sijaelewa mantiki ya msigwa, nchi ina mabalozi 32 tu na JPM kateua balozi mmoja tu Dr. Migiro, hao anaowasema msigwa ni akina nani? anasema mabalozi 70 hawajarudi nchini kwa kukosa pesa, uongo wa mchana kweupe, balozi aliyerudi wa mwisho ni Batilda Burian aliyekuwa japan hao anaowasema msingwa ni akina nani atutajie,Nimemkubali sana Msigwa kwenye suala la ecomic diplomacy. Amelidadavua vizuri sana. Na nadhan serikali ilichukulie hili seriously. Balozi kisiwe cheo cha hisani au cha walioshindwa uchaguxi, wapelekwe watu waliobobea ktk hayo mambo.