaidi ndoa yake iwe ya tofauti na ya kina flani wanaofalakana kila siku hahaha
 
Siku nikianza kuaoa nitahakikisha naishi miaka mitano kwenye ndoa na iliyosalia nakaa pekee yangu.
 
Back
Top Bottom