Maisha ni magumu utadhani nchi iko Vitani

Maisha ni magumu utadhani nchi iko Vitani

Hatimaye kesho narudi zangu Perth kuendelea na vibarua vyangu vya kuchunga kondoo.

Hali ya maisha ya Watanzania wenzangu ni ngumu kupindukia. Si mijini wala vijijini pote ni vilio utadhani Taifa liko vitani,watanzania wamekata tamaa na wengi wao wame run crazy baada ya kufilisika Biashara zao na kufukuzwa kazi kwa uonevu eti walifoji vyeti wakati mfukazaji mkuu naye Elimu yake imejaa utata.

Ugumu wa maisha ya Tanzania kwa sasa hauna Tofauti na Burundi na Somalia.

Burundi ukimkosoa Nkurunzinza unapotea Kama ilivyo Tanzania, nimeenda Burundi family nyingi zimepoteza ndugu kwa kuwa wapinzani wa Nkurunzinza.

Hakuna tena pa kushika Tanzania, mzunguko wa pesa umekufa na pesa haina thamani tena. Vijana wamechanganyikiwa kwa ugumu wa maisha huku wakikimbilia CCM ili kusifia wapenda sifa ili wapate kula.


Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe undelea kuishi huko perth na utuachie TZ ambayo sisi wabongo tunaielewa wenyewe.
 
Unaelewa kwamba unachekesha sana?

Ukipata katiba mpya wakati Magufuli kaziweka mahakama mfukoni kama mnavyosema, halafu mahakama zisiizingatie hiyo katiba mpya, hiyo katiba mpya itakusaidiaje?

Kama una vipengele vya katiba ya sasa vinavyokuruhusu kufanya mikutano ya kisiasa, halafu Magufuli anavivunja, na huwezi kumfanya kitu, hiyo katiba mpya itakusaidiaje?

Nauliza, kama huwezi kuitumia katiba iliyopo sasa na kupata haki zako, katiba mpya itakusaidiaje?

Watanzania tunajidanganya kwamba katiba mpya ndiyo tatizo.

Wakati hata haki za katiba ya sasa hatuzitumii.

Kuna ujinga wa kufikiri kwamba, nchi yetu ikiwa na katiba nzuri tu, kuwa na katiba nzuri kutatusaidia.

Watu ndio wanaleta mabadiliko, katiba haileti mabadiliko. Kuna mtu alikuwa anasifia uhuru wa Kenya, akasifia katiba ya Kenya imeleta mabadiliko. Nikamsahihisha, nikamwambia watu wa Kenya ndio walioleta katiba mpya na mabadiliko, katiba ya Kenya si iliyoleta mabadiliko.

Katiba mpya si suluhisho. Unaweza kupewa katiba mpya, halafu kama huna populace iliyo politically aware and active, katiba mpya ikawa maandishi yasiyo na .maisha, kwenye karatasi iliyokufa.

Katiba si mabadiliko. Inaweza kusaidia mabadiliko, lakini si mabadiliko.

Watu ndio wanaleta mabadiliko.

Wakati katiba ni maandishi, kinachobadili nchi ni watu, si katiba.

Unaweza kuwa na Ferrari, gari la kwenda kasi sana, lakini kama hujui kuliendesha vizuri, mtu mwenye ki Volkswagen Beetle akakupita, kwa sababu hujui kuiendesha hiyo Ferrari iende kasi.

Kabla ya kudai katiba mpya, hii ya sasa mmeitumia vipi? Rais kavunja katiba kwa kukataza mikutano. Hatuhitaji katiba mpya kupinga uinevu huu. Mmetumiaje haki za kikatiba zilizopo sasa?

Kama mmeshindwa kutumia haki za kikatiba zilizopo sasa, katiba mpya itawafaidisha vipi?



Sent using Jamii Forums mobile app
Braza umekula maharage ya wapi? Hivi hujui kwamba katiba iliyopo sasa imempa madaraka Rais kama mungu? Huko Marekani ulipo katiba yao imempa madaraka Rais kama hii yetu? Hiyo Marekani unaishi wewe ni ipi? Mbona unakua na akili kama za Mtu wa TANDALE KWA MFUGA MBWA?
Tunataka angalau tufikie hatua ambayo SPIKA au JAJI MKUU awe na uwezo wa kukemea Rais anapokosea na kuchukua hatua, basi.
 
Sijawahi shuhudia ugumu wa maisha katika nchi yoyote ambayo nimeganyaga kama uliopo hapa tz kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndiyo maisha wanayoishi Waethiopia miaka na miaka. Ikafika mahali wanakimbia nchi yao; South Africa, Ulaya na Marekani wamejaa. Siyo kwamba Waethiopia siyo wazalendo kwa nchi yao bali hawaoni matumaini katika maisha yao.
 
ng'ombe utoa maziwa kwa ajili ya ndama, sasa yale tunayopata binadamu inapaswa yawe masazo ya ndama.

ili nchi isonge pamoja na mambo mengine inahitaji watu, hawa ndio wazalishaji na kipato chao wale wenyewe na seheme kiende kuendesha serikali ya nchi yao.

kama mazingira ya uzalishaji yamekua au yameanza kuwa chechefu, ni dhairi vilio haviwezi kukosekana. hali ngumu upelekea watu wengi kutafuta vitu vya kujipoza na masaibu ya ulimwengu.

kwa sababu uchumi ni mdogo starehe ya kupumbaza nafsi zao na hayo masaibu, ni lazima itakuwa katika maungo yao.
NGONO imekuwa starehe ya wengi, ndio maana wanaume tunataka kuongeza nguvu maradufu ili kufaidi zaidi. mjini watu maofisini wanakula mihogo, karanga, nazi, asali. akiambiwa na kidubwana hiki basi anatupia.

na hizi bando zinapanda bei hovyo, ni ngono tu. watu wazima tunadai connection. hali mbaya sana ukiwa bize na pesa unayo kuna mengi yakufanya[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatimaye kesho narudi zangu Perth kuendelea na vibarua vyangu vya kuchunga kondoo.

Hali ya maisha ya Watanzania wenzangu ni ngumu kupindukia. Si mijini wala vijijini pote ni vilio utadhani Taifa liko vitani,watanzania wamekata tamaa na wengi wao wame run crazy baada ya kufilisika Biashara zao na kufukuzwa kazi kwa uonevu eti walifoji vyeti wakati mfukazaji mkuu naye Elimu yake imejaa utata.

Ugumu wa maisha ya Tanzania kwa sasa hauna Tofauti na Burundi na Somalia.

Burundi ukimkosoa Nkurunzinza unapotea Kama ilivyo Tanzania, nimeenda Burundi family nyingi zimepoteza ndugu kwa kuwa wapinzani wa Nkurunzinza.

Hakuna tena pa kushika Tanzania, mzunguko wa pesa umekufa na pesa haina thamani tena. Vijana wamechanganyikiwa kwa ugumu wa maisha huku wakikimbilia CCM ili kusifia wapenda sifa ili wapate kula.


Sent using Jamii Forums mobile app
African leadership philosophy "wafanye kuwa masikini ( wasomeshe namba) ili uwatawale" watawala wa kiafrica ujisikia furaha na salama zaidi kutawala fukara na wanyonge yaani future less people kwa kuwapa matumaini hewa kwamba wao ni matajiri huku wakiwanyongelea mbali wapotelee kwenye ufukara.Wanyime elimu,wabane kwenye kodi komozi ili wawe fukara wasifikirie nje ya kula tu.Maisha ya waafrika yamekuwa ya hovyo sana baada ya Uhuru.
 
Braza umekula maharage ya wapi? Hivi hujui kwamba katiba iliyopo sasa imempa madaraka Rais kama mungu? Huko Marekani ulipo katiba yao imempa madaraka Rais kama hii yetu? Hiyo Marekani unaishi wewe ni ipi? Mbona unakua na akili kama za Mtu wa TANDALE KWA MFUGA MBWA?
Tunataka angalau tufikie hatua ambayo SPIKA au JAJI MKUU awe na uwezo wa kukemea Rais anapokosea na kuchukua hatua, basi.
nachukia mtu kufananisha USA na Tanzagiza yaan USA ina miaka zaid ya buku ya maendeleo(viwanda) afu sisi ndo kwanza tupo kwenye process za maendeleo plus UHURU HOLDAY afu TUNAZIFANANISHA embu weken comparison hata na kenya basi angalau imake sense....alisikika baharia mmoja akizungumza
 
Ndoa nyingi sana zimesambaratika zilizopo nyingi ziko ICU why sababu kazini kwenye utafutaji riziki ni moto nyumbani moto wanawake awaelewi wao wanataka pesa hakuna heshima imeshuka wanaume uonekana ni wazembe,wavivu,wanahonga nje matusi na shutuma za kila aina wanapewa uvumilivu unatoweka amani nyumbani inatoweka kila mmoja anachukua hamsini zake watoto wa mtaani wanaongezeka.
 
ng'ombe utoa maziwa kwa ajili ya ndama, sasa yale tunayopata binadamu inapaswa yawe masazo ya ndama.

ili nchi isonge pamoja na mambo mengine inahitaji watu, hawa ndio wazalishaji na kipato chao wale wenyewe na seheme kiende kuendesha serikali ya nchi yao.

kama mazingira ya uzalishaji yamekua au yameanza kuwa chechefu, ni dhairi vilio haviwezi kukosekana. hali ngumu upelekea watu wengi kutafuta vitu vya kujipoza na masaibu ya ulimwengu.

kwa sababu uchumi ni mdogo starehe ya kupumbaza nafsi zao na hayo masaibu, ni lazima itakuwa katika maungo yao.
NGONO imekuwa starehe ya wengi, ndio maana wanaume tunataka kuongeza nguvu maradufu ili kufaidi zaidi. mjini watu maofisini wanakula mihogo, karanga, nazi, asali. akiambiwa na kidubwana hiki basi anatupia.

na hizi bando zinapanda bei hovyo, ni ngono tu. watu wazima tunadai connection. hali mbaya sana ukiwa bize na pesa unayo kuna mengi yakufanya[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjini hakuna machaka huwezifanya ngono kama huna pesa,huwezi Fanya ngono kama ujashiba,huwezi waza ngono wakati tumbo empty
 
Kibwengo kapokea nchi nzuri kabisa 2015.

- Inakopesheka
- Diplomasia tele
- Urafiki na wazungu tele ( misaada ya kutosha ), hakuna kuwekeana TRAVEL BANS
- Ajira zipo
- Uchumi unakuwa kwa 7%
- Nchi haina majanga makubwa kama VITA, UKAME, MAGONJWA, TETEMEKO, VIMBUNGA

LAKINI,

Ndani ya MIAKA 4 tu !

"Kila Mtu Analia Na KUSAGA MENO.

- Ajira Hakuna
- Watu Wasio Na Hatia Wanapotea
- Watu Wanapigwa Risasi na Kutishiwa Bastola Hadharani
- Maisha Yamekuwa Magumu Kishetani ( Kijijini Kwetu Kulikuwa Na Mabucha 4 Ya Nyama, Leo Hakuna Mnunuzi Wa Nyama, Mabucha Yote Yamekufa, Watu Wanakula Utumbo )
- Diplomasia Imeyumba
- Misaada Inapungua Kila Kukicha ( Suluhisho Wameona Na Kukopa Kwenye Mabank Ya Biashara Ya Mabeberu na Ya Wachina )
- Deni La Taifa Linakua Kwa Mwendo Wa Rocket
- Kila Mbwa Anaebweka Kushtua raia Wema Kuwa Kuna Wezi, Katekwa, Kapigwa Na Kudhibitiwa ( TAKUKURU, MEDIA, BLOGS, MAGAZETI, MITANDAO, OPPOSITION, CAG, PAC ). Wanatafuna bila kelele

TWAFWAAAAAAA
Nadhani kuna sehemu tumemkosea Mungu watanzania yafaa tumuombe toba.Siku hizi mlo na mmoja tena kwa zamu.Na hapa atujapigwa vikwazo.Tangu Uhuru hakujawahi kuwa na dhiki kuu kama hii
 
Back
Top Bottom