Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Huku sio poa, ukipata pesa pia inaishia kwenye uchakataji wa papuchi kuna vimwali wakali weupeee peee alafu shape mashalahNdo maana kumbe? Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
Huku sio poa, ukipata pesa pia inaishia kwenye uchakataji wa papuchi kuna vimwali wakali weupeee peee alafu shape mashalahNdo maana kumbe? Lol [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukiacha mkoa wa Arusha, mtu yeyote akija Dodoma ataona kila kitu ghali. Hapa tunawaondoa wale ndugu zetu wa Masaki na maikocheni. [emoji3]
Alihamia rafiki yangu kutoka iringa kila kitu anashangaa, anashangaa kwenda sokoni na laki kununua mahitaji ya wiki kadhaa kwa mtu mwenye familia ndogo, anasema Iringa ningeenda na elfu 30 ningepata mazagazaga yote ya wiki kadhaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaaa yaanSasa mkuu na wewe bana.. si umesema ulienda kwa shughuli za kiofisi? Manake umepewa hela ya kujikimu "per diem" kwa siku zote utakazokua huko. Vipi tena unaanza kutafuta gesti za buku tano na wali wa buku? Ukiibiwa laptop huko vichochoroni na ukapoteza nyaraka muhimu za ofisi utasema ulikua wapi? Acha hizo bana hebu lala gesti zenye viwango..!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee ndo hapo tyuuh unapo fail lol,Huku sio poa, ukipata pesa pia inaishia kwenye uchakataji wa papuchi kuna vimwali wakali weupeee peee alafu shape mashalah
Vyote vyote.magumu au ghali
Sawa Mkuu, nitakwenda kuulizia.Apana ndomana nakwambia nenda jiji pale usje ukaenda kwa madalali uchwara
[emoji23][emoji23][emoji23]Kivipi Admin wa Mwaka 1988???.ana utangaza mji
LIPIA TANGAZO LAKO MKUU
Kwamba wangenipunguzia bei au??.Dom ukiijua, raha sana. Sema ulikuwa kuku mgeni.
Ok.Nilidhani ni fixed.Azijapangwa muda wote huwa zinabadilika, unaweza angalia saizi bei ukakuta ni kiasi fulani ukiingia baada kama ya dakika kadhaa unakuta imepanda au imeshuka, bei inabadilika mara kwa mara
Mbeya jamani maisha mteremko Sana, yaani ukishindwa kuishi Mbeya Wewe huwezi kuishi maeneo mengine.[emoji23] [emoji23] [emoji23] rungwe ukoo lazima iwe hivoo ila ukija center huku kilo buku 8, 9 mpaka 10 inategemea umeenda chimbo gani
Ok.Aisee hiyo Hali lazima imuumize sana mwananchi wa hali ya chini.Hapana ndege haina fixed price unaweza siku unanunua ticket labda bei ilikuwa laki moja ila kila inavykuwa inajaa viti vinachukuliwa bei inapanda unaweza kujikuta umekaa na mtu yeye kanunua laki wewe laki 3. wanakuwa wanaweka class zikiwa booking nyingi bei inabadilika. Nadhani kama unaona siku za Xmass stand ya ma bus abiria wakiwa wengi demand kubwa watu wanapigwa bei za juu japo serikali huwa inaingilia lakini wapi mtu yuko tayari kutoa pesa asafiri hiyo ndio maana halisi ya demand and supply. Hata hiz hotel kubwa zikiwa vyumba vinachukuliwa haraka na wakiona wateja wengi bei zinapanda kila siku chumba cha pili labda kalipa dola 100 wewe umelipa 200. Demand and supply
Offcourse nyama zao kule ni tamu ishu ni bei tu.Waliniambia kuwa nyama yenye bei ndogo ni ya Punda tu,ni 5000/=,kwa kilo ukinunua buchani, wakati ya ng'ombe ni 8,000/=kwa buchani.Wanazidiwa na Njombe ambako Ng'ombe ni wachache Sana lkn nyama ni kati ya 6,000/= hadi 7,000/=, Kitimoto ndo kabisaa hadi 5,000/=.Ila kuku wa chako Ni chako watamu balaaa na nyama mnadani tamu Sana sijui wanachomaje maana hapa unguja hakuna wachomaji nyama wengi wote wanakaanga kwenye mafuta.
Vitaje Mkuu ili siku nyingine nisihangaike.Ukifika mji usioujua kwanza uliza wenyeji ili uelekezwe vijiwe vinavofanana na hadhi yako,sio unavamia tu halafu ukipigwa unaanza kulialia,hivyo vijiwe vya bei poa mbona pale Dodoma viko vingi sana...
Kweli kuna watoto wazuri,km sio mgumu unaweza malizia pesa kwa hao viumbe.Huku sio poa, ukipata pesa pia inaishia kwenye uchakataji wa papuchi kuna vimwali wakali weupeee peee alafu shape mashalah
Tatizo moyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee ndo hapo tyuuh unapo fail lol,
Wallah Dodoma sipapendi mie, khaaaah
Dodoma hakufai pia jua Kali Hali ya hewa sio nzuri na hyo mimaji kuwa na chumvi nyingi ukikaa huko inabidi uwe unafua nguo mkoa mwingineNadhani DODOMA itakuwa inaongoza kwa ugumu wa maisha hapa Tanzania.
Hapana mvuto kabisaaaaaa!Dodoma hakufai pia jua Kali Hali ya hewa sio nzuri na hyo mimaji kuwa na chumvi nyingi ukikaa huko inabidi uwe unafua nguo mkoa mwingine
Hii ndiyo sababu halisi, ukame pale ndio tatizo.
Watu hawashangai kuwa mpaka leo viwanja na mashamba siyo ghali Dom! Tatizo liko kny misosi tu.
ndio maana nikasema baadhi ya wilaya lakini bado sidhani kama zina uwezo wa kuilisha dom bila kutegemea mikoa mingineLkn nao si Wana Wilaya zinazotoa mahindi na mazao mengine kwa wingi?.Km vile Kibaigwa.