Nilipokuwa mwaka wa pili nilibahatika kupanga chumba maeneo Fulani Ya Sinza.
Ilikuwa kila wikiendi lazima niingize mtoto mpya ndani.
Hali hiyo Mama mwenye Nyumba alikuwa akihadithiwa tuu, ni lini nilijua alikuwa akihadithiwa. Ni hivi;
Ilikuwa ni siku moja majira ya saa nne na nusu usiku nimetoka Mabibo hostel kwenye discussion. Niliingia ndani nakutoka na ndoo ya maji kwenda bafuni kuoga.
Kulikuwa kumetulia Sana huku mbalamwezi likimulika haswa nakupafanya paonekane Kama asubuhi. Nilimaliza kuoga na kurejea chumbani kwangu. Niliingia ndani na kuweka ndoo kisha kuenda kuwasha taa kwani nilivyotoka niliizima.
Nilivyoiwasha nilishtuka kuona mwili wa mwanamke aliyejifunga kanga, aliyelalia tumbo na kuacha Msambwanda wake ukiwa Kama vichuguu ukinitazama. Mapigo ya moyo yalikimbia kwa kasi Kama mtu aliyeahidiwa kupewa Mabilioni ya fedha.
Mpaka muda huo sikujua aliyekuwa amelala, nilikuwa nimesimama Kama nguzo nisijue cha kufanya.
Mara yule mwanamke akaongea
"Mbona umesimama"
Ndipo nilipojua ni Mama mwenye nyumba. Aliyasema hayo akiwa anajigeuza kwa tabu kutokana na ukubwa wa mapaja yake yaliyojaa vyema.
Nilijikuta sina cha kujibu tukabaki tunatazamana mithili ya majogoo wanaotaka kupigana.
"Samahani kwa kuingia bila taarifa"
Alisema huku akiwa ananiangalia na macho yake makubwa yalinakshiwa na kope ndefu kiasi za asili na nyuzi nyembamba.
"Usijali mama"
"Nimekuletea chakula Michael"
Huku akinionyesha hot pot na Mimi nikiangalia kule ninapoelekezwa ambapo niliona hot pot yenye nyama ya kuku na Wali.
Hakika ulikuwa mtego mkubwa kwangu. Kwani sikuwa na pesa na Tokea nipige Wali na maharage(RB), saa tisa sikupatapo kugusa chakula tena.
Nilijua nikifika ntakula kimkate changu nilichokibakiza usubuhi.
Sasa naona Uyoga jangwani Hahaaha!!
Mama mwenye nyumba alikuwa akiniangalia Kama jasusi wa CIA mwenye kitengo kikubwa. Alijua wazi jaribio lake lazima ni Disko.
"Naona umechoka sana"
Kimya
"Embu kula kwanza afu tutaongea"
Kimya kidogo.
Afu nashtuka Kama mtu aliyekumbuka point aliyokuwa akiitafuta Sana kwenye chumba cha mtihani.
Kimya kilipita, hakuna aliyekuwa akiongea zaidi ya kijiko na hotipot na mlio wa meno ndivyo vilikuwa vikizongana muda huo.
Nilipata kumchungulia Mama mwenye nyumba ambaye alikuwa bado kajilaza kivivu Kama chatu aliyetoka kumeza. Macho yangu yalidunda kwenye upaja mweupe laini wa mama juma ambao urangi yake iliweza kuakisi mwanga wa bulb na kuubadilisha mwanga wa mule ndani.
Nilihisi mapigo yamesimama, niligundua macho yangu yamenaswa na usumaku mahaba. Ndipo joka langu likaanza kwa kupiga miayo kisha likajinyoosha na kutunisha misuli.
Nilimshukuru mama mwenye nyumba ambaye nilimjua Kama mlokole na Mama mstaarabu aliyependa dini.
Alikaa nakujifunika mapaja yake vizuri.
"Hivi unajua wewe ni kijana mzuri, Michael?"
"mmmh!!"
"Eehe wewe ni kijana mzuri"
Kimya
"Ahsante kwa chakula"
Nilishukuru huku nikijaribu kufanya suluhu na joka asijitokeze kwenye ile kombolela. Joka lilisimama kidete, halikutaka kusikia lolote kutoka kwangu. Kuna wakati liliparua bukta yangu niliyoivaa jambo ambalo Mama mwenye nyumba alihisi bukta inacheza.
Jambo hilo pengine ndilo alilolitarajia Mama yule.
Aliachia tabasamu jepesi na kufanya vishimo vidogo vijitokeza kwenye mashavu na kupotea.
Alinishika begani kisha akasema;;;.........
Fuatilia simulizi la kweli kutoka kwa Michaelray22 litakaloanza jumapili.
Litakalo kwenda kwa jina "MWANACHUO".
Ahsante kwa kusoma.