Mahojiano ya Rais Samia na BBC yataongeza maswali na sio majibu

Tatizo la Tanzania vyombo vya usalama vimeingizwa sana kwenye siasa. Tatizo lingine ukisha ingiza vyombo vya usalama kwenye kazi na siasa utakuwa na matatizo makubwa sana mfano angalieni uchaguzi na wizi wa kura 2020 yaani mgombea anapata kura zero hata kwenye kituo ambacho yeye kapiga kura! Sasa kama nchi ni kwanini tulitumia mabilioni kwenye uchaguzi kama pesa zinapotezwa hivi kwa shughuli ambazo ni za kudanganya wananchi. Hatuwezi kuacha kumlaumu Hayati Magufuli kwa hili kafanya makosa makubwa sana kwa kuingiza usalama na polisi kwa kiasi hiki serikalini. Sasa wanajiona wenyewe ndiyo wanajua wafanye nini kuanzia ulinzi mpaka siasa
Tayari chama tawala kinatoa taswira kwamba wizi sio dhambi so wananchi watajifunza nini??

Serikali ya ccm ifikirie vingine mbeleni si kuzuri
 
ZAIDI MAMA LEO KAENDELEA KUWAPA HOJA WANAOTAKA KATIBA MPYA HASA KWA KUONGELEA JAMBO LILILO MAHAKAMANI BILA AIBU TENA KWA UWONGO SIJUI KASHAYRIWA NA NANI
SITAKI KUAMINI KAMA JANI MKUU KASHINDWA KABISA KUMPAGUIDE
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais. Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano.
Kama mama anaongea kwa kumaanisha NI lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Umeandika vizuri sana.
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais. Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano.
Kama mama anaongea kwa kumaanisha NI lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.

Unadhani kuwa tatizo ni washauri? Huyu ni cynical. Tatizo zima ni cynicism.

Haipo nia njema. Kilicho mbele ni matumbo yao.

Suluhu (siyo jina lake) hii hapa:

IMG_20210707_084839_278.jpg
 
Kwenye hili la Mbowe mama kajiharibia sana ,sijui kama anashauriwa na wanao mpenda!
Tatizo huyu mama hajiamini na waliomzunguka wanajua hili hivyo wanamtisha ili kutimiza matakwa yao. Kila mara raisi mwanamke, mara mimi amiri jeshi mkuu, zote hizi ni kauli za kutojiamini. Nchi imeachwa inaenda kwa ushauri tu bila msimamo wa raisi wetu kuonekana. Naamini mama ssh alikuwa na nia njema kabisa ya kuleta utawala wa sheria ila kuna wahafidhina kama mzee mkuchika bado wana mawazo ya kiimla.
Dunia ya leo huwezi kutawala kwa maguvu ya dola ukadumu ni lazima utawala wa hivyo utakuja kuishia pabaya. Nchi hii ni yetu sote na juhudi zozote za hila kuwatenga wengine katika kutawala nchi hii itatupeleka kubaya ndugu zangu. Tusifike watu wakasema sasa basi kwani ndipo tutafikia ya Yemen, au kwingine kokote ambako amani imetoweka. Watakao leta mtifuano ni watawala kwa kutumia hila kuendelea kutawala - waache wananchi waamue. Leo wananchi wanadai katiba mpya kwani wameona matokeo ya uchaguzi uliopita na leo wakurugenzi wote ambao ndio wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa ccm.
Mama Samia, Mungu akupe moyo wa ushujaa ili uje uache legacy katika nchi hii. Hufanani na ubabe hata kidogo, acha Mungu akuongoze na si wahafidhina wanaokuzunguka.
 
Kujitekenya mwenyewe ili ucheke, ni tofauti na kupata mtekenyo wa mtu mwingine. Kicheko huja chenyewe na wala si kwa kulazimisha.

Kutafuta visingizio ili kukwepa uhalisia wa hoja ni tofauti sana na kukabiliana na ukweli mchungu. Wapinzani ni marafiki na wakweli kwa kuwa wanaonyesha mapungufu, zaidi ya kundi la wanafiki na wahafidhina wenye kukwepa kukabiliana na ukweli ijapokuwa ni mchungu.
I agree with u
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais. Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano.
Kama mama anaongea kwa kumaanisha NI lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.
Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.
 
Ukweli natamani kuwa mshauri wa Rais. Rais wetu ni muungwana sana. Ana mtazamo chanya kuhusu taifa. Ila kupitia mahojiano ya leo watu wanaofikiri sana atakuwa kama washauri walitakiwa wabuni maswali na majibu yote baada ya mahojiano.
Kama mama anaongea kwa kumaanisha NI lazima ajue.

1. Tofauti ya chaguzi na tume zetu za uchaguzi ndio zinazopelekea minyukano ya kisiasa baada ya uchaguzi. Hatuwezi kujilinganisha na nchi za Magharibi kwani uchaguzi wetu uacha makovu makali na yasiyovumilika.

2. Hata Ulaya mabadiliko kufikia Demokrasia ya kweli yalipitia kwenye misuguano na mijadala mikali. Democrasia haikutua tu tokea mbinguni. Kuna French Revolution, Chartisim na Ludism Uingereza na zilikuwa mbaya sana. Kama wapinzani wakihisi hawatendewi haki lazma watashinikiza mabadiliko.

3. Mbowe hakukamatwa peke yake Mwanza, Je wenzake wote ni magaidi.

4. Kwanini mashtaka ya Ugaidi yatokee Mara baada ya ishu ya Katiba?

5. Pia onyo la chokochoko lilitolewa kabla na Rais na Kama alimaanisha wale wanaodai Katiba. Mbowe alipinga vikali Sana kupitia Twitter. hivyo tayari kulikuwa na mabishano juu ya suala la Katiba Kati ya Raisi na Mbowe juu ya Katiba na hili la Ugaidi likaja gafla.

6. Ulipuaji visima vya mafuta ungemsaidiaje Mbowe kisiasa?

7. Magaidi wengi huwa na uhusiano, mfano Alqaida, Alshababu, ISS na Boko Haramu na mengine karibu yote hushirikiana na kusaidia kwa namna moja. Je Mbowe Yuko na uhusiano na kundi lipi la Ugaidi?

8. Kundi la kigaidi linaloongozwa na Mbowe ni lipi? Au ndio CHADEMA.

9. Ni Silaha zipi na mafunzo yapi ya kigaidi CHADEMA humiliki?

10. Viongozi wapi Mbowe aliwalenga kuwaua na kwa namna gani na silaha zipi.

Hayo ndio majibu ambayo dunia inategemea kujua. Na ndio maana dunia inaomba ushahidi.

Nje ya misukosuko na Polisi ukweli CHADEMA kimeepuka kwa 100 asilimia kuanzisha vurugu kwa namna yoyote ile, kuvamia , kupiga watu au kumiliki silaha ata mawe tu.

Nje ya CCM CHADEMA Sasa ndio taasisi iliyojijenga zaidi kila kona Tanzania.

Tujipe nafasi ili kilakitu kikiwa wazi mahakamani Tumjue vizuri gaidi Mbowe Kama ni Osama wa Tanzania. Ila Kama itakuwa kesi ya danadana itatuchafua Sana.

Lazma Raisi afikirie Mara mbili mbili na asimame na ukweli na atafute washauri wapya. Hili swala likiwa la kufungwa litamchafua Sana.

Kuna hatua mama alipiga Sana kwenye utawala Bora. asiruhusu mawazo na Iman za kinaz zikamrudisha nyuma.

tatizo lenu hua mnajifanya mnajua sana kushinda watu wote yaani nyie mkisema ndo hamkosei, mbna kipindi bilkanas inavunjwa hamkutia neno na ushahidi ulikuepo iweje leo aonekane hawezekani kukosea?
 
H
LEO MAMA KATUANGUSHA SANA WATETEZI WAKE SIAMINI KAMA ANGEWEZA KUJIINGIZA KWENYE MAHIJIANO AMBAYO YAMELETA MASWALI KULIKO MAJIBU

SUALA ZIMA LA KUKAMATWA NA KUPEWA UHAINI MBOWE TULIAMINI ATALIMALIZA KATIKA HALI AMBAYO ISINGEMUUMIZA KISIASA LAKINI LEO KATUMBUKIA MAZIMA KWENYE MTEGO WA MAADUI zake HASA NDANI YA CCM AMBAO WANATAKA KUMUWEKA KWENYE HALI YA TAHARUKI NA KUKOSA UTULIVU ILI UTAWALA WAKE UKOMEEE 2025

SANA SANA HAKUA HATA NA HAJA YA KUJIBU HILO SWALI ANGESEMA TU KESI IKO MAHAKAMANI

MAMA LEO KAANGUSHA WANAOMTAKIA MEMA NDANI YA CCM NA HATA NJE YA CCM

WAKATI HAYA YAKITOKEA ULINZANI NDANI YA CCM UNAENDELEA KUWA IIMARA

MAMAA ANATAKIWA MAOMBI ILI ATULIZE AKILI
Hakika issue ya mbowe iwe na ukweli au la Mama alitakiwa kulikwepa hilo swali kwamba ameviachia vyombo husika.
Maelezo aliyotoa yataongeza chuki na taharuki.
 
Sauti ya mtu aliae nyikani natamani wangekusoma na kukuelewa.
Tatizo huyu mama hajiamini na waliomzunguka wanajua hili hivyo wanamtisha ili kutimiza matakwa yao. Kila mara raisi mwanamke, mara mimi amiri jeshi mkuu, zote hizi ni kauli za kutojiamini. Nchi imeachwa inaenda kwa ushauri tu bila msimamo wa raisi wetu kuonekana. Naamini mama ssh alikuwa na nia njema kabisa ya kuleta utawala wa sheria ila kuna wahafidhina kama mzee mkuchika bado wana mawazo ya kiimla.
Dunia ya leo huwezi kutawala kwa maguvu ya dola ukadumu ni lazima utawala wa hivyo utakuja kuishia pabaya. Nchi hii ni yetu sote na juhudi zozote za hila kuwatenga wengine katika kutawala nchi hii itatupeleka kubaya ndugu zangu. Tusifike watu wakasema sasa basi kwani ndipo tutafikia ya Yemen, au kwingine kokote ambako amani imetoweka. Watakao leta mtifuano ni watawala kwa kutumia hila kuendelea kutawala - waache wananchi waamue. Leo wananchi wanadai katiba mpya kwani wameona matokeo ya uchaguzi uliopita na leo wakurugenzi wote ambao ndio wasimamizi wa uchaguzi ni makada wa ccm.
Mama Samia, Mungu akupe moyo wa ushujaa ili uje uache legacy katika nchi hii. Hufanani na ubabe hata kidogo, acha Mungu akuongoze na si wahafidhina wanaokuzunguka.
 
Huyo mama yenu anajichanganya tu .

Yeye na watu wake wanakurupuka

Kwakuwa mashtaka yao ni kubambikizia na kutunga hawatafanikiwa.

Ukweli utajitenga na uongo haki itatawala

Na madhalimu watalipa sawa sawia na matendo yao
 
Bi mkubwa anaongelea MAZITO YA NCHI kwa WEPESI SANA, sijui washauri wake wanamshauri nini, anaongea maneno mengi ya uongo, UWEZO wa rais ni MDOGO kuongoza nchi, hili linaonekana wazi tuu.

Tunahitaji" KATIBA MPYA" hili kuepuka mambo kama hay
Yaani anaongea Mambo mazito kana kwamba no stori za kishosti .

Aisee hii nchi imepatikana

Lakini Mimi namlaumu Sana mkwere basi tu aisee haya majanga yote tunayopitia Kama nchi Ana mkono wake .
 
Back
Top Bottom