MAHINGILA of BRELA: Another dodgy CEO

Irene pole, Nyaga ni msanii. Kati ya wanawake ambao hawezi kuachana nao ni huyo unayemuita mwarabu koko Moza (the cute one) na Rehema, nyie anawasoundisha tu mnampatia uroda anawaacha.

Unaposema ulikuwa uwe mchumba ndiyo hukuwa na ni history kwa sasa, nyaga ana watoto wawili first born kwa moza sec kwa Rehema. Na Rehema alianza naye wakiwa UDSM though walisoma na Arusha Sc. Na alikuwa naye kimaslahi kwani alikuwa anamsaidia kuregister makampuni ya clients wake hata bila kukanyaga Dar.

Usiugulie mapenzi kihivyo bi dada utapata gonjwa la moyo. Japo ulipokuwa ofisini kwa Nyaga ulikuwa unajishebedua...

Inakuaje kwamba Nyaga hawezi muachia wakati hawako pamoja kwa miaka mingi na yule Moza anabwana wake na anaendelea tu na maisha yake?
Huyo Irene nimeshasikia stori zake nyingi, naskia bi dada alikua amedata kweli lakini Nyaga hakua na mdanae. Kila kukicha alikua anmuwinda Nyaga pale ofisini, jamaa alikua anakereka mpaka ikabidi atafute namna yakumwondoa ofisini.
Kwahio ni kweli kwamba anamtoto na Rehema? Au Rehema anasaidiwa kusomesha mtoto na huyo Nyaga alafu anaambia watu amezaa na Nyaga?Jamani hii nchi inaaenda pabaya...kila corner kuna uchakachuaji
 
BRELA ni kichefuchefu, na hasa kitengo chao cha kusajili alama za biashara! Hakuna kinachofanyika pale! Huyu Mahingila, ndio wale viongozi ambao hawafai kuongoza hata kikundi cha wapiga debe stendi! Isitoshe, hiyo tenda ilitangazwa wapi na lini na ni makampuni mangapi yalitender?

Kali zaidi, nasikia hiyo software haifanyi kazi, hao wahindi wameshindwa kuupload data!
 
kwanza kuna mambo kadhaa hapa:

1. Sheria ya PPP imepitishwa lini? najua kuwa tayari ilishaandaliwa lakini bado bunge halijaipitisha...hivyo MAWALLA na BRELA wanafanya utapeli na local media hawaulizi maswali. Kwa hiyo hapa kuna mambo 2

a) Idara ya Serikali imevunja sheria kwa kufanya PPP ambayo haijapitishwa kisheria na bunge

b) Idara ya Serikali imevunja sheria za PPA kwenye hii procurement nzima ya 1 BILLION SOFTWARE

2. Kuna issue ya Conflict of Interest na kama huyo binti alihusika kupitisha hiyo tenda then the entire thing is void kwani lazima alitakiwa awe amejaza form ya declaration kuwa hana DIRECT or IN DIRECT uhusiano na hiyo kampuni inayofanya procurement

Halafu kila kukicha yule mzee wa TIC analalamika Investors wanakuja lakini hawakai...well, mtu atakaa vipi katika mazingira magumu ya kufanya biashara kama haya?

what is PPP? naomba ufafanuzi
 
Hapo ni kijiwe cha akina RA,ME,M,Patel ambao husajili makampuni hewa kama vile wapo soko la mitumba amabapo kila mtu anasagula sagula anavyotaka,kwanza ofisini yenyewe chafu sijaona,lakini ajabu wana Mashangingi wabunge wanasingiziwa
 
tunaomba irudishwe SIASA maana tukishamngoa NGELEJA na crew yake kuna huyu mpuuzi wa Brela
 
Hivi hawa ndg zetu wa jamii ya kihindi haya wanayoyafanya huko misikitini mwao hawaulizani kuwa endapo atatokea mTZ mmoja mwenye uchungu na nchi na machungu haya tunayoyaona na kuyasikia kila siku watakuwa hawana njia nyingine zaidi ya kurudi kwao wakiwa wamekatwa viungo,nashauri mwenye uwezo wa kupelekea huu ujumbe awafikishie ,I wish ningekuwa karibu nao,ningewatumia alert postal mail wahindi wote kuwa wajihadhali na jambo wanalolitengeneza madhara yake ni makubwa!ooooooooohoooo hawaoni kama tumeweza kuraruana wenyewe bungeni tutawashindwa wao!:sick:
 
Nyaga Mawalla alishakanusha kuhusu hii software labda kama kuna kitu kingine ambacho sikielewi na hakijawekwa kwenye hii thread.
 
Business Registration and Licencing Agency (BReLA) has vowed to further reduce the number of days needed for company and business names registrations to create more conducive business environment.

Chief Executive Officer for BReLA Mr Esteriano Mahingila told a press conference in Dar es Salaamon Monday that efforts are in place to reduce the registration period to even zero days subject to a plan to amend the Evidence Act No 15, 2007.

”Amendment of the evidence act will allow admissibility of electronically-generated documents for registration of companies or business names online,” he said.

Last amendment allowed civil proceedings contained in a document produced by a computer, subject to the rules of court, to be admissible as evidence of any fact stated therein of which direct oral evidence would have been admissible.

Currently, he said Brela has already prepared an online programme for easy accessibility to individuals seeking forms for companies and business names registration. Electronic communication has become the most common means of doing business.

The aim is to minimize costs of starting and eventually doing business.

”The establishment of online services focus at cutting down paper works and travelling costs to the headquarters for entrepreneurs wishing to establish a company or business are urged to explore the opportunity,” he said.

Mr Mahigila said Brela has already formed a simplified standard formats containing the memorandum and articles of association that will help entrepreneurs to have easy and costless services.

He said also even the Business Licensing Act, 1972 has gone several amendments all being efforts to cut down costs of starting and doing business in the country. For example, the cost of registering business names is only 6,000/- .

The executive agency’s future plans are to provide all services online and at the minimum costs for which every person wishing to start a business can afford.

However, he trashed allegations that Brela has disbursed 1bn/- to hire a computer software package to facilitate easy provision of company and business name registration services.

”The allegations of hiring software technology from Mawalla Advocates are untrue and aimed at tarnishing the BReLA’s image,” he said.

The Managing Partner with the Mawalla Advocates Mr Nyaga Mawalla declined to have contact with BReLA regarding the adoption of the software technology. ”Ours was the plan to submit a proposal to BReLA to try to acquire freely the technology to enhance efficiencies in the registrations,” he said.

He added that the software package will also help easy registrations of surveyed areas into a computerised system, thus facilitating municipal councils to reduce land disputes as well as increase in revenue collections.

By SEBASTIAN MRINDOKO, Tanzania Daily News
 
mimi narudia...Invisible na Mahingila wanachakachua

JF has a chance of making this right and a campaign tena sticky kule siasa na maybe BRELA wakiona thread inawamulika they might change for better

guess what?
Invvisible na maswahiba zake wameamua kuificha huku bila sababu za msingi

and now we are expected to believe JF stands for change...more like of the same
 
Invisible naomba uipeleka SIASA hii

i'M SO KEEN mAHINGILA AWAJIBIKE NA WEBSITE ISIYOFANYA KAZI HII
 
Back
Top Bottom