Mahojiano ya Peter Msigwa ndani ya Dakika 45 ITV

Mahojiano ya Peter Msigwa ndani ya Dakika 45 ITV

huu uzi inaonekana ni wa either kumsifia msigwa ama kumponda msigwa,nadhani tungezungumzia zaidi hoja alizozizungumzia kama zina msingi kwa maslahi ya taifa,tukumbuke huyu ingekuwa leo ukawa ipo madarakani angekuwa ndo waziri wao wa mambo ya nje kama sio naibu waziri..
 
Msigwa amefunguka kinaga ubaga , kuna kitu nimekijua leo , kumbe hawa mabalozi wetu wengi ni wale walioshindwa ubunge ! Mimi nilijua ni wakuu wa mikoa tu .
Kwa hyo umesubili ufundishwe na hilo??? Akili za kuambiwa mbaya sana
 
Tulisoma divide and rule strategy sasa ndio tunaona live, that time wakoloni ndio walifanya lakini this time around ni wanasiasa mliowachagua wenyewe
 
Sio mtupu kaka..upinzani umeishiwa hoja..yaani rais ameenda beyond their expections..ukitaka kujua hilo refer case ya Charlz kitwanga..hadi pumzi ya kuongelea lugumi imewakata.
Mmhh! Kwa akili yako unadhani Lugumi inawahusu wapinzani tu?
 
Kwa hyo umesubili ufundishwe na hilo??? Akili za kuambiwa mbaya sana
Sikulijua mkuu , mimi nilijua mabalozi ni watu waaminifu na wenye akili sana ! Kumbe ni wale watu waliokataliwa kwao walikozaliwa na kupigwa chini ndio wanaokotezwa kwenda kutuwakilisha !
 
huyu ndiye alitegemewa kuwa waziri wa mambo ya nje kama sasa ukawa ndio ingetakiwa kuunda serikali yake....
Waziri wa mambo ya nje wa ukawa alihaidiwa Juma Mwapachu.
Mh.rais wa mioyo ya wana chadema Lowasa iwapo angepata urais wa ukweli waziri wake wa mambo ya nje angekuwa Mwapachu Huyo Msigwa angekuwa mbunge wa kawaida tu.
 
Waziri wa mambo ya nje wa ukawa alihaidiwa Juma Mwapachu.
Mh.rais wa mioyo ya wana chadema Lowasa iwapo angepata urais wa ukweli waziri wake wa mambo ya nje angekuwa Mwapachu Huyo Msigwa angekuwa mbunge wa kawaida tu.
mimi naongelea kwa sasa hivi kwani mwapachu sasa hivi yupo ukawa??
 
Sikulijua mkuu , mimi nilijua mabalozi ni watu waaminifu na wenye akili sana ! Kumbe ni wale watu waliokataliwa kwao walikozaliwa na kupigwa chini ndio wanaokotezwa kwenda kutuwakilisha !
haa haa ila lile msigwa kawatandika vibaya maccm duh...
 
mkuu ile kauli ya mkuu wa nchi aliteleza. huwezi sema ww ni rais wa masikini au tajiri. rais hupaswi kugawa watu. pombe aliteleza.
Haha..Ccm wameamia sana. Big Sam wao ni mwili ila ni mbwedombwedo tuu km sauti yake. Ccm wanalia eti ni fujo kwa vile Msigwa ka match up na mahela na kumbana . Yaani Ccm wanajua Msigwa ndio alikuwa na controlled km kawa wanapita fujo, matusi, lugha ya kihuni. Hata mahela nae alianza mtu humu kuwa Mchungaji na kakata enda mbali kumhukumu kwa uongo. Imegoma.
 
Sam mahela amekuwa muoga sana. Kwanini mtangazaji anabishana na mtu anaemhoji. Mwandishi anatetea tetea maovu. Mwandishi anasifia ovyo bila kufuata utaratibu wa waandishi. Sam mahela ameniangusha sana kwenye hii interview. Sam mahela anaonyesha mlengo wa kisiasa kwenye hii interview.
Yaani hata mimi nimekerwa na aina interview aliyofanya huyu mtangazaji, pia wapo wengi sana kwwny media za bongo, watangazaji kujibia au kujiweka upande wa serikali, kwa nini mtangazaji usiwe neutral?????
 
Nimemkubali sana Msigwa kwenye suala la ecomic diplomacy. Amelidadavua vizuri sana. Na nadhan serikali ilichukulie hili seriously. Balozi kisiwe cheo cha hisani au cha walioshindwa uchaguxi, wapelekwe watu waliobobea ktk hayo mambo.
 
Waziri wa mambo ya nje wa ukawa alihaidiwa Juma Mwapachu.
Mh.rais wa mioyo ya wana chadema Lowasa iwapo angepata urais wa ukweli waziri wake wa mambo ya nje angekuwa Mwapachu Huyo Msigwa angekuwa mbunge wa kawaida tu.
Pole sana. Sasa inakuuma nini?
 
Back
Top Bottom