Ha ha haNdio katoa plasta kwani ITV inaendeshwa na naibu spika.Jiongezeni.
Hawa Kutegemea style waliyompa Sam mahela ime bounce. Ndio maana inabidi wao ndio wawe busy kumchafua.msigwa is good, ujue humu JF kuna vi la za wengi hatujuani hivyo uwe very selective kubishana na mtu! Angalia sentense construction utaona tu!
Msigwa anaulizwa anaonaje kuimalika kwa uhusiano wetu na Rwanda anajibu rais kapewa ng'ombe..huyu ndiye alitegemewa kuwa waziri wa mambo ya nje kama sasa ukawa ndio ingetakiwa kuunda serikali yake....
kwani maswali yaliyoulizwa yaliitaji takwimu???Kweli zzk anatofauti na wabunge wote wa upinzani,Msigwa anaongea muda wote lakini hana takwimu,yeye anaongea tu.
SijakuelewaHawa Kutegemea style waliyompa Sam mahela ime bounce. Ndio maana inabidi wao ndio wawe busy kumchafua.
Next time mtahitaji mpiga shule zaidi mahela. Kazi ya ku amplify mafanikio ya malaika yaliyo fanya mahela hajaweza ilinda kwa vichwa kuanzia kwa Lema leo Msigwa. Kagera shuga ni aibu.Sikuwai kujua Msigwa ni empty kichwani namna hii..
kwani yuko live apo???Si mlidai Tanzania hakuna Uhuru wa kujieleza! Sasa hapo anaongelea Marekani or?
Kwa vile sam mahela ana kazi moja kucheza foul ili kuwatoa knock out kwa faida ya Ccm. Nisikie akihoji Ccm km atathubutu wabana wadhindwe toka.Hii haikuwa interview yalikuwa ni mabishano