Maisha ya Dodoma ni Magumu sana

Maisha ya Dodoma ni Magumu sana

Ila ni fursa hiyo pia, kwamba kama wakiweza kuchukua bidhaa maeneo zinapatiakana rahisi na kuuza dodoma kwa bei za juu, unakuwa ni biashara nzuri kwao
Ni sahihi, shida gap ni kubwa Sana kati walio nacho na wasio nacho.
 
Hao mamantilie ndio hao wanasomesha watoto wao secondari...
Ndio hao wanajibana kuhakikisha mtoto anamaliza chuo kikuu...
Ndio hao baba mdangaji ametelekeza familia kwa mchepuko...
Na ameamua kufanya shughuli halali kusaidia watoto wake...
Wewe badala ya kuwaogezea na tipu, unakuja kulalamikia shilingi 3000 yaani Alfu tatu...
mhfuuuuuu....
Chifu Mimi nalalamika kwasababu bei ni kubwa Sana kuliko maeneo mengine,Hivi km ndo hivyo Mbona Msimu wa Ramadhani Serikali huwa inapiga marufuku upandishaji holela wa bei za vyakula?, Kwanini wasiache tu ili watu wajipatie kipato cha kusaidia familia zao?. Kipato wapate lkn sio kihivyo, Unajua kwa kipimo chao kile kilo moja ya mchele inaweza kutoa sahani sita hadi Saba za wali badala ya nne, Sasa umenunua mchele kilo moja 2000/=,Halafu uje utoe humo Kati 18,000/= hadi 21,000/=,huu si wizi jamani???. Ndio maana ukienda Rwanda na Burundi Serikali Ina monitor biashara za watu ili wapate faida halali lkn si kubwa kupita kiasi inayoumiza watu wengine kwasababu ya bei kubwa ya huduma yako, Vinginevyo na kodi nayo unawekewa kubwa pia.
 
Mkuu, u ghali unaosemea WEWE Ni kutokana na kwamba
1. DODOMA maendeleo bado yapo chini mno, biashara chache compared to flow ya Watu inayoingia ndani ya mji. Nyumba za kupanga chache tena zilizo nyingi hazina ubora ukilinganisha na Dsm.

2. Hali ya hewa ya DODOMA inachangia huo ugumu wa maisha mf hali ya Ukame inayopelekea kutozalisha mazao hivyo kutegemea kuimport toka mikoa mingne zaidi

3. Trust me, mzunguko wa hela DODOMA bado ni mdogo sana. Hii na yenyewe inachangia ugumu huo.
Nakubaliana na wewe,Hebu tuone labda miaka ijayo mambo yatakaa sawa
 
Offcourse nyama zao kule ni tamu ishu ni bei tu.Waliniambia kuwa nyama yenye bei ndogo ni ya Punda tu,ni 5000/=,kwa kilo ukinunua buchani, wakati ya ng'ombe ni 8,000/=kwa buchani.Wanazidiwa na Njombe ambako Ng'ombe ni wachache Sana lkn nyama ni kati ya 6,000/= hadi 7,000/=, Kitimoto ndo kabisaa hadi 5,000/=.
Kwamba watu wa dodoma wanakula punda
 
Aiseee tutafute pesa



Kuna rafiki yangu yupo TRA makao makuu

Toka nimekutana maybe hajawahi burgain wala kulalamika pesa hata msosi anauliza haangaiki na Menu
Hivi watumishi wa Tra wanalipwa shilingi ngapi kwa mwezi labda useme ni ntu wa dili.
 
Mara ya kwanza Dodoma walinifanya mjjnga sana.. nimefika mjini nikachukua Bajaj jamaa wa Baja akanipeleka Bahi Road nikafikia Lodge ya Kazimoto nikalala siku tatu 90,000 ikanitoka baadae nikaona ujinga nikajichanganya mtaani nikapata room ya 80000 kwa mwezi najipinda nikalipa miezi mitatu. Tokea hapo najua chochoro zote za Dodoma. Mpaka mademu najipangia tu. Mimi ni mtumizi mkubwa wa dada zetu wa Bar.
Nipe koneksheni unakula wa bar ipi?
 
Sema ulikuwa umevaa kaunda nini mkuu make wagogo wanatabia ya kuona kila mtu ni mbunge

Sema mbona dom lodge hadi za buku sita zipo maeneo ya oneway na chako ni chako
Hayo maeneo hakuna lodge ya buku 6
Labla Area E huko uswahilini na mitaa ya Airport
 
Hayo maeneo hakuna lodge ya buku 6
Labla Area E huko uswahilini na mitaa ya Airport
Aaah man sio kweli unajua benki ya NBC dom ilipo? kama unaijua ilipo basi opposite na NBC kama unaelekea mitaa ya uhindini kuna lodge za buku sita sema huwez zijua make ni zimekaa kama nyumba za kuishi
 
Aaah man sio kweli unajua benki ya NBC dom ilipo? kama unaijua ilipo basi opposite na NBC kama unaelekea mitaa ya uhindini kuna lodge za buku sita sema huwez zijua make ni zimekaa kama nyumba za kuishi
Kumbe???, safari ijayo nitaulizia Kwanza hapa JF ili mnipe direction.
 
Kumbe???, safari ijayo nitaulizia Kwanza hapa JF ili mnipe direction.
Ndo hivo mkuu sema Dom kama ni day one unaweza sema maisha ni expensive sana lakin yapo ata mepesi make ata mitaa opposite na Maisha club ipo lodge ten tu na room zake ni za standard kama sio mtu wa maigizo
 
Ndo hivo mkuu sema Dom kama ni day one unaweza sema maisha ni expensive sana lakin yapo ata mepesi make ata mitaa opposite na Maisha club ipo lodge ten tu na room zake ni za standard kama sio mtu wa maigizo
Sawa Mkuu,siku nikija huko nitakucheki ili unielekeze.
 
Back
Top Bottom