Tunaoishi dodoma na familia zetu zinaenda chooni bila shida ni wanaume kweli kweli mtupe Heshima zetu,
Huku chumba kibaya kibaya tu ili mradi kiwe na umeme na maji ni elfu 50,
Chumba angalau, angalau Single tu elfu 60k au 70k kwa mwezi,
Self kuanzia 80k mpaka 100k huku bili ya maji ikikuelemea,
Ukitaka master, Yenye chumba kimoja, sebure na choo ndani jiandae na kuanzia 150k mpaka 180k kwa mwezi huku bili ya umeme,maji na ya kodi ya jengo ikikuelemea,
Ukitaka Apartment, au Nyumba nzima ya kuanzia vyumba viwili au vitatu yenye sebure, choo ndani, master room moja na jiko jiandae na kuanzia 350K mpaka 500k kwa mwezi.
Usisahau na malipo ya dalali ya mwezi mmoja.
Ukifanikiwa kuishi dodoma mwaka bila shida yeyote basi hakuna mkoa utashindwa kuishi hapa Tanzania.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaizungumzia Dodoma mjini? Au hata wilayan maisha yapo hivoTunaoishi dodoma na familia zetu zinaenda chooni bila shida ni wanaume kweli kweli mtupe Heshima zetu,
Huku chumba kibaya kibaya tu ili mradi kiwe na umeme na maji ni elfu 50,
Chumba angalau, angalau Single tu elfu 60k au 70k kwa mwezi,
Self kuanzia 80k mpaka 100k huku bili ya maji ikikuelemea,
Ukitaka master, Yenye chumba kimoja, sebure na choo ndani jiandae na kuanzia 150k mpaka 180k kwa mwezi huku bili ya umeme,maji na ya kodi ya jengo ikikuelemea,
Ukitaka Apartment, au Nyumba nzima ya kuanzia vyumba viwili au vitatu yenye sebure, choo ndani, master room moja na jiko jiandae na kuanzia 350K mpaka 500k kwa mwezi.
Usisahau na malipo ya dalali ya mwezi mmoja.
Ukifanikiwa kuishi dodoma mwaka bila shida yeyote basi hakuna mkoa utashindwa kuishi hapa Tanzania.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaizungumzia dar, utaizungumzia Dar ipi mkuu?Unaizungumzia Dodoma mjini? Au hata wilayan maisha yapo hivo
Sio poaDodoma ni kawaida sio kipindi hiki wala nini.
Kila kitu dodoma kipo juu. Dodoma maisha yake yapo juu wenyewe washazoea wanaona kawaida. Unayetoka mkoani lazima uone dodoma pagumu
Ni kweli kabisa. Mgeni dom atapashangaaDodoma haijawahi kuwa rahisi kwenye vyakula, nguo wala bei bidhaa za viwandani kulinganisha na Dar, labda kama ni miaka ya tisini maana nimeijua dom miaka ya 2000 na sikuona huo unafuu
We endelea kujikaangia viepe vyako hapo lazima watu wale.
Ndio nakomaa navyo mkuu, nikipata hela inaishia kwenye kodi, na uchakataji basiWe endelea kujikaangia viepe vyako hapo lazima watu wale.
Naona bunge na vyuo vimechochea ugumu huko wanahis kila mtu ana mihela
Hapo ni fursa kwa watu wanaoweza kuwalenga watu wa chiniNawaonea huruma watu wa chini wasio na kipato cha uhakika.
Tunaoishi dodoma na familia zetu zinaenda chooni bila shida ni wanaume kweli kweli mtupe Heshima zetu,
Huku chumba kibaya kibaya tu ili mradi kiwe na umeme na maji ni elfu 50,
Chumba angalau, angalau Single tu elfu 60k au 70k kwa mwezi,
Self kuanzia 80k mpaka 100k huku bili ya maji ikikuelemea,
Ukitaka master, Yenye chumba kimoja, sebure na choo ndani jiandae na kuanzia 150k mpaka 180k kwa mwezi huku bili ya umeme,maji na ya kodi ya jengo ikikuelemea,
Ukitaka Apartment, au Nyumba nzima ya kuanzia vyumba viwili au vitatu yenye sebure, choo ndani, master room moja na jiko jiandae na kuanzia 350K mpaka 500k kwa mwezi.
Usisahau na malipo ya dalali ya mwezi mmoja.
Ukifanikiwa kuishi dodoma mwaka bila shida yeyote basi hakuna mkoa utashindwa kuishi hapa Tanzania.
Cc Zero IQ
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mji mkuu Kwa hiyo lazima vitu viwe ghali..
Dodoma ni kawaida sio kipindi hiki wala nini.
Kila kitu dodoma kipo juu. Dodoma maisha yake yapo juu wenyewe washazoea wanaona kawaida. Unayetoka mkoani lazima uone dodoma pagumu
Kama unasema Dom maisha yapo juu,nenda Arusha uone balaa,Wakuu hbr za jioni??,Wiki hii Nilikuwa DODOMA kwa shughuli za Kiofisi,nimependa jinsi jiji la Dodoma linavyokua kwa kasi,Lakini hali ya maisha inaonekana ni ngumu Sana kuliko Dar es salaam.
Nilitafuta guest house,bodabo whyda akaniambia kuwa vyumba vya bei ya chini ni 20,000/=,nikashangaa Sana kwasababu niliwahi kwenda DSM na nikafanikiwa kupata gesti ya 10,000/=, nzuri tu.Chakula kwa Dodoma ndo usiseme,kipimo changu cha kwanza ni kwa Mama ntilie, maana watu wengi wa hali ya chini huenda huko kununua chakula;
Aise kina bei hatari, Kuna sehemu niliambiwa wali nyama 3,000/=,Ugali nyama 3000/=,Wali samaki 3500/=, Ugari Maharage 2000/= na wali Maharage 2500/=, Sehemu nyingi za Mama Ntilie bei ni hizo.Nilipolala ni karibu na Holly Cross Center inayomilikiwa b
Na Kanisa Katoliki Jimbo kuu la DODOMA,Aise hapo kitimoto ya kukaanga kilo ni 10,000/=,Ya kubanikwa ni 12,000/=,Ndizi moja 500/=. Ugari kuku robo 6000/=.Na vyakula vingine bei zipo juu pia.Haya nikasema Niulize Vipi kuhusu nyumba za kupanga?;Kheee!!!,Bei nilizotajiwa nilishangaa Sana.Twende Bodaboda aisee Hivi kweli kutoka Holly Cross Center hadi Mkonze mtu anaanza na 6000/=baada ya kuvutana Sana ndo anaishia kwenye 4000/=.
Sijauliza viwanja.Nastaajabu kwasababu miaka ya Nyuma DODOMA haikuwa ghali kiasi hicho.Nilijiuliza swali moja kuwa DODOMA ni wafugaji wazuri wa mifugo sasa Kwanini bei ya Nyama ya ng'ombe ipo juu hivi?? Mnazidiwa na Morogoro ambao hawafugi km ninyi kweli??!!!.
Serikali ichunguze Hali hii, kwasababu inachangia kwa kiasi kikubwa sana Watumishi wa wizara waliokuwa wamehamishiwa DODOMA kutoka Dar kutamani kurudi Dar kuliko kuishi DODOMA.Tafadhari Serikali inusuru Hali hii.
Ukiacha mkoa wa Arusha, mtu yeyote akija Dodoma ataona kila kitu ghali. Hapa tunawaondoa wale ndugu zetu wa Masaki na maikocheni. 😀Dodoma ni kawaida sio kipindi hiki wala nini.
Kila kitu dodoma kipo juu. Dodoma maisha yake yapo juu wenyewe washazoea wanaona kawaida. Unayetoka mkoani lazima uone dodoma pagumu
Mtoto wa msimbe jaribu kuwa mstaarabu!!! Kwan kutukana ni ujanja!?? Hivi mmelelewaje!? Kwan ni lazima ku- reply!??Tafuta hela acha usenge