Tony antony
JF-Expert Member
- Nov 17, 2013
- 4,988
- 3,270
huu uzi inaonekana ni wa either kumsifia msigwa ama kumponda msigwa,nadhani tungezungumzia zaidi hoja alizozizungumzia kama zina msingi kwa maslahi ya taifa,tukumbuke huyu ingekuwa leo ukawa ipo madarakani angekuwa ndo waziri wao wa mambo ya nje kama sio naibu waziri..