Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

Kwa hyo hata ukiwa na nguvu pekee,ukapiga hata ukuli..kulaza 20 kwa siku ni uhakika?
Hiyo ndo kima cha chini mkuu. Nguvu zikiruhusu huku mpaka 60 unapata. Day saidia fundi 20 fundi 30. Ukiuziwa kifusi au kazi nguvu zako tu day yakoinasoma mpaka 40. Tofali za juu 500 per 1. Mkijipinda tofali 150 kwa siku fjndi na kibarua piga hesabu
 
Umeona michezo yako hii halafu unawaambia vijana wakajichanganye Unguja wakafirwe si ndio? Tena hio nimekupa kesi 1 tu zipo kesi zingine kibao mnawaongopea vijana wakija huko empty kumamakezenu mnataka kuwafira
Nakupa namba zangu Pm mkuu nikulete huku uwe unainjoi maisha bichi pale Nungwi
 
Hiyo ndo kima cha chini mkuu. Nguvu zikiruhusu huku mpaka 60 unapata. Day saidia fundi 20 fundi 30. Ukiuziwa kifusi au kazi nguvu zako tu day yakoinasoma mpaka 40. Tofali za juu 500 per 1. Mkijipinda tofali 150 kwa siku fjndi na kibarua piga hesabu
Kumbe vijana wanapoteza muda huku kitaa na fursa zipo huko kumbe,
 
Mimi nilipitia hali kama yako nilikuwa napata mawazo maana ndio nimemaliza sijui nitaanzia wapi ila kwa sala Mungu alinipa kazi kimiujiza nilikuwa sina vyeti bado na cv hata sijaiandaa vizuri ile kazi ndio ikaja kunipatia kazi ya proffession yangu
 
Kumbe vijana wanapoteza muda huku kitaa na fursa zipo huko kumbe,
Tafuta information, tafuta watu sahihi. Anaesikia na asikie. Kijana anaongea kiingereza vizuri, kijana amesomea utalii. Kijana ana nguvu kabisa. Anahitaji nn tena? Kuna wachaga na wameru wengi huku wamejikita wanafanya biashara. Kijana anaimba mziki live! Kijana ana kpaji na sanaa dah! Kumamae walahi kweli exposure ukiikosa inawez kusababisha umaskini
 
Nakupa namba zangu Pm mkuu nikulete huku uwe unainjoi maisha bichi pale Nungwi
Unipe namba yako ili iweje nimekwambia mnachowaambia vijana na kilichopo huko ni vitu viwili tofauti, kuna mdau hapa anaitwa prince Muhando huyu baadae alibadirisha jina akajiita X Intelligence km sijakosea aliomba sana wadau huku wamsaidie aende Qatar kufanya kazi yeye aliambiwa hivyo hivyo km wewe unavyoipamba Unguja kweli wadau humu hawana choyo wakampa connection safi akakwea pipa mpaka huko hakukaa alirudi tena mbio mbio na akaja kutolea maelezo vizuri kilichomkuta, acheni usenge
 
Unipe namba yako ili iweje nimekwambia mnachowaambia vijana na kilichopo huko ni vitu viwili tofauti, kuna mdau hapa anaitwa prince Muhando huyu baadae alibadirisha jina akajiita X Intelligence km sijakosea aliomba sana wadau huku wamsaidie aende Qatar kufanya kazi yeye aliambiwa hivyo hivyo km wewe unavyoipamba Unguja kweli wadau humu hawana choyo wakampa connection safi akakwea pipa mpaka huko hakukaa alirudi tena mbio mbio na akaja kutolea maelezo vizuri kilichomkuta, acheni usenge
Nakupa namba yangu nikulete Unguja mkuu. Uje ukae kidogo uinjoi kula vitu laini laini huku unapigwa na upepo wa bichi. Nakupa na mafuta ya kun'garisha ngozi unakolea saafi kabisaaa

Mhando mkuu ni special case yule, yule alikuwa na bodaboda kabisa ya kwake na akaiuza. Wakat kuna watu mpaka leo wanatafuta boda tu waendeshe maisha yao. Alikuja tena kuandika uzi wa kuomba msaada watu waliwaka sana humu, akafyata. Mana alieleza kilekile cha mwaka jana na watu walijotoa walimtumiaga hadi hela. Aliemda Dubai mwezi mmoja tu akataka kuanza kutembeza watu kama tour guide huki dubai na matangazo akiyafanya humuhumu na yeye alipelekwa kuuza laptop. Mm nikacrash wazo lile mana kilichompeleka kule ni kuuza laptop ili apate hela.

Muhim kuliko yote ni kufanyq kaz na kuwa na maisha yenye focus. Ukiwa huna malengo hata kufirwa utafirwa tu. Hapohapo ulipo unainama yanpakwa mafuta
 

Attachments

  • IMG-20251218-WA0097.jpg
    IMG-20251218-WA0097.jpg
    57.7 KB · Views: 13
  • IMG-20260107-WA0104.jpg
    IMG-20260107-WA0104.jpg
    64 KB · Views: 6
  • IMG-20260201-WA0002.jpg
    IMG-20260201-WA0002.jpg
    308.7 KB · Views: 8
  • IMG-20260116-WA0024.jpg
    IMG-20260116-WA0024.jpg
    22.9 KB · Views: 12
our target in life is the same but there's a little different life approaching


instead of looking a jobs door to door just finding another way of making money on the street.


drought season is inevitable in Africa.
 
Back
Top Bottom