Mahitaji yake nampa lakini yeye hataki kunipa

Mahitaji yake nampa lakini yeye hataki kunipa

Wakuu nawasalimu wote.

Kwanza kabisa poleni kwa majukumu naamini wote mnapambana ili kuhakikisha hili taifa linasonga mbele.

Pili, nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote walionishauli.

Ni Juzi tu nilileta uzi hapa nikiwa nalalamika kuwa kuna mpenzi wangu namhudumia kila kitu lakini yeye hataki kunipa haki ya wapendao.

Ndugu wanajukwaa ushauri wenu nimejaribu kuutumia na nimeona matunda ya ushauri wenu. Kuna wengine walinambia msimtafute, ni kweli jana asubuhi sijamtafuta, cha kushangaza mchana akanitumia sms nikamshaushia. Usiku amenitafuta nikaendelea kubana vyuma.

Cha kushangaza leo asubuhi na mapema amenifuata kazini kwangu analia, ananibembeleza anasema turudiane.

Wanajukwaa msichoke kunishauri, mimi msimamo ni kwamba tuachane, lakini analia.

Naomba mtazamo wenu wakuu kuhusu hili suala, ukizingatia nimetumia gharama kubwa kumhudumia ndani ya wiki moja halafu sijaramba kitu.


Niendelee kubana vyuma?.

Endelea kubana vyuma kwa heshima ya wanaume wote tulioathirika kama wewe. Lakini si muda muafaka wa kupanda mti mwingine maana huko utaishia kufeki mapenzi.
 
Kuna msemo fulani wanasema *Real men keep their word*

kama unabwaga bwaga, kama unapenda Chunwa vumilia tu Mkuu!
hivi kuna mtu hapendi kupewa tu? Machozi ni igizo dogo tu mbele ya danga[emoji23]
 
Mkuu sijalainika, nimemwambia tuachane.
Hahaa Mr capslock sijapata tabu kukumbuka post yako ile.

Pima ngoma kama plain fokoa chemchem mkuu, ni uzembe na hasara kumuacha hujafukunyua, piga mashine halafu endelea kuweka sanction hizohizo kama N.korea.


Brother huionei huruma hela yako uliyoitoa inaenda hivyohivyo?
 
Endelea kubana vyuma kwa heshima ya wanaume wote tulioathirika kama wewe. Lakini si muda muafaka wa kupanda mti mwingine maana huko utaishia kufeki mapenzi.
Mkuu hawa wanawake wanaumiza sana, hasahasa ukiwanyenyekea sana.

Nashukru kwa ushauri.
 
Hahaa Mr capslock sijapata tabu kukumbuka post yako ile.

Pima ngoma kama plain fokoa chemchem mkuu, ni uzembe na hasara kumuacha hujafukunyua, piga mashine halafu endelea kuweka sanction hizohizo kama N.korea.


Brother huionei huruma hela yako uliyoitoa inaenda hivyohivyo?
[emoji2] [emoji2]

Mkuu ushauri ulionipa kwenye ile post unamchango mkubwa sana. Ile post niliiandika usiku nikiwa na maumivu makubwa mno.

Nashukru mno.
 
Wakuu nawasalimu wote,

Kwanza kabisa poleni kwa majukumu naamini wote mnapambana ili kuhakikisha hili taifa linasonga mbele.

Pili, nipende kutoa shukrani zangu za dhati kwa wote walionishauli.

Ni Juzi tu nilileta uzi hapa nikiwa nalalamika kuwa kuna mpenzi wangu namhudumia kila kitu lakini yeye hataki kunipa haki ya wapendao.

Huu hapa; Mahitaji yake nampa lakini yeye hataki kunipa

Ndugu wanajukwaa ushauri wenu nimejaribu kuutumia na nimeona matunda ya ushauri wenu. Kuna wengine walinambia msimtafute, ni kweli jana asubuhi sijamtafuta, cha kushangaza mchana akanitumia SMS nikamshaushia. Usiku amenitafuta nikaendelea kubana vyuma.

Cha kushangaza leo asubuhi na mapema amenifuata kazini kwangu analia, ananibembeleza anasema turudiane.

Wanajukwaa msichoke kunishauri, mimi msimamo ni kwamba tuachane, lakini analia.

Naomba mtazamo wenu wakuu kuhusu hili suala, ukizingatia nimetumia gharama kubwa kumhudumia ndani ya wiki moja halafu sijalamba kitu.

Niendelee kubana vyuma?.
HAPANA MKUUU ,,NAKUMBUKA MIMI NMMOJA NILOKUSHAURI UTULIE USIMTAFUTE WALA USIMUOMBE.

SASA KWAKUA HITAJI LAKO LILIKUA NI KUMTIA KWANZA ..

MKUU MWAMBIE IVI " NIKIPATA MUDA NITAKUAMBIA TUZUNGUMZE " .

alafu unatuliaaa ,,, badae unamwambia , kesho naweza nisiende job ,so nitakustua kama tutaweza onana au lah..

Kula zigo mzigo mkuuu weka heshima.
 
endelea kukaza mkuu, hicho kilio ni cha kinafiki tu, kama kweli anakupenda asingekula vya kwako pasipo kufikiria kuonyesha upendo na kwako pia. kaza na jaribu kumkwepa, usimsikilize akilia, usiangalie machozi yake na tafuta mtu mwenye sifa za mke na Mungu atakusaidia utampata
 
Mwambie ukitaka niku samehe nipe mchezo wa pale kati patamu patamuu sw!! Bila ivyo endelea kukaza tu
 
Bana vyuma. Kuhusu kuendelea kukaza, naomba mpigie BABA DAUDI atusaidie, amewezaje kukaza namna hii!
 
Back
Top Bottom