ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,726
- 127,676
[emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji125]Hahaha ulijaribu wapi? Ila kwa uchoyo tu mpare wewe, khaaa hadi PM lol. Basi endelea kuguess huo umri
[emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji125]Hahaha ulijaribu wapi? Ila kwa uchoyo tu mpare wewe, khaaa hadi PM lol. Basi endelea kuguess huo umri
Muonee. ....[emoji3] [emoji3] [emoji85] [emoji85] [emoji125]
Hahaaaaa nani aruhusu kukongoroka na kwasababu ipi, umaskini mubaya mnoUkishakombolewa na kua skrepa unamtafuta huyo maskini humpati, saa iv unaleta nyodo na dhihaka
Ubinafsi ulopitiliza.Mbona wanaume matajiri wakioa wanawake kwao masikini hawaji hapa jukwaani kulalama?
Hayo yote ni mapito tu kaka, don't blame usije ukakosa barakaNa hapo ndugu wanarudi kwa kasi
mume anawasikiliza ndugu hao hao waliomdharau kupita mkewe
na ndugu sasa wanasema mke ndo mkorofi....
inaitwa fungu la kukosa....inatokea kwa wengi tu
Na haya pia ni mapito tenaNa hapo ndugu wanarudi kwa kasi
mume anawasikiliza ndugu hao hao waliomdharau kupita mkewe
na ndugu sasa wanasema mke ndo mkorofi....
inaitwa fungu la kukosa....inatokea kwa wengi tu
Word[emoji108]Unakua bega kwa bega na mmeo, mnasaidiana kutafuta, akizipata anakuona tena wewe falah, anazitumia kama hana akili nzuri anakudharau, vitimbi visivoisha.....
Hapo roho itaning'inia duniani haipo ahera haipo
Unakuta binti unatoka familia ambayo ni bora kidogo unakutana na kijana ambaye kiuchumi yupo chini mnaoana lakini maneno yanakuwa Mengi ndugu hawamuheshimu mume wako wanamdharau wanaona kama ulikosea kuchagua.
Binti unadharaulika kwenye familia yenu kila unachoongea hakina maana, ndugu wanakutenga yaani ni mateso tupu hata ukiwapigia simu wakusaidie wanakuambia mwambie mumeo na wanajua kabisa mume hana kwa muda huo.
Haya ni mapito tu naamini yana mwisho
Amrudishe kwao kwani wakati anaolewa alikuwa hajui kwao? Aliondoka kwao kwa vile kuna kitu muhimu hawezi kukipata kwao. Je kwa sasa kinapatikana kwao ili amrudishe?kuolewa na mume maskini halafu mkipata shida anakuambia kaombe msaada kwenu......kwani yeye hawezi kusolve mambo ya nyumbani kwake? ndugu zako wapo sawa shida zako na mumeo zinawahusu nini?
ajipange hawezi akurudishe kwenu
Mara zote ukweli huwa haupendwistop being too negative
Teh..... Hamna nakumbusha tu binadamu tulivoTeh Teh Mwal umeongea kwa uchungu sana...
Amen.....Dada hilo unaloongea usiombe likukute. La kulifungia kabisa malango yake, umesema ukweli likikupata roho yako haitakuwepo duniani au ahera itakuwa "in transit" hata mie sijui wapi....
Aahaa....aahaaa aaahaa......aaahaa..hahaa.......aaahaa......aaah...ha....ah ha ah....ha ha.....ah....kuna mchekeshaji ailisema ukiwa huna hela hata mbwa wako anaweza kukuuma!
Kichaga wanamsemo 'irumwi lapfo iyoe' maana yake NDIYO CHUI LAKO ....jaribu kuwa mbunifu wa biashara au masomo uache kuomba omba. ...na usiende kwenu mpaka utakapo lift your confidence. ..wanakusoma kwamba unashida ndiyo maana wanakunyanyasa. ...jitahidi mwenyewe trust me utashinda. ..MOLA awe nawe..Unakuta binti unatoka familia ambayo ni bora kidogo unakutana na kijana ambaye kiuchumi yupo chini mnaoana lakini maneno yanakuwa Mengi ndugu hawamuheshimu mume wako wanamdharau wanaona kama ulikosea kuchagua.
Binti unadharaulika kwenye familia yenu kila unachoongea hakina maana, ndugu wanakutenga yaani ni mateso tupu hata ukiwapigia simu wakusaidie wanakuambia mwambie mumeo na wanajua kabisa mume hana kwa muda huo.
Haya ni mapito tu naamini yana mwisho
Mambo yanakuwa poa kwa mipango... Kama wana akili hizo za kuomba omba inawezekana wanapenda kuishi maisha ambayo siyo yao.. Ni ngumu kutoboa kwa staili hiyo!!usivunjike moyo hayo ni mapito tu ipo siku mtakuwa vizuri kiuchumi na mambo yatakuwa poa