William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais.
Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.
1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.
2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.
3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.
4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?
5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.
6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?
7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?
8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.
9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?
10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.
Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.
Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.
Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.
Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.
1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.
2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.
3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.
4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?
5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.
6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?
7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?
8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.
9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?
10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.
Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.
Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.
Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.
Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.