Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,434
Mkuu naomba ufafanuzi kwenye red hapo. Maana naona siku hizi kiongozi akivuliwa uongozi kutokana na kashfa tunamwita mstaafu. Kwa maana hii pia hata akina Jairo na Muhando na wao ni wastaafu!
Binafsi huwa napenda kuwaita hivyo kwa mana ya kwamba sipendelei kusikia wanarudi tena kwenye madaraka; it is in that narrow sense;