Mahojiano ya Rais Samia na BBC yataongeza maswali na sio majibu

Ni aibu na ulimbukeni kwa rais kufanya interview na foreign media wakati TBC wapo.
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais.

Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Huyu mama viatu vya urais vimempwaya sana na ameharibia wanawake wengine kutoaminiana tena kwa nafasi za juu za uongozi wa nchi
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais.

Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Ndio
Screenshot_20210809-103824_Lite.jpg
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais.

Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
kinyonga agundulika rangi yake.
 
'" Askari wetu huwa awakosei shabaha"
"Lisu alijipiga mwenyewe risasi"
Unaweza muamini vipi mtu aliyetamka haya.
 
Kama umemsikiliza akihojiwa na salim kikeke hajashindwa swali hata moja, kikete kaishia kutingisha tu kichwa cha kukubali kwa kila swali.

Hapa ni kwamba yale mafisi yatakosa pa kushikia, kama yalipanga angefeli basi imekula kwao...
Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis) majibu yake kama yametosheleza, ni ya kweli, au ni ya kisiasa au hadaa tuu. Rais mzima kusema Mbowe alijificha Nairobi, (nuts must be loose in the skull?) Hivi hatuna uhusiano na Kenya kushughulikia uhalifu (in this case ugaidi)? Hatuna ushirikiano na Interpol? Mbowe hakuwa mara nyingi mitaan Dar, Kilimanjaro na maeneo mengine hapa nchini? Hata kwenye msiba wa ndugu yake, ambao ulitangazwa Sana polisi hawakumuona? Eti alijificha Nairobi!
 
Mama kama amerikoroga.....TISS wamemtisha sasa anafuata watakavyo

Noma sana ,mambo yaliyopo mahakamani anayuzungumza live kwenye chombo kikubwa kabisa bila wasiwasi.

"Teeth" wapo kimaslahi tu yao ya kupiga fedha na wanapiga "kweri kweri".
 
Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis) majibu yake kama yametosheleza, ni ya kweli, au ni ya kisiasa au hadaa tuu. Rais mzima kusema Mbowe alijificha Nairobi, (nuts must be loose in the skull?) Hivi hatuna uhusiano na Kenya kushughulikia uhalifu (in this case ugaidi)? Hatuna ushirikiano na Interpol? Mbowe hakuwa mara nyingi mitaan Dar, Kilimanjaro na maeneo mengine hapa nchini? Hata kwenye msiba wa ndugu yake, ambao ulitangazwa Sana polisi hawakumuona? Eti alijificha Nairobi!
Nikukumbushe tu, CCM KAMWE HAIWEZI TENGENEZA MAZINGIRA MAZURI YA UPINZANI KUCHUKUA NCHI. KAMWEE. TAFUTENI NAMNA INGINE. HATA AKIRUHUSU KATIBA MPYA HAITAKUWA NA VIPENGELE VYA KURAHISISHA UPINZANI KUCHUKUA NCHI.
 
Mimi nimepata majibu japo hatuombei iwe hivyo Mbowe hatorejea hivi karibuni uraiani, Chadema wajiandae kisaikolojia maana dialogue za kichama ni mpaka karibu n uchaguzi ndio zimeruhusiwa 2025.

Katibu kiongozi anapaswa kuongeza kasi ya utawala wa wasaidizi wafanye kazi yao ipasavyo kwani Mama anakuja na taarifa hafifu kama takwimu za ukuaji wa uchumi, vipengele vya sheria mama angefunika interview kwa kusema labda sheria yetu ya uchaguzi caps fulani inasema hakuna mikutano wala mijumuiko ya wananchama wa chama fulani na jezi zao.

Mama anagetumia pia platform ile kuelezea maendeleo ya miradi mikubwa ya mkakati, hali ya demokrasia, mipango ya muda mrefu ya afya kwa wananchi ikiwemo na uviko kwani mfano kupima uviko ni bei juu huku chanjo bure na mara akastuka akasema wasiwasi wake chanjo itakuwa haitoshi, chanjo serikali inagharamia mpaka lini na kama inakopa itakopa chanjo mpaka lini. Ajira zinapatiakanaje ilihali tozo zinazidi kuongezeka.
 
Nikukumbushe tu, CCM KAMWE HAIWEZI TENGENEZA MAZINGIRA MAZURI YA UPINZANI KUCHUKUA NCHI. KAMWEE. TAFUTENI NAMNA INGINE. HATA AKIRUHUSU KATIBA MPYA HAITAKUWA NA VIPENGELE VYA KURAHISISHA UPINZANI KUCHUKUA NCHI.
Huu uharo una uhusiano gani na nilichoandika!
 
Huu uharo una uhusiano gani na nilichoandika!
"Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa" hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis).

Hayo hapo juu ni maneno yako, huo uharo unakuonyesha iwapo Mbowe kakamatwa kisiasa ni kwa sababu anafanya jambo hatarishi kwa utawala wa ccm.

NIKUKUMBUSHE TU KUWA UNA MDOMO MCHAFU.
 
Back
Top Bottom