Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

Hapa mfukoni ipo buku jero, kodi imeisha unampiga chenga faza wa nyumba huku ukisubiri mishe zitiki lakini wapi. Unaweza hata kukufuru kwa Mungu kwanini alikuumba uteseke hivi huku wenzio wanamaisha safi huko nje.
Member atakaye guswa nipush siku huku ukisubiri ajira portal iteme asiache kunishika mkono, nitamuombea kwa Mola.
Kipindi hiko ndio unaamini kwamba kweli Yesu alikufa kisha Siku ya 3 akafufuka km ilivyoandikwa kwenye Biblia na aliesababisha yeye afe ni Mwanafunzi wake mmoja alimchoma kwa sababu ya vipande 30 tu vya fedha
 
Nashukuru kwa kuwatag ila bado hawajanifikia
Cha kukushaur jf ni heri kuomba kaz utapata na watakaouchek sio hawa unaochat nao kila siku humu. Hao wako hum muda mref kufurahisha genge, kusakq fursa kamq wewe na kujifunza.

Mm cha kukushauri, kama uko dar jitahid sana ukipata fzrsa hata ya ulinzi unguja. Tembea zako! Huo sio mji wakuishi, ili upew fursa utukuze watu na ulipwe laki 3 monthly. Kwa mm Unguja ina pesa 100× kuliko dar.
 
Kwa mm Unguja ina pesa 100× kuliko dar.
Kuna dogo aliambiwa hivyo basi akaacha kazi ya 400k Dar akakwea boti mpaka huko anafika huko anaambiwa kazi aliyoifuata km aliyoiacha Dar atalipwa 200k, akamweleza ndugu yake akamwambia acha usenge unaacha kazi ya 400k unaenda kufanya kazi hio hio kwa 200k una akili wewe? Rudi huku ulipwe 400k dogo akatumiwa nauli akarudi kufanya kazi ya 400k, mnapovumisha mambo na kuwachota vijana akili muwe mnatumia akili sio mnawafanya mazuzu
 
Kuna dogo aliambiwa hivyo basi akaacha kazi ya 400k Dar akakwea boti mpaka huko anafika huko anaambiwa kazi aliyoifuata km aliyoiacha Dar atalipwa 200k, akamweleza ndugu yake akamwambia acha usenge unaacha kazi ya 400k unaenda kufanya kazi hio hio kwa 200k una akili wewe? Rudi huku ulipwe 400k dogo akatumiwa nauli akarudi kufanya kazi ya 400k, mnapovumisha mambo na kuwachota vijana akili muwe mnatumia akili sio mnawafanya mazuzu
It up to him/her. Very simple mkuu usiumize kichwa sana. Hiyo ni experience yangu mm. Na kwa ushaur tu kama kuna kaz ya kulipwa laki 4 dar na kaz hiyohiyo kulipwa laki 6 Unguja bakia dar. Mana hizo hela zina thamani sawa kabisa kulingana na mazingira.

Maeneo ninayokaa mm mpaka wehu wanapata hela mzee. Kujichanganya kwako tu. Ila unguja kuna sehem watu wanaishi kama dar kabisa. Uswhilin
 
It up to him/her. Very simple mkuu usiumize kichwa sana. Hiyo ni experience yangu mm. Na kwa ushaur tu kama kuna kaz ya kulipwa laki 4 dar na kaz hiyohiyo kulipwa laki 6 Unguja bakia dar. Mana hizo hela zina thamani sawa kabisa kulingana na mazingira.

Maeneo ninayokaa mm mpaka wehu wanapata hela mzee. Kujichanganya kwako tu. Ila unguja kuna sehem watu wanaishi kama dar kabisa. Uswhilin
Mishe kubwa unguja ni zipi kaka,
 
Huku ukiwa fundi wa aina yoyote fresh. Ukiwa mfanyahiashara fresh!. Ukiwa na nguvu fresh. Lugha ipo fresh. Yani hakuna marginalization

Ukiw na wazo la biashara upate watu sahihi fresh.
Kwa hyo hata ukiwa na nguvu pekee,ukapiga hata ukuli..kulaza 20 kwa siku ni uhakika?
 
Back
Top Bottom