Umaskini mubaya kwa kweli sioni sababu ya kulaumu ndugu, watafte vya kwao.happy kwa maelezo yako usiseme maisha ya ndoa magumu sema utegemezi ni mbaya ukitaka muishi duniani kwa raha tafutenu vyenu
Maisha yenyewe yalivo magumu kujipeleka kwa maskini kujitàftia maradhi bure aisee.ni ufala kuolewa na mume maskini halafu mkipata shida anakuambia kaombe msaada kwenu
kwani yeye hawezi kusolve mambo ya nyumbani kwake? ndugu zako wapo sawa shida zako na mumeo zinawahusu nini?
ajipange hawezi akurudishe kwenu
halafu eti anataka msaada kwenu?Maisha yenyewe yalivo magumu kujipeleka kwa maskini kujitàftia maradhi bure aisee.
Mwanaume hatakiwi kumendea msaada toka kwa wakwe hata siku moja.ni ufala kuolewa na mume maskini halafu mkipata shida anakuambia kaombe msaada kwenu
kwani yeye hawezi kusolve mambo ya nyumbani kwake? ndugu zako wapo sawa shida zako na mumeo zinawahusu nini?
ajipange hawezi akurudishe kwenu
Ushauri wa kubwa huwa muhimu tu kwa sababu wameona mengi, sasa imagine hyo hali anayopitia dunia ya sasa ukijifanya wapenda kapuku walahi utajutraa na stress.halafu eti anataka msaada kwenu?
hana marafiki? hana wazazi? hana kazi?
kujipa tu pressure maisha yenyewe haya mwanaume hathaminiki .
Nashukuru kaka huyu mume wangu sijaona kasoro yoyote kwake ni mstaarabu msomi sema maisha yetu bado ni ya chini sanaaa na ndugu hawakubali maisha ninayoishi sasa sijui wanataka nifanyejePole sana dada yangu. Haya ni mapito tu yatapita. Kuna watu watakudharau lkn ipo siku moja watakusalimia kwa heshima.
Mm nilioana na wifi yako tukiwa tunalala kweny godoro tu lkn leo na nyumba yangu. Safi mambo yanaenda. Kikubwa ni uzima na upendo(mapenzi ya dhati kati yako na mume wako)
kuna wengine humu wanatamani waolewe na mgane, au awe mke wa pili, na wengine wanatafuta sperm donor lkn leo hawa humu wanajitapa na kujinadi kuwa kuolewa na mume maskini ni ufala kwann wao wasiowaumbe hao wanaume wanaowapenda mpaka anataka kuwa mke wa pili?
Ktk maisha kuna majaribu mengi sana na ukumbuke siku zote kuna watu wema na wabaya. Kuna watu humu wananuka midomo kila atakachopost ni kinye.si kitupu.
Naomba usikate tamaa huyo ni mume wako. Haya yote yatakwisha in the name of GOD
AMEN
weee bibie wewe hivi kuolewa na mtu asie na kipato ni ufala kweli?? Punguza ukali wa maneno aisee mbona mnakatisha wenzenu tamaa namna hiyo na sisi makabwela tutaoa kweli kwa mienendo kama hiyo yako? Kweli kabisa nàkutana na wewe alafu ndio unaleta dharau kama hizo si nitaishia kupiga mechi za mchangani na kusepa kwingine...mwisho wa siku unabaki kulalama umenipotezea muda kuoa umeoa kwingine ..ni ufala kuolewa na mume maskini halafu mkipata shida anakuambia kaombe msaada kwenu
kwani yeye hawezi kusolve mambo ya nyumbani kwake? ndugu zako wapo sawa shida zako na mumeo zinawahusu nini?
ajipange hawezi akurudishe kwenu
Maisha hayana formula, Leo unaweza ukawa na kila kitu kesho ukaamka huna hata moja, ni phase tu ya maisha mnapitia, and kila mtu ana chaguo lake as long as ndo kinachompa furaha na amani. Hukufanya kosa kumchagua mumeo Kwa sababu hana uwezo maybe, but simply because you find so much joy and happiness in him. Sio wote wanaolewa na watu wenye uwezo tayari, wengine wanaanzia chini mno, na Mungu Sio mwanadamu, wengine wanafanikiwa mnooo huko mbeleni. Kuna watu walianza na kila kitu, Leo hawana chochote. Na Kuna wengine pamoja na mahela yote, wamezikimbia ndoa zao kama ambavyo wengine wanakimbia ndoa zao Kwa sababu ya pesa hakuna. As long as hayo ndo maisha yako, please usisikilize "judgement za watu", kila mtu na maisha yake, kila mtu afanye kinachompa amani.Nashukuru kaka huyu mume wangu sijaona kasoro yoyote kwake ni mstaarabu msomi sema maisha yetu bado ni ya chini sanaaa na ndugu hawakubali maisha ninayoishi sasa sijui wanataka nifanyeje
Ingekuwa sio vibaya akifikia steji hiyo unamrostia tu kuku mixer na rat and rat....Ndo mana pande hizi za huku kwetu wanachomaga nyumba au kutanguliza waume zao ,nawaza kwa sauti tuu wakuu japo siungi mkono hoja,
Waache na dharau zao maisha hayana formula! Ipo siku moja nanyi mtabarikiwaUnakuta binti unatoka familia ambayo ni bora kidogo unakutana na kijana ambaye kiuchumi yupo chini mnaoana lakini maneno yanakuwa Mengi ndugu hawamuheshimu mume wako wanamdharau wanaona kama ulikosea kuchagua.
Binti unadharaulika kwenye familia yenu kila unachoongea hakina maana, ndugu wanakutenga yaani ni mateso tupu hata ukiwapigia simu wakusaidie wanakuambia mwambie mumeo na wanajua kabisa mume hana kwa muda huo.
Haya ni mapito tu naamini yana mwisho