Mahojiano ya Peter Msigwa ndani ya Dakika 45 ITV

Mahojiano ya Peter Msigwa ndani ya Dakika 45 ITV

Sam yuko vizur sana hawez ruhusu upotoshaji . kwanza hawa ufipa ni wakengeukaji. Hatuwaamin tena tuwakatae
Asingeruhusu kwa Simba chawene na wengine wa Lumumba. MBONA HAJATHUBUTU KUSEMA KUTOKANA NA UMUHIMU WA WIZARA YA MSIGWA KWA TAIFA TUTAKIRUDIA KIPINDI hiki.Lumumba povu litapanda kwa knock out itahamia kwao. .Marudio yatabaki kwa Ccm kuja rekebisha gap walikigwa na upinzani.
Msigwa kanipa raha km Mbowe ktk bunge la escrow, Lema na Msigwa huwa wanakata upuuzi pale tu nasuburi reaction sahihi.
 
Asingeruhusu kwa Simba chawene na wengine wa Lumumba. MBONA HAJATHUBUTU KUSEMA KUTOKANA NA UMUHIMU WA WIZARA YA MSIGWA KWA TAIFA TUTAKIRUDIA KIPINDI hiki.Lumumba ovu litapanda kwa knock out itahamia kwao. .Marudia yata baki kwa Ccm kuja rekebisha gap walipigwa na upinzani.
Uliangalia mjadala wake na Prof Ndalichako? Host lazima aulize maswali ya kubana, kuchefua, kukasirisha, kuchochea nk. Au wewe unataka aulize kumfurahisha mgeni?
 
Updates zinakuja:
-Anasema akienda nje ya nchi anaenda kama mwananchi, na sio kama Chadema.

-Anahoji kwa Tanzania kupeleka majeshi nje ya nchi kama Kongo, je, Tanzania tunafaidika na nini?
.

Hivi ni kweli Mhe Peter Msigwa hafahamu kwanini Tanzania imepeleka majeshi Kongo? Inawezekana kweli kwa waziri kivuli kutojua uhumihu wa jambo so basic kama hilo? CHADEMA walimpa Msigwa hiyo nafasi ya waziri kivuli wa mambo ya nje kwa sifa gani?
 
Msigwa Waziri Mambo ya Nje..

Lema Waziri Mambo ya Ndani

Wenje Waziri Utalii

Kubenea Waziri Habari

Sugu Waziri wa Kazi, Vijana

Geeeezz what a hopeless country???
 
Kama ndio miamba hii inayotegemewa ya Upinzani, hata mimi Spencer hawavai viatu vyangu.
Lema nae alirukaruka kama maharage mwisho akanywea.

#Hapa kazi Tu.
 
Sam mahela amekuwa muoga sana. Kwanini mtangazaji anabishana na mtu anaemhoji. Mwandishi anatetea tetea maovu. Mwandishi anasifia ovyo bila kufuata utaratibu wa waandishi. Sam mahela ameniangusha sana kwenye hii interview. Sam mahela anaonyesha mlengo wa kisiasa kwenye hii interview.
Ila mkuu tuseme ukweli, kwa lawama zako hizi kwa mtangazaji hakika upinzani wa nchi hi mna matatizo makubwa mno kwenye bongo zenu...

Yani ulitaka yule mtangazaji amwache tu Msigwa atiririke atakavyo bila kumyia changamoto? Sasa maana ya hiyo interview ni nini, ikiwa mwendesha interview huna hata mambo ya kumchalenji mhojiwa,?
 
Huyu msigwa ni zaidi ya kituko, hana fact zozote zaidi ya mhemko.
 
Msigwa Waziri Mambo ya Nje..

Lema Waziri Mambo ya Ndani

Wenje Waziri Utalii

Kubenea Waziri Habari

Sugu Waziri wa Kazi, Vijana

Geeeezz what a hopeless country???

Wenje sio mbunge
 
Msigwa ana uwezo mkubwa sana wa kujenga hoja..Amejenga hoja kwa weledi na umakini mkubwa
Ameeleza vizuri sana..kuwa na kiongozi mwenye "poverty mentality" ni hatari sana,maana atakuwa anaamini kuwa kula dagaa bila mafuta na uji wa bila chumvi wakati ndani una shilingi milioni moja basi ni kubana matumizi...Kuusifia Umasikini na kuambatana nae ni "poverty mentality" pia...Ila kwa sbb ya chuki za kisiasa average minds hawawezi elewa "lecture" ya Msigwa ya leo.

Sam Mahela hajui tofauti ya "Mahojiano" na "Utafiti"..Anasema alifanya utafiti siku 100 za JPM na akaona 95% wanakubali "kasi" ya JPM...nafikiri "Mahojiano" hayakidhi saifa za utafiti,na kama anataka ajue huo "utafiti" wake basi arudi tena kuuliza sasa hivi wananchi aone.

Hii mambo ya waandishi wa Habari kujipendekeza ni hatari sana..nafikiri Sam ameona "matunda" ya kazi ya mwenzako Emmanuel Buhohela,sasa yupo Ikulu na team ya Kurugenzi ya Habari-Ikulu.
 
Ila mkuu tuseme ukweli, kwa lawama zako hizi kwa mtangazaji hakika upinzani wa nchi hi mna matatizo makubwa mno kwenye bongo zenu...

Yani ulitaka yule mtangazaji amwache tu Msigwa atiririke atakavyo bila kumyia changamoto? Sasa maana ya hiyo interview ni nini, ikiwa mwendesha interview huna hata mambo ya kumchalenji mhojiwa,?
Haha...angesikiliza basi hizo challenges zikijibiwa? Mbona anataka zikimbia? Lumumba mlidhani ni vitu vigumu sana mmeandaa.
 
yani hapa kwenye uzi watu hamna hoja za kumpinga msigwa zaidi ya chuki za kisiasa!mara zzt,mara dr yani havieleweki ni bora nmeponda tu ndyo kazi inayofanyika!
 
Hawa Kutegemea style waliyompa Sam mahela ime bounce. Ndio maana inabidi wao ndio wawe busy kumchafua.
Mkuu nmekudharau sana kwa coment yako hii....

Umesahau kama pale ni ITV? TV yenu?
 
..wewe ndio umeandika kuwa mwandiko tu unaweza kukupa taswira ya mwandishi.
sentence construction- the philosophical aspect contained in the the sentence not spelling anyway! Mimi kusema kweli huwa sihangaiki na masahihisho humu JF, iwe kiswahili, kiingereza. LAKINI syntax ni muhimu ikawa correct to convey the intended meaning; and correct grammar! Mimi sio mtaalamu wa lugha, lakini ukikosea the very basic rules of English grammar then we will doubt your shule na tutajitahidi kuepuka kujibizana na wewe! Usiseme kwa mfano Juma go to school every day! Tutashituka!
 
Uliangalia mjadala wake na Prof Ndalichako? Host lazima aulize maswali ya kubana, kuchefua, kukasirisha, kuchochea nk. Au wewe unataka aulize kumfurahisha mgeni?
Maswali ya huyu Sam kwa Ccm ni km kupiga muhuri, ni maswali yanayo lengwa vitu ambacho wana majibu na hivyo kuwasaidia kusifiwa. Na huwapa space ya kujisifia na kuongeza unnecessary hints za kupotosha. Ulisikia alivyomuuliza Lema kuhusu bhangi ? Km vile upinzani ni wavuta bhangi, baada ya kuona Lema kabana kuhusu ulevi.
 
Pole sana... Kalale kwanza ili hiyo kitwanga iondoke kichwani mwako ndio urudi tena
Kitwanga kwani mimi ni Ccm? Mkalale, mmeandaa uchafu kwa mahela sasa mlicholishwa kuja shambulia vimeshakuwa invalid na hamna fikra mbadala.
 
Nimekuta nyumbani wanaangalia ITV hayo mahojiano ya Mchungaji msanii nikatoa nakaweka mpira England VS Slovakia.
 
Mtazame na kumsikia Mch Peter Msigwa on ITV now.
Msigwa amefunguka kinaga ubaga , kuna kitu nimekijua leo , kumbe hawa mabalozi wetu wengi ni wale walioshindwa ubunge ! Mimi nilijua ni wakuu wa mikoa tu .
 
Back
Top Bottom