Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

Wakuu sijaptisha kitu kinywani leo
Naomba support yenu
0679408345
Inapokea jina Patrick 🙏
Mtoa mada naona kama wewe ni tapeli,
Ukiona mtu anakimbilia kutumiwa hela ujue tunakueka kwenye kundi la matapeli!
Ivi unafikiri watu wote wenye shida tukiwa tunakimbilia kutuma namba za kutumiwa hela pangetosha huku ndani??!Embu acha ujinga
 
Mhando mkuu ni special case yule, yule alikuwa na bodaboda kabisa ya kwake na akaiuza. Wakat kuna watu mpaka leo wanatafuta boda tu waendeshe maisha yao. Alikuja tena kuandika uzi wa kuomba msaada watu waliwaka sana humu, akafyata. Mana alieleza kilekile cha mwaka jana na watu walijotoa walimtumiaga hadi hela. Aliemda Dubai mwezi mmoja tu akataka kuanza kutembeza watu kama tour guide huki dubai na matangazo akiyafanya humuhumu na yeye alipelekwa kuuza laptop. Mm nikacrash wazo lile mana kilichompeleka kule ni kuuza laptop ili apate hela.
Kumbe unakumbuka ?
 
Unipe namba yako ili iweje nimekwambia mnachowaambia vijana na kilichopo huko ni vitu viwili tofauti, kuna mdau hapa anaitwa prince Muhando huyu baadae alibadirisha jina akajiita X Intelligence km sijakosea aliomba sana wadau huku wamsaidie aende Qatar kufanya kazi yeye aliambiwa hivyo hivyo km wewe unavyoipamba Unguja kweli wadau humu hawana choyo wakampa connection safi akakwea pipa mpaka huko hakukaa alirudi tena mbio mbio na akaja kutolea maelezo vizuri kilichomkuta, acheni usenge
Dah huyo dogo amesharudi ndugu ? Mkuu Prince mhando kweli upo bongo ndugu ?
 
Wee uko mkoa gani kwani? Km uko ndani ya mikoa hii, Dar, Arusha, na Dom, afu wrr sio mzawa wa hapo.
Fanya urudi kijijini kwenu, ukaanze upya.
Polee sanaaa
Wakunyumba umeamua umtume kwenye mizimu ya babu zake kwanza sio kudandia watu mitandaoni
 
Mdogo etu Toka Lekchara akushike matako na ukatulia tuli tulijua maisha yatakuphira kabisa.
 
-Nenda kapange geto sehemu ambayo haujulikani. Itakua ni rahisi kwako kufanya kazi yoyote bila kujali macho ya watu

-Anza kupita kwenye vibanda vya chipsi kuomba uwe msaidizi, hautalipwa chochote lakini angalao kula itakua uhakika.

-Jichunguze utofauti wako uko wapi halafu angalia namna unaweza kuugeuza kuwa hela, mfano mimi kabla sijapata ajira kwa mara ya kwanza nilikua lecture wa mchongo nawafundisha wanafunzi wa chuo masomo ya finance, economics na hesabu kwa sababu hayo masomo nilikua nafaulu kwa daraja la juu wakati nasoma.

-Usisite kuomba msaada kwa ndugu ambae unaona anaweza kukusaidia.

-Andika mpango wako wa maisha. Short terms and long terms na akikisha kila siku unafanya kitu kipya kuendea ndoto yako. Msaada au bahati ikikukuta uwe tayari una ramani nzima.

-Usijaribu kutengeneza commitment relationship na mwanamke kwa wakati huu. Mahusiano ni liability kwa mwanaume. Upwiru ukikuzidia piga nyeto au kama una kiakiba kidogo nenda kanunue.
 
Back
Top Bottom