barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Ukiwa mjinga, unaweza kuamini kuwa mtu akiropoka chochote baada ya kuulizwa, basi ameweza kujibu.
..ni heri ya kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu kama wewe
Ukiwa mjinga, unaweza kuamini kuwa mtu akiropoka chochote baada ya kuulizwa, basi ameweza kujibu.
..ni heri ya kuwa mjinga kuliko kuwa mpumbavu kama wewe
Majawabu atawapa gaidi mboweKabisa boss, huyo mtoto hajui kuwa kuna majibu na majawabu.
Majawabu atawapa gaidi mbowe
Na Chadema wanaodai Mbowe siyo gaidi hawaingilii uhuru wa mahakama? Tena wakiwa na mabango mahakamani!Rais anaingilia kesi iliyoko mahakamani. Kwa kauli yake hiyo aliyotoa tayari keshamuweka hakimu katika wakati mgumu
Mama kama amerikoroga.....TISS wamemtisha sasa anafuata watakavyoYezebeli anabutua.
Huyu mama viatu vya urais vimempwaya sana na ameharibia wanawake wengine kutoaminiana tena kwa nafasi za juu za uongozi wa nchiUkweli natamani kuwa mshauri wa Rais.
Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.
1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.
2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.
3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.
4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?
5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.
6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?
7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?
8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.
9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?
10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.
Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.
Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.
Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.
Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
NdioUkweli natamani kuwa mshauri wa Rais.
Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.
1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.
2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.
3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.
4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?
5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.
6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?
7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?
8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.
9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?
10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.
Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.
Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.
Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.
Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
kinyonga agundulika rangi yake.Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais.
Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano. Kama mama anaongea kwa kumaanisha ni lazima ajue.
1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.
2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.
3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.
4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?
5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.
6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?
7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?
8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.
9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?
10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.
Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.
Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.
Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.
Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis) majibu yake kama yametosheleza, ni ya kweli, au ni ya kisiasa au hadaa tuu. Rais mzima kusema Mbowe alijificha Nairobi, (nuts must be loose in the skull?) Hivi hatuna uhusiano na Kenya kushughulikia uhalifu (in this case ugaidi)? Hatuna ushirikiano na Interpol? Mbowe hakuwa mara nyingi mitaan Dar, Kilimanjaro na maeneo mengine hapa nchini? Hata kwenye msiba wa ndugu yake, ambao ulitangazwa Sana polisi hawakumuona? Eti alijificha Nairobi!Kama umemsikiliza akihojiwa na salim kikeke hajashindwa swali hata moja, kikete kaishia kutingisha tu kichwa cha kukubali kwa kila swali.
Hapa ni kwamba yale mafisi yatakosa pa kushikia, kama yalipanga angefeli basi imekula kwao...
Tena imetengeneza watu wabovu saaaaana!!!!!Shida ya Watanzania kila mtu ni mjuaaji ...na ukitazama nchi yenyewe mifumo ni mibovu na inatengeneza watu wa bovu wengi ...
Mama kama amerikoroga.....TISS wamemtisha sasa anafuata watakavyo
Nikukumbushe tu, CCM KAMWE HAIWEZI TENGENEZA MAZINGIRA MAZURI YA UPINZANI KUCHUKUA NCHI. KAMWEE. TAFUTENI NAMNA INGINE. HATA AKIRUHUSU KATIBA MPYA HAITAKUWA NA VIPENGELE VYA KURAHISISHA UPINZANI KUCHUKUA NCHI.Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis) majibu yake kama yametosheleza, ni ya kweli, au ni ya kisiasa au hadaa tuu. Rais mzima kusema Mbowe alijificha Nairobi, (nuts must be loose in the skull?) Hivi hatuna uhusiano na Kenya kushughulikia uhalifu (in this case ugaidi)? Hatuna ushirikiano na Interpol? Mbowe hakuwa mara nyingi mitaan Dar, Kilimanjaro na maeneo mengine hapa nchini? Hata kwenye msiba wa ndugu yake, ambao ulitangazwa Sana polisi hawakumuona? Eti alijificha Nairobi!
Huu uharo una uhusiano gani na nilichoandika!Nikukumbushe tu, CCM KAMWE HAIWEZI TENGENEZA MAZINGIRA MAZURI YA UPINZANI KUCHUKUA NCHI. KAMWEE. TAFUTENI NAMNA INGINE. HATA AKIRUHUSU KATIBA MPYA HAITAKUWA NA VIPENGELE VYA KURAHISISHA UPINZANI KUCHUKUA NCHI.
"Kweli hajahindwa kujibu swali. Ila hapa" hatujadili tuu amejibu swali au hakujibu. Tunachambua (critical analysis).Huu uharo una uhusiano gani na nilichoandika!