MAHINGILA of BRELA: Another dodgy CEO

JF XXL

nasikia sasa Nyaga Mawalla yupo mikononi mwa vyombo vya sheria ... juu ya shauri la pesa chafu ....?
 
Last edited by a moderator:
Ku register kampuni lazima ufanye KYC mimi nakubaliana na Brela lazima wajipe muda wa kufuatilia hao wanaosajili kama ni watu wa maana.

Hii ya kuona kila kampuni online itasaidia sana especially kwa mabenki ambayo yanapigwa pigwa na makampuni hewa, na ukienda BRELA unalipia lakini hupati kitu chochote maana ku search inabidi waende wakatafute mafaili store kwenye mavumbi. Tena naomba waweke na signature na Physical address za hizi kampuni na wajitahidi kila kunapotokea changeza za ma directors wawe wana update na kusema ni kutokea lini huyo mtu aliyepita alikoma kuwa Director na mtu mpya ameanza na mgawanyo wa shares kama umebadilika uwe wazi.

Big up BRELA
 
Huyu Mahingila bado hajafukuzwa kweli? Mods tunaomba upeleke huu uzi jukwaa la siasa ili tumshtuee waziri aliyelala aondoe uchafu uliopo kwenye wizara husika.
 
niliona kwenye taarifa moja ya habari ofisi za brela kumejaa ma file tupu hawatunzi kumbukumbu kwenye computer eti kisa kuna sheria moja ya ushahidi haitambui ushahidi wa kwenye computer(electronic, WAnasheria mtanisaidia km nimekosea) eti ndo maana wanatunza ma hadr copy, dah kweli brela nyie kiboko.

Wanaweza kutunza both hard copy na vile vile ku scan kuweka kwenye website.
 
Hawa jamaa wa BRELA wametumia BILIONI 1 kununua software ( kuna taarifa ni kwa njia ya utatanishi kwani haikutangazwa hata hiyo tenda)

bonyeza section ya services kwenye hii website below utanielewa:
BRELA-C.E.O Message


Sijajua 1 billion kununua software ni justifiable in this day and age ambayo hizi software ziko so cheap na hata kama ni ku carter for local market i still think that was too much

Anyway the whole point ya kuna na hii software tulitakiwa tuwe na uwezo wa kufanya mambo makuu yafuatayo:

1. COMPANY NAME SEARCH ONLINE: ( bure huna haja ya kutoa 50,000) dirishani kuangalia majina

2. KUPATA FORMS ZA KUJAZA IN PDF FORMAT ONLINE

3. KUJUA COMPANY DIRECTORS/ADDRESS ZA KAMPUNI ZOTE ZINAZO OPERATE TANZANIA

4. KUREGISTER KAMPUNI WITHIN 1 HR

5 . KUFANYA RETURNS ON TIME ONLINE



Sasa cha ajabu ni kuwa tunaambiwa hayo yote yanawezekana lakini the company that has been given the tender wanasema eti kuregister kampuni itachukua 3 DAYS!

Really? why 3 days wakati software inafanya kazi?

Unless MAHINGILA knows something that we dont lakini hatuwezi kuwa competitive kibiashara kwa mipango kama hii isiyoeleweka


wenye hii kampuni inayofanya web design nadhani ndio hawa hapa chini:

clients2.jpg


: : SURA : :

na address yao hii hapa:

SURA
Opp.Akbar Studio
Zanaki Street
Dar-Es-Salaam,
Tanzania
Ph: 2131605, 2131608
Contact Persons :
Mr.V.Ramadhar Reddy (C.E.O),email:ramadhar@sura-tz.com.
Mr.A.Prakash Yadav(Manager),Email:prakash@sura-tz.com.
Mr.Edmund Safari Mbao (Business Development Manager),email:safari@sura-tz.com

ohhh hao jamaa waliopewa tenda wanaitwa MAWALLA

Soma hapa:

The East African: *- Business*|You can now register your firm in 3 days


Meanwhile kule RWANDA waoa wanafanya hivi:


wana calculate incase ukienda in person hutokaa dirishani zaidi ya 5 minutes

au unaweza kuregister kampuni online and it wont take more than 15 minutes

ushaidi uko hapa:
Business registration : Register a company : Register a domestic company : E-REGULATIONS RWANDA

Unless Mahingila knows something we dont lakini I think he's not up to the job!
Nimeona majina ya KIASIA HAPO JUU...hawa ndo wanaoharibu mpango mzima...wahindi ndo friends wa Brela pale Rushwa ni kama Jadi....WAHINDI WANASAJILI KAMPUNI KWA MASAA 2 TUU....halafu sisi tunafavywa mapoyoyo....rregistration ya business name tuu wiki nzima....wabomoe kile kitengo kama WALIVYO DEMOLISH JENGO LA USHIRIKA.
 
Mkuu....

Rehema Kitambi ni Assistant Registrar wa BRELA - Client.... Nyaga Mawalla ndiyo CEO wa MAWALLA Group.... Supplier (investor in terms of Public Private Partnership) Nyaga na Rehema ni wazazi .. wana mtoto..
the unfold story is....

Nyaga na Rehema wameanza urafiki wa kimapenzi tangu Arusha School kwenye miaka ya 1984-85 ..... wamekuwa wapenzi University of Dar es salaam wakiwa wote kitivo cha sheria miaka ya 1994-95..... wamemaliza pamoja Nyaga amerithi kampuni ya Sheria ya Baba yake... na Rehema ameajiriwa BRELA....

Do we have any confidence with the practices under these circumstances....? I completely doubt
aise mkuu nimekukubali.....unachosema ni UKWELI USIO NA SHAKA,Mimi nawafahamu hawa...upo sahihi salute kwako
 
Doggy CEO is an understatement!! you gotta find a better name for a guy aliyesajili makampuni kibao yaliyofisadi pesa za EPA; the Kagodas etc ..etc.. wakati wakurugenzi wake hawajulikani na rekodi za makampuni hayo hazipo Brela and therefore flimsy excuses kwa serikali ya CCM kutowachukulia hatua za kisheria mabaradhuli hao!

Udhaifu wa mifumo yetu ya utawala na roho za kifisadi na umimi za watendaji wetu wengi from top to bottom zinalipeleka taifa hili kubaya! we need a Kagame here for say 10 years ili watanzania akili ziturudie tuanze kuwatumikia wananchi badala ya matumbo yetu peke yake.
 
huyo jamaa wa Brella +EL+Jamaa wa EWURA+Mkurugenzi TISS=Classmates Mirambo secondary (high School).
I wonder walisoma nini enzi hizo. Big shadows of corruption.

Kwa maana hiyo Mawala wapo Arusha, EL yupo Arusha, washikaji wengine (classmates) wapo Dar, hivyo EL kachora ramani safi kwa kutumia Mawalla ili wazichote ziingie CCM?
 
hili ni jipu na wanatuchelewesha na urasimu
Tangu lini ku search for simple info watu wakafanya registration? wanataka namba za sim, majina na verification ndio naweza kusearch business name online

Imagine google wakwambie kuwa kabla hujafanya search lazima uweke namba zako za sim majina yako nk ndio utaweza kufanya business name search...ontop unalipishwa elf 20

ningekuwa na register kampuni au nafanya returns au nabadili jina la kampuni I would have understood the concept of registration na kuweka personal details zangu

MFANO HUU HAPA CHINI NIMEINGIA KWENYE WEBSITE YA SEC YA USA AMBAYO UNAWEZA KU SEARCH MAJINA YA KAMPUNI ZOZOTE BILA KUAMBIWA UWEKE PRIVATE INFO

USHAHIDI HUUU HAPA:

http://www.sec.gov/edgar/searchedgar/companysearch.html
 
Ukweli ni kwamba E.Mahingila amekwisha staafu kwa mujibu wa sheria ya utumishi wa umma kama sijakosea 2012/2013.
Kuanzia kati kati ya mwaka 2014 BRELA ilipata CEO mpya tena kijana; ambaye kwa kweli anapambana sana kurahisha upatikanaji wa huduma kwa urahisi na mambo mengi yatafanyika online.
 
Back
Top Bottom