Aww thanks in advance. Tukishindwa kuonana ndo zawadi basi tena au lolNatamani nionane na wewe. Nina Zawadi yako please.
Hata mbuyu ulianza ka mchicha viiana wengi hasa wa kiume hawajielewi wanapenda kulelewa tu.Vijana wanapitia challenges nyingi kabla ya kufikia mafanikio.hakuna mtu anazaliwa na kipato otherwise upate na msaada wa family. Huwezi kukosa kipato maisha yako yote ukifanya kazi kwa bidii na kujituma ipo siku mambo yatanyooka.
Ha ha hapana itabidi nitafute utaratibu wa kukufikishia .mara nyingi una mawazo ya mwanamke aliyepevuka.you deserve to be a good wife. Congratulations young lady.Aww thanks in advance. Tukishindwa kuonana ndo zawadi basi tena au lol
Dada hilo unaloongea usiombe likukute. La kulifungia kabisa malango yake, umesema ukweli likikupata roho yako haitakuwepo duniani au ahera itakuwa "in transit" hata mie sijui wapi....Unakua bega kwa bega na mmeo, mnasaidiana kutafuta, akizipata anakuona tena wewe falah, anazitumia kama hana akili nzuri anakudharau, vitimbi visivoisha.....
Hapo roho itaning'inia duniani haipo ahera haipo
Ha ha hapana itabidi nitafute utaratibu wa kukufikishia .mara nyingi una mawazo ya mwanamke aliyepevuka.you deserve to be a good wife. Congratulations young lady.
Teh Teh Mwal umeongea kwa uchungu sana...Unakua bega kwa bega na mmeo, mnasaidiana kutafuta, akizipata anakuona tena wewe falah, anazitumia kama hana akili nzuri anakudharau, vitimbi visivoisha.....
Hapo roho itaning'inia duniani haipo ahera haipo
Yeah. Zawadi yako ipo . kama utaweza ni pm number ya sim ambayo unatumia kwa kutuma fedha. Nakuahidi kesho utaipata bakshish yako.Amen, Glory be to God. Kwa kweli fanya tu kamchakato kakunifikishia lizawadi langu coz I highly doubt kama tupo sehemu moja mweee
Nakutumia sasa hivi mpendwa mweeeYeah. Zawadi yako ipo . kama utaweza ni pm number ya sim ambayo unatumia kwa kutuma fedha. Nakuahidi kesho utaipata bakshish yako.
Okay.Nakutumia sasa hivi mpendwa mweee
No wonder unasema umri has nothing to do with maturity[emoji3] [emoji3](japo mimi naamini the older the 'sweeter'..[emoji3] [emoji3] [emoji3] ) I wonder how old you are now! If you don't mind, please nijue..teh teh!Amen, Glory be to God. Kwa kweli fanya tu kamchakato kakunifikishia lizawadi langu coz I highly doubt kama tupo sehemu moja mweee
Hahaha kwa nini umesema hivyo? Huo umri sijui unataka kuninyima nini khaa! !! Uje PM nikunong'onezeNo wonder unasema umri has nothing to do with maturity[emoji3] [emoji3](japo mimi naamini the older the 'sweeter'..[emoji3] [emoji3] [emoji3] ) I wonder how old you are now! If you don't mind, please nijue..teh teh!
stop being too negativeUnakua bega kwa bega na mmeo, mnasaidiana kutafuta, akizipata anakuona tena wewe falah, anazitumia kama hana akili nzuri anakudharau, vitimbi visivoisha.....
Hapo roho itaning'inia duniani haipo ahera haipo
subiri matajiri...tuone [emoji12]kuolewa na mume maskini halafu mkipata shida anakuambia kaombe msaada kwenu......kwani yeye hawezi kusolve mambo ya nyumbani kwake? ndugu zako wapo sawa shida zako na mumeo zinawahusu nini?
ajipange hawezi akurudishe kwenu
PM yako imefungwa, nilijaribu wakati nipo singo ili nirushe nyavu sikufanikiwa..teeeh!Hahaha kwa nini umesema hivyo? Huo umri sijui unataka kuninyima nini khaa! !! Uje PM nikunong'oneze
Ukishakombolewa na kua skrepa unamtafuta huyo maskini humpati, saa iv unaleta nyodo na dhihakaMaisha yenyewe yalivo magumu kujipeleka kwa maskini kujitàftia maradhi bure aisee.
Hahaha ulijaribu wapi? Ila kwa uchoyo tu mpare wewe, khaaa hadi PM lol. Basi endelea kuguess huo umriPM yako imefungwa, nilijaribu wakati nipo singo ili nirushe nyavu sikufanikiwa..teeeh!
nina wasiwasi naww. unaonekana unapenda na umezoea kitonga, otherwise unatakiwa ukomae na mumeo kutafuta usipende mteremko ww mwanamke jmnAhsante