Maisha ya Dodoma ni Magumu sana

Boss mbona mitaa ya holycross unayosema mim ndo nakaa apa na guest za 15000 zipo nyingi tu apa uliulizia morningstar , kuna johnson zipo nyingi tu apa mpak za 10000 ata msosi wa mamntilie wa 1500 upo au ulikua holycross sehemu gan
Kha!kha!,weee jamaa hapo Morning star ndipo nilipolala sasa,bei za vyumba ni kuanzia 20,000/=.Boda boda Aliniambia siwezi kupata guest ya bei ya chini zaidi ya 20,000/= maeneo hayo.Tena Holly Cross hapo ni noma sana, Yaani glass ya wine siku za Nyuma (Miaka mitatu) Nyuma ilikuwa 2000/=,Sasa hivi ni 2500/=. Kuhusu msosi nilishasema bei zao,mama Ntilie wa hapo bei zao za vyakula zipo juu Mkuu usibishe, Siku nikija nitakutafuta ili nikuhakikishie bei zao za vyakula.
 
Kha!kha!,weee jamaa hapo Morning star ndipo nilipolala sasa,bei za vyumba ni kuanzia 20,000/=.Boda boda Aliniambia siwezi kupata guest ya bei ya chini zaidi ya 20,000/= maeneo hayo.Tena Holly Cross hapo ni noma sana, Yaani glass ya wine siku za Nyuma (Miaka mitatu) Nyuma ilikuwa 2000/=,Sasa hivi ni 2500/=. Kuhusu msosi nilishasema bei zao,mama Ntilie wa hapo bei zao za vyakula zipo juu Mkuu usibishe, Siku nikija nitakutafuta ili nikuhakikishie

Kha!kha!,weee jamaa hapo Morning star ndipo nilipolala sasa,bei za vyumba ni kuanzia 20,000/=.Boda boda Aliniambia siwezi kupata guest ya bei ya chini zaidi ya 20,000/= maeneo hayo.Tena Holly Cross hapo ni noma sana, Yaani glass ya wine siku za Nyuma (Miaka mitatu) Nyuma ilikuwa 2000/=,Sasa hivi ni 2500/=. Kuhusu msosi nilishasema bei zao,mama Ntilie wa hapo bei zao za vyakula zipo juu Mkuu usibishe, Siku nikija nitakutafuta ili nikuhakikishie bei zao za vyakula.
Sema nini boda aliyekuletea ndo alikupiga maana huwa wana system ya ukileta mteja unalamba libuku 5. Siku ukiwa unakuja nishitue nikupeleke machimbo makali self 12000 kwa 15000
 
Wakuu hbr za jioni??,Wiki hii Nilikuwa DODOMA kwa shughuli za Kiofisi,nimependa jinsi jiji la Dodoma linavyokua kwa kasi,Lakini hali ya maisha inaonekana ni ngumu Sana kuliko Dar es salaam.

Nilitafuta guest house,bodabo whyda akaniambia kuwa vyumba vya bei ya chini ni 20,000/=,nikashangaa Sana kwasababu niliwahi kwenda DSM na nikafanikiwa kupata gesti ya 10,000/=, nzuri tu.Chakula kwa Dodoma ndo usiseme,kipimo changu cha kwanza ni kwa Mama ntilie, maana watu wengi wa hali ya chini huenda huko kununua chakula;

Aise kina bei hatari , Kuna sehemu niliambiwa wali nyama 3,000/=,Ugali nyama 3000/=,Wali samaki 3500/=, Ugari Maharage 2000/= na wali Maharage 2500/=, Sehemu nyingi za Mama Ntilie bei ni hizo.Nilipolala ni karibu na Holly Cross Center inayomilikiwa b

Na Kanisa Katoliki Jimbo kuu la DODOMA,Aise hapo kitimoto ya kukaanga kilo ni 10,000/=,Ya kubanikwa ni 12,000/=,Ndizi moja 500/=. Ugari kuku robo 6000/=.Na vyakula vingine bei zipo juu pia.Haya nikasema Niulize Vipi kuhusu nyumba za kupanga?;Kheee!!!,Bei nilizotajiwa nilishangaa Sana.Twende Bodaboda aisee Hivi kweli kutoka Holly Cross Center hadi Mkonze mtu anaanza na 6000/=baada ya kuvutana Sana ndo anaishia kwenye 4000/=.

Sijauliza viwanja.Nastaajabu kwasababu miaka ya Nyuma DODOMA haikuwa ghali kiasi hicho.Nilijiuliza swali moja kuwa DODOMA ni wafugaji wazuri wa mifugo sasa Kwanini bei ya Nyama ya ng'ombe ipo juu hivi?? Mnazidiwa na Morogoro ambao hawafugi km ninyi kweli??!!!.

Serikali ichunguze Hali hii, kwasababu inachangia kwa kiasi kikubwa sana Watumishi wa wizara waliokuwa wamehamishiwa DODOMA kutoka Dar kutamani kurudi Dar kuliko kuishi DODOMA.Tafadhari Serikali inusuru Hali hii.
Acha tamaa ya vitu usivyokuwa na uwezo navyo. Badala ya bodaboda panda Hiace. Badala ya kutaka kula kitimoto nenda maeneo ya sokoni nunua wali mbogamboga au maharage. Dodoma hakuna maisha magumu bali maisha yako ndo magumu. Usijali tuko wengi bado tunapambana.
 
Tunaoishi dodoma na familia zetu zinaenda chooni bila shida ni wanaume kweli kweli mtupe Heshima zetu,

Huku chumba kibaya kibaya tu ili mradi kiwe na umeme na maji ni elfu 50,

Chumba angalau, angalau Single tu elfu 60k au 70k kwa mwezi,
Self kuanzia 80k mpaka 100k huku bili ya maji ikikuelemea,
Ukitaka master, Yenye chumba kimoja, sebure na choo ndani jiandae na kuanzia 150k mpaka 180k kwa mwezi huku bili ya umeme,maji na ya kodi ya jengo ikikuelemea,

Ukitaka Apartment, au Nyumba nzima ya kuanzia vyumba viwili au vitatu yenye sebure, choo ndani, master room moja na jiko jiandae na kuanzia 350K mpaka 500k kwa mwezi.

Usisahau na malipo ya dalali ya mwezi mmoja.


Ukifanikiwa kuishi dodoma mwaka bila shida yeyote basi hakuna mkoa utashindwa kuishi hapa Tanzania.


Cc Zero IQ

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbeya jamani maisha mteremko Sana, yaani ukishindwa kuishi Mbeya Wewe huwezi kuishi maeneo mengine.
Huko mbeya ambako kuna mchele kilo moja kwa shilingi 600 tatzo ni namna ya kuipata hyo 600 kama sio mwajiriwa.
 
Wakuu hbr za jioni??,Wiki hii Nilikuwa DODOMA kwa shughuli za Kiofisi,nimependa jinsi jiji la Dodoma linavyokua kwa kasi,Lakini hali ya maisha inaonekana ni ngumu Sana kuliko Dar es salaam.

Nilitafuta guest house,bodabo whyda akaniambia kuwa vyumba vya bei ya chini ni 20,000/=,nikashangaa Sana kwasababu niliwahi kwenda DSM na nikafanikiwa kupata gesti ya 10,000/=, nzuri tu.Chakula kwa Dodoma ndo usiseme,kipimo changu cha kwanza ni kwa Mama ntilie, maana watu wengi wa hali ya chini huenda huko kununua chakula;

Aise kina bei hatari , Kuna sehemu niliambiwa wali nyama 3,000/=,Ugali nyama 3000/=,Wali samaki 3500/=, Ugari Maharage 2000/= na wali Maharage 2500/=, Sehemu nyingi za Mama Ntilie bei ni hizo.Nilipolala ni karibu na Holly Cross Center inayomilikiwa b

Na Kanisa Katoliki Jimbo kuu la DODOMA,Aise hapo kitimoto ya kukaanga kilo ni 10,000/=,Ya kubanikwa ni 12,000/=,Ndizi moja 500/=. Ugari kuku robo 6000/=.Na vyakula vingine bei zipo juu pia.Haya nikasema Niulize Vipi kuhusu nyumba za kupanga?;Kheee!!!,Bei nilizotajiwa nilishangaa Sana.Twende Bodaboda aisee Hivi kweli kutoka Holly Cross Center hadi Mkonze mtu anaanza na 6000/=baada ya kuvutana Sana ndo anaishia kwenye 4000/=.

Sijauliza viwanja.Nastaajabu kwasababu miaka ya Nyuma DODOMA haikuwa ghali kiasi hicho.Nilijiuliza swali moja kuwa DODOMA ni wafugaji wazuri wa mifugo sasa Kwanini bei ya Nyama ya ng'ombe ipo juu hivi?? Mnazidiwa na Morogoro ambao hawafugi km ninyi kweli??!!!.

Serikali ichunguze Hali hii, kwasababu inachangia kwa kiasi kikubwa sana Watumishi wa wizara waliokuwa wamehamishiwa DODOMA kutoka Dar kutamani kurudi Dar kuliko kuishi DODOMA.Tafadhari Serikali inusuru Hali hii.
Mkuu, u ghali unaosemea WEWE Ni kutokana na kwamba
1. DODOMA maendeleo bado yapo chini mno, biashara chache compared to flow ya Watu inayoingia ndani ya mji. Nyumba za kupanga chache tena zilizo nyingi hazina ubora ukilinganisha na Dsm.

2. Hali ya hewa ya DODOMA inachangia huo ugumu wa maisha mf hali ya Ukame inayopelekea kutozalisha mazao hivyo kutegemea kuimport toka mikoa mingne zaidi

3. Trust me, mzunguko wa hela DODOMA bado ni mdogo sana. Hii na yenyewe inachangia ugumu huo.
 
Dodoma ni kawaida sio kipindi hiki wala nini.
Kila kitu dodoma kipo juu. Dodoma maisha yake yapo juu wenyewe washazoea wanaona kawaida. Unayetoka mkoani lazima uone dodoma pagumu
Nlikua na mpango wa kuja hapo kimasomo nimeahirisha,naenda dar
 
Back
Top Bottom