MBEGU BORA
JF-Expert Member
- Jun 14, 2016
- 501
- 360
jibu wewe basi tukuskieMtu anaulizwa kwakukosa msaada wa pesa za MCC tanzania kama nchi imeathirika kiasi gani?
Mbunge anatia porojo!naamini hata akiulizwa pesa za mcc zilikua ni kiasi gani atakua hajui hii ni aibu kwa CDM